Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Shida ni mashoga tu. Naona mashoga mmefurahi sana!
Hiki kisingizio cha kishamba pelekeni kwa wavuta Bangi wenzetu huko gheto kwa cyprian Musiba, watanzania siyo wajinga kiasi unavyofikiri, wewe ndiyo shoga unajifurahisha mwenyewe, Mnawabambikia kesi, mnawapiga risasi mnawafanyia kila unyama kila uonevu wapinzani mnadhani Dunia hawaoni?
 
Inabidi nicheke tu badala ya kukasirika kwa lugha zako zisizo na chembe ya werevu na busara.
Unadhani kuita daktari nchini toka Marekani au Ulaya ni dola ngapi?

Ngoja nikusaidie kuona mbali wewe mjuaji,
Makonda kwa nafasi yake na kama anapata baraka ya afanyayo toka juu ana uwezo wa kutumia fedha zako (kodi za wananchi) kualika madaktari bingwa toka nje kwa kisingizio cha kuja kusaidia wananchi maskini wenye matatizo sugu ya kiafya kama mfano wa ile meli ya kichina aliyo alika, humo ndani ya msafara wanakuja madaktari bingwa na vifaa kamili ndani ya meli yenye hadhi ya hospital ya rufaa ya nchi zilizo endelea wanakuja kumtibu yeye.
Wanazuga kutibu wanyonge na vipanado toka kwa mabeberu kwisha kazi.

Kwa kukusaidia tu huko Marekani na Uingereza wamejaa madaktari bingwa ambao very rogue, wao pesa tu, wengine wahindi, waarabu, warusi na waamerika ya kusini ambao ni maarufu Marekani wanakofanyia kazi zao.

Money can buy anything, anyone provided reasonable price is reached.
Kila mtu na kila kitu kuna bei yake ya kununuliwa kiasi kikifikia biashara inafanyika tu.
Hakuna namna.
Go figure my friend!
Wewe Titicomb kichwa chako kibakie kufugia nywele tu, kwa hoja hizo ulizoandika hapo, hata bata maji anakuzidi ubongo.
 
Natamani nihame Afrika niende zangu N.korea kwa Kim. maana Mia Afrika imejaa unafiki na majungu tu. Hii hii miafirika ndo ilimuua Muafrika mwenzao Gaddafi ili kuwafurahisha washenzi weupe. Leo hii walichoaminishwa watakipata hawajakipata na Wala hawana matumaini ya kukipata zaidi ya majuto tu.

Dhambi ya unafiki itaendelea kuwatafuna waafrika wengi Sana.
Muache kuuwa watu Sababu ya kusemwa, ukisemwa SGR haitafika Dodoma? Ukisemwa ukapotezea utakufa? What about presumption of innocence until proven guilty? MNA weka watu ndani kiholela kwa makosa ya kijinga hamtaki kusemwa na mnataka watu wawe wazalendo? Hebu nendeni huko.
 
Ninachotaka kuuliza; ina maana Wamarekani waishio Dar es Salaam wataondoka na kuja huku Mwanza?
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P

P,
Yaani nafikiri watu wengi bado hamjui hawa jamaa wa US sisi tumeishi hapa tunajua A-Z kuhusu hawa jamaa. Hii ni message kwa Serikali yetu ya Magufuli na sio Makonda kibinafsi kama mnavyofikiria. Urusi wakati wanaweka vikwazo waliwawekea marafiki wa Putin na familia zao. Ukisema Magu aanze kushindana na hawa list itaongezeka na hakuna hata kimoja kitakuwa kimesaidia taifa. Inabidi nchi iangalie manufaa mapana ya nchi na sio kibinafsi. Inabidi tuwe waangalifu pamoja na barua nyingi ambazo Watanzania wameandika kuna habari wamepata kwa vyama vya haki vingi sana. Kama wangejua Watanzania ndiyo tulivyo wala wasingeandika barua lakini wanajua ni watu wachache wenye uchu wa madaraka . Hivyo ushauri wangu ni Makonda kustaafu kwa manufaa ya umma na kama sio ajibu barua aeleze kama si kweli kwa facts.

Badala ya kujali Lissu na Zitto wanasema nini na kuwapa kesi za kijinga angalia uhusiano wa Kenya. Sijui kama watu wanatuelewaga tukisema siasa za visasi hazisaidii taifa!

Financing for Nairobi-Mombasa expressway
The construction of the Nairobi-Mombasa expressway expansion project is estimated to cost KES230bn ($2.18bn), which will be partly funded by the US Export Credit Agencies (ECAs).

The Kenyan Government signed a letter of interest with the US Government’s development finance institution The Overseas Private Investment Corporation (OPIC) in September 2016, to finance the Nairobi-Mombasa expressway project.

The US Export-Import Bank also signed a letter of intent with Bechtel in the same month to support the upgrade project.
 
Wala sidhani ni hiyo ishu ya ushoga. Maana ile ilitokea miaka kadhaa iliyopita na daudi ashaenda marekani baada ya lile sakata. Hapa nadhani CIA wamefukunyua mauchafu yake huyu jamaa sema hawajaweka tu hadharani..ndio maana wakasema "human rights violations" bila kusema ni violations zipi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshaweka hadharani mkuu.Kwa kifupi jamaa ni muuaji.
IMG_20200131_225739.jpg


Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Hivi wakimpiga block na mzee wetu maziri mwenye dhamana kutoingia kwenye malango ya Marekani itakuwaje? Si macho yatadondoka
 
Unakumbuka ile kesi ya Kabendera pale mahakamani alikuja Ambassadors wa US,UK,Ulaya wakawa wanafuatilia ile case baadae wakasepa zao,nadhani kulikua na ujumbe pale kama serikali ilikua inaangalia kwa jicho la 3.
Asante mabeberu,Sasa Tz inafuatiliwa kwa kina sana na hawa mnaowaita mabeberu huu uchaguzi wa mwaka huu ccm wkicheza rafu tujiandae kuingia Zimbabwe direct maana naona donor countries wameamua,ukiona Marekani kafanya hivyo ujue washirika wake wanafuata.

dodge
 
Sababu ni "U.S.H.O.G.A" marekani waseme ukweli tu kuwa hio ndio sababu hasa yakumzuia Makonda
 
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.

Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.

Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.

Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.

Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.

View attachment 1342609

Wakuu,
Najisikia kutaka kupasuka kwa kuchekaaaa, ila watoto wamelala nifanyeje usiku huu???????
 
Back
Top Bottom