Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Na leo pia kumbuka ubalozi wa US hapo Dar umetoa Press kuhusu uchaguzi wa Tz 2020.,timing imekua si ya mchezo mchezo.
P,
Yaani nafikiri watu wengi bado hamjui hawa jamaa wa US sisi tumeishi hapa tunajua A-Z kuhusu hawa jamaa. Hii ni message kwa Serikali yetu ya Magufuli na sio Makonda kibinafsi kama mnavyofikiria. Urusi wakati wanaweka vikwazo waliwawekea marafiki wa Putin na familia zao. Ukisema Magu aanze kushindana na hawa list itaongezeka na hakuna hata kimoja kitakuwa kimesaidia taifa. Inabidi nchi iangalie manufaa mapana ya nchi na sio kibinafsi. Inabidi tuwe waangalifu pamoja na barua nyingi ambazo Watanzania wameandika kuna habari wamepata kwa vyama vya haki vingi sana. Kama wangejua Watanzania ndiyo tulivyo wala wasingeandika barua lakini wanajua ni watu wachache wenye uchu wa madaraka . Hivyo ushauri wangu ni Makonda kustaafu kwa manufaa ya umma na kama sio ajibu barua aeleze kama si kweli kwa facts.

dodge
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Mjiandae kutenga hela za kununua ARV za wagonjwa 2m plus kwenye budget ijayo amasivyo mtatangaza janga la kitaifa waiteni mabeberu tu
 
Wameshaweka hadharani mkuu.Kwa kifupi jamaa ni muuaji.View attachment 1342696

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Dodoma zilikwenda Gari mbili zikiongozwa na Daud Bashite kwenye shambulio la Tundu lisu, CIA na FBI waliopo hako ubalozi wa marekani walichunguza kimya kimya wakatoa taarifa zote ikiwemo uovu wote wa Daud Bashite na vikundi vyake
 
Tanzania tulikua na bahati kubwa kuongozwa kwa miaka 20 mfurulizo na maraisa wawili (BWM na JK) ambao ni wanadiplomasia. Nyota yetu ling'aa sana duniani na tuliheshimika mno. Sasa ndani ya miaka mitano ya uongozi wa kimabavu heshima hiyo imepotea na kwa mara ya kwanza kiongozi wa tanzania anapigwa travel ban hadharani.

Tena mbaya zaidi wiki ijayo kenya itakua kwenye headlines kama nchi ya kwanza africa kuanza mazungumzo ya mkataba wa kiuchumi (trade agreement) na marekani huku tanzania ikiwa kwenye headlines kama nchi ambayo imekiuka haki za binadamu mpaka viongozi wanaanza kuzuiliwa kuingia US. Kuna wakati usingefikiri Tanzania ingefika hapa
P,
Yaani nafikiri watu wengi bado hamjui hawa jamaa wa US sisi tumeishi hapa tunajua A-Z kuhusu hawa jamaa. Hii ni message kwa Serikali yetu ya Magufuli na sio Makonda kibinafsi kama mnavyofikiria. Urusi wakati wanaweka vikwazo waliwawekea marafiki wa Putin na familia zao. Ukisema Magu aanze kushindana na hawa list itaongezeka na hakuna hata kimoja kitakuwa kimesaidia taifa. Inabidi nchi iangalie manufaa mapana ya nchi na sio kibinafsi. Inabidi tuwe waangalifu pamoja na barua nyingi ambazo Watanzania wameandika kuna habari wamepata kwa vyama vya haki vingi sana. Kama wangejua Watanzania ndiyo tulivyo wala wasingeandika barua lakini wanajua ni watu wachache wenye uchu wa madaraka . Hivyo ushauri wangu ni Makonda kustaafu kwa manufaa ya umma na kama sio ajibu barua aeleze kama si kweli kwa facts.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Titicomb kichwa chako kibakie kufugia nywele tu, kwa hoja hizo ulizoandika hapo, hata bata maji anakuzidi ubongo.
Upo sahihi kabisa kwa uwezo wako wa juu.
Haya lete hoja zako tujifunze kitu.
Anza kupangua hoja zangu moja baada ya nyingine ukosoe nini hakiwezekani na kwanini.

Nakaribisha kukosolewa nijifunze toka kwako na kwa yeyote.
 
Dodoma zilikwenda Gari mbili zikiongozwa na Daud Bashite kwenye shambulio la Tundu lisu, CIA na FBI waliopo hako ubalozi wa marekani walichunguza kimya kimya wakatoa taarifa zote ikiwemo uovu wote wa Daud Bashite na vikundi vyake
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Yaani huyu Pompeo sijuhi alikula maharage ya wapi tu..
Unamzuia Makonda alafu unamuacha JPM..??
kweli wapi na wapi??
 
Shoga naona umefurahi sana ili uendelee na ushoga wako!
Tokea uanze ushoga hapo kwa cyprian Musiba umekariri neno ushoga mpaka siku Le mutuz atakupa ujauzito ndipo utaacha kukariri ujinga pasipo kutafakari kwanza
 
Wamuiche Palamagamba "disappeared and died" Kabudi kuongoza response ya serikali kwenye hii kitu? Aisee tunaweza kuambulia vikwazo vya kiuchumi kabisa. Mahiga yule ni diplomat..hata wakati ule ile ishu ya the ushoga ilivyovuma yeye ndio alikua waziri wa mambo ya nje akatuliza dhoruba. Huyu wa sasa sio kabisa aisee...
Aisee kweli mkuu hapo lazima wakuu leo usiku wakae kikao kujadili nini cha kufanya,labda ndipo umuhimu wa wakina Balozi Mahiga waliohudumu huko US/UN miaka na miaka utaonekana lkn wakimuachia huyu kabudi aliyezoea tu kufundisha darasani aje aongee na Media kuhusu jambo hili,then pia wajiandae kisaikolojia.

dodge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amka wewe acha kuota saa hizi. Unalalaje unajisahau unaota mandoto ya hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukitulia na utafakari utanielewa, huu ndio wakati wa Waafrika kuwa kimoja, raslimali zetu zimeliwa tangu enzi za mababu, sisi wajukuu tuungane nyuma ya Magufuli na kuhakikisha tumekata mirija yote. Wajukuu wa mabeberu wanatupiga mabao kwa sababu za migawanyiko yetu ya kijinga.
 
Back
Top Bottom