Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Hahahah marehemu lemutuz angekuwepo sijui angejificha wapi
 
Hapo Chichiem mumepatia kuna watu jumapili hii itakuwa ngumu Sana kwao
 
Inategemea rais nani? Kama mama huyu mwenye huruma Makonda ataishia kujenga hoja. Mama ana huruma sana
Maza alimkingia kifua asishughulikiwe...
Jamaa alipata malalamiko sana kutoka kwa Wahindi.. Walienda pale PCCB Upanga..
Wahindi walichotwa sana na Bashite...

Ila safari hii sidhani kama ataleta ubabe tena wa kiMagufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…