Issue ya Kuzuiwa Makonda inatokana na Tamko lake la kuzuia Mashoga sio blaablaa zisizo na ushahidi
Kwa US tamko lile ni kinyume cha haki za Binadamu sio vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ghala! Hahaha, watu mna dharau aiseeYaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Guess what and who is nextSerikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609
Sizitaki mbichi hizi.Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Bungeni itakuwa ******, kumfukuza Lissu badala ya kuunda kamati kuchunguza jaribio la mauaji yake.kuna majina mengine matano , mawili kutoka bungeni moja kutoka Polisi , mawili siyataji .
walete walete walete dadeki!!Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609
Hivi kumbe, Sasa mnapaniki kwanini kama haina madhara?Kwani Ukizuiwa kuingia America utakosa Oxygen?
Marekan sio Peponi bana waache kujikweza
Kuna ma Billion ya Watu hawajafika America na hakuna cha maana wanakosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliwambia mkajifanya wajanjahao mabeberu nyuma ya vivuli vya demokrasia.
Tumeona namna walivyoipa demokrasia Libya na Iraq, pia afghanistan, hatutaki demokrasia yao wabaki nayo.
Kwa mujibu wa Le mutuz ambaye alihojiwa na FBI kwa Siri amesema uchunguzi umeonyesha kuwa shambulio la Tundu lisu lilisukwe na kutekelezwa na Daud Bashite ndiyo maana wameanza naye ingawa wana list ndefu ya watu wa kuwawekea vikwazo ambayo wanaifanyia kazi ikiwemo ya wakuu wa wilaya ma RPC na viongozi wengineoHakuna zaidi ya swala la ushoga.
Moja wamesema anawanyima watu haki ya kuishi, aka kuendesha kikundi cha watu wasiojulikana.Wala sidhani ni hiyo ishu ya ushoga. Maana ile ilitokea miaka kadhaa iliyopita na daudi ashaenda marekani baada ya lile sakata. Hapa nadhani CIA wamefukunyua mauchafu yake huyu jamaa sema hawajaweka tu hadharani..ndio maana wakasema "human rights violations" bila kusema ni violations zipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Msukuma ambaye yuko fresh anatuwakilisha vyema ni mmojaWasukuma ni bhalele sana.Wamepata vyeo wameota mapembe.
Majina mengine matano kuongezwa likiwemo jina la polisi mmoja bwegeSafi sana Leo wale tunaowaitaga mabeberu wamesikia kilio chetu sie waswahili wa buza na chato
Ndugu daudi albert bashite marekani uisahau kama ulivyosahau hilo jina langu mwisho wako mpakani mwa rwanda na tz marekani utaiona kwenye tv
Nimepokea kwa mikono miwili uamuzi nzuri wa marekani wa kumpiga block bwana daudi bashite maana ndie muhusika haswa wa uhalifu,ugaidi wa kisiasa,kutesa,kuteka raia,na kauli chafu,ufisadi,kushirikiana na magenge machafu ya madawa ya kulevya,ushoga,kutakatisha watu,kuua watu,kuteka watu kwa amri ya bwana mkubwa,nafurahi na nitasherehekea juu ya hili
Malipo ni hapa hapa duniani huu ni mwanzo tu utamu wa sinema unakuja the the stone jiandae kiama chako chaja
Marekani hoyeeeeeee
Pompeo hoyeeee
Nimefurahi sana hapa nagonga tu nyagi kudadeki
Usa baby[emoji631][emoji631][emoji631][emoji631]in nyaningabu voice
Safi sana USA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata zako wanazo.. Usicheze na CIA kabisa..Nimeona taarifa kwamba mkuu wetu wa mkoa ni kinara wa kukiuka haki za binadamu
Je C.I.A wamemchimba vya kutosha na wakawasilisha faili lake kwa Trump ? Kwa nini kama kweli wana ushahidi wasimpeleke ICC? Kama wao ni wanaume,tukutane ICC au watoe hati ya kumkamata
Na kama kuna mtu mnamtafuta ila mmeanzia mbali,mseme