Hapana umekosea bado sijaanza shule.Ulichoongea mwanzo na ulivyomalizia, imenipa picha yako kuwa una Iq ndogo sana kama sio mtoto wa sekondari form II
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana umekosea bado sijaanza shule.Ulichoongea mwanzo na ulivyomalizia, imenipa picha yako kuwa una Iq ndogo sana kama sio mtoto wa sekondari form II
Kwa mujibu wake alinambia kaishia form four so nadhani mashavu Makubwa hawezi pata labda hii kupost mitandaoni ya deiwaka 10k kwa siku ila shavu Kama shavu la udc au Rc au shavu kubwa hawezi tia maguuDuuuh! Kwa hiyo mwanetu kigezo cha elimu ndio kinamuangusha!
Sidhani kama Makonda atarudia Ujinga yeye na Sabaya wamejifunza kwmaba hakuna aliyejuu ya sheriaJambo jema sana...hapo kina mbowe Wanatamani kukimbilia ubelgiji walaah
Hadi wanaume😳😳😳😳Wale wajinga wanaoongea ongea hovyo wakae mkao wa kuliwa sasa.
kaama namuona mdudu kwa mbaaali akichekelea.
Ccm inatapa tapa imeishiwa pumzi.....imebaki inaokota okota yeyoteShow me your friends........ halafu eti kuna walemavu wa akili wanasema sijui nani anaupiga mwingi.
Chama chochote chenye nia njema lazima kijitenge na aina yoyote ile ya uchafu hata ule wa kisingiziwa tu, lazima wajiulize kwanini usingiziwe wewe?
Mnataka kuteka watu tena?Wale wajinga wanaoongea ongea hovyo wakae mkao wa kuliwa sasa.
kaama namuona mdudu kwa mbaaali akichekelea.
Chama kinachojinasibu kuwa kikongwe hakiwezi kufanya ujinga huu, Huu ni uteuzi unaotuonyesha kiwango cha ufahamu wa CCM.Ccm inatapa tapa imeishiwa pumzi.....imebaki inaokota okota yeyote
Wameona pia CCM imepwaya sana,Kwa hiyo inahitaji mtu mwenye mipango kazi na asiye muoga anayeweza kuropoka na ku dare kwenye jambo lolote pasipo uoga wowote...Kuhusu bandari wanajua watanzania ni wazee wa matukioSema hii nafasi asipoitumia vizuri itamwaribia kila kitu then naona kapewa ili kuua mjadala wa bandari
Safarii akicheza na wahuni watantengenezea ajali mbayaMakonda kafanya maisha ya wengi yawe magumu mnamrudisha wa nini ?
alipoondoka alihojiwa ofisini alisema anachojutia hajafanikiwa kuwapima wanaume wa Dar tezi dume (kwa njia ya dole)
Hapa stop ya kwanza anaenda kuendeleza visasi vyake.
Team makonda stand up.Sikubaliani na uteuzi huu. Lakini,kama alivyosema Nkurumah,freedom is the right to mismanage your own affairs. Kwa hiyo, CCM ,they have a right to mismanage their own affairs.
I am not suggesting haiwezi ile kazi ya Katibu Mwenezi,isipokuwa I don't understand this recycling of these people.
Kwa hiyo nadhani nimempunguzia Ben Mallissa adha ya kusema maneno mazito dhidi ya huu uteuzi.
Basi akomae tu na hii hii ya 10k kwa siku. Ila sio mbaya maana wanae wengine wa Lumumba ni 7k kwa sikuKwa mujibu wake alinambia kaishia form four so nadhani mashavu Makubwa hawezi pata labda hii kupost mitandaoni ya deiwaka 10k kwa siku ila shavu Kama shavu la udc au Rc au shavu kubwa hawezi tia maguu