Toa ujinha wako hapa waliosaini mikataba ya kimyonyaji si watamzania ma waafrika kwa maslahi ya wao binafsi na watu wao wa karibu?? Sio mawaziri na marais wa nchi hizo??
Mikataba hiyo ndio Magufuli anarekebisha, mabeberu wanatumia mbinu zote kumkwamisha.