Hiki kisingizio cha kishamba pelekeni kwa wavuta Bangi wenzetu huko gheto kwa cyprian Musiba, watanzania siyo wajinga kiasi unavyofikiri, wewe ndiyo shoga unajifurahisha mwenyewe, Mnawabambikia kesi, mnawapiga risasi mnawafanyia kila unyama kila uonevu wapinzani mnadhani Dunia hawaoni?Shida ni mashoga tu. Naona mashoga mmefurahi sana!
Wewe Titicomb kichwa chako kibakie kufugia nywele tu, kwa hoja hizo ulizoandika hapo, hata bata maji anakuzidi ubongo.Inabidi nicheke tu badala ya kukasirika kwa lugha zako zisizo na chembe ya werevu na busara.
Unadhani kuita daktari nchini toka Marekani au Ulaya ni dola ngapi?
Ngoja nikusaidie kuona mbali wewe mjuaji,
Makonda kwa nafasi yake na kama anapata baraka ya afanyayo toka juu ana uwezo wa kutumia fedha zako (kodi za wananchi) kualika madaktari bingwa toka nje kwa kisingizio cha kuja kusaidia wananchi maskini wenye matatizo sugu ya kiafya kama mfano wa ile meli ya kichina aliyo alika, humo ndani ya msafara wanakuja madaktari bingwa na vifaa kamili ndani ya meli yenye hadhi ya hospital ya rufaa ya nchi zilizo endelea wanakuja kumtibu yeye.
Wanazuga kutibu wanyonge na vipanado toka kwa mabeberu kwisha kazi.
Kwa kukusaidia tu huko Marekani na Uingereza wamejaa madaktari bingwa ambao very rogue, wao pesa tu, wengine wahindi, waarabu, warusi na waamerika ya kusini ambao ni maarufu Marekani wanakofanyia kazi zao.
Money can buy anything, anyone provided reasonable price is reached.
Kila mtu na kila kitu kuna bei yake ya kununuliwa kiasi kikifikia biashara inafanyika tu.
Hakuna namna.
Go figure my friend!
Muache kuuwa watu Sababu ya kusemwa, ukisemwa SGR haitafika Dodoma? Ukisemwa ukapotezea utakufa? What about presumption of innocence until proven guilty? MNA weka watu ndani kiholela kwa makosa ya kijinga hamtaki kusemwa na mnataka watu wawe wazalendo? Hebu nendeni huko.Natamani nihame Afrika niende zangu N.korea kwa Kim. maana Mia Afrika imejaa unafiki na majungu tu. Hii hii miafirika ndo ilimuua Muafrika mwenzao Gaddafi ili kuwafurahisha washenzi weupe. Leo hii walichoaminishwa watakipata hawajakipata na Wala hawana matumaini ya kukipata zaidi ya majuto tu.
Dhambi ya unafiki itaendelea kuwatafuna waafrika wengi Sana.
Ushoga wako na cyprian Musiba na le mutuz mnaposhinda mkivuta Bangi hauwezi kuwafanya America kukataa udikiteta wenu na ushogoa na kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye chaguzi mbalimbali vina uhusiano gani?Shoga naona umefurahi sana ili uendelee na ushoga wako!
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Wameshaweka hadharani mkuu.Kwa kifupi jamaa ni muuaji.Wala sidhani ni hiyo ishu ya ushoga. Maana ile ilitokea miaka kadhaa iliyopita na daudi ashaenda marekani baada ya lile sakata. Hapa nadhani CIA wamefukunyua mauchafu yake huyu jamaa sema hawajaweka tu hadharani..ndio maana wakasema "human rights violations" bila kusema ni violations zipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mabeberu,Sasa Tz inafuatiliwa kwa kina sana na hawa mnaowaita mabeberu huu uchaguzi wa mwaka huu ccm wkicheza rafu tujiandae kuingia Zimbabwe direct maana naona donor countries wameamua,ukiona Marekani kafanya hivyo ujue washirika wake wanafuata.
He must be the right hand man of.........I concur,jamaa alishawahi hadi kumdindia PM kwny ile inshu ya Shisha hapo nilianza kumuelewa vzr.
dodge
Kuwabambikia watu kesi kuwapiga risasi wapinzani vina uhusiano gani na ushoga? acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoniShoga naona umefurahi sana ili uendelee na ushoga wako!
Kweli aisee,naona kule twitter wanam-mtag Pompeo eti huyo mliye mpiga ban ni kifaranga tu mtafuteni mama kuku,hahah.He must be the right hand man of.........
Mana kikawaida mtu unatoa wapi nguvu hioo?.
skendo za kufukunyuliwa tope na Aisha manura unazisemajeHakuna zaidi ya swala la ushoga.
Wanataka kushika watu pabaya ssππKweli aisee,naona kule twitter wanam-mtag Pompeo eti huyo mliye mpiga ban ni kifaranga tu mtafuteni mama kuku,hahah.
dodge
Wakuu,Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609
πππππNa Kabudi anakwambia atahakikisha anapambana kuiondolea Zimbabwe Vikwazo.
dodge