Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Toa ujinha wako hapa waliosaini mikataba ya kimyonyaji si watamzania ma waafrika kwa maslahi ya wao binafsi na watu wao wa karibu?? Sio mawaziri na marais wa nchi hizo??

Mikataba hiyo ndio Magufuli anarekebisha, mabeberu wanatumia mbinu zote kumkwamisha.
 
Something is wrong somewhere
 
Msiukimbie ukweli. Semeni ukweli, kuna sehemu tumekosea, hatujachelewa tubadirike na kuanza upya
 
Nchi inatakiwa kuwa makini sana ikiikwaza marekani.
Mwanadiplomasia nguli Membe okoa jahazi ndani ya ccm, tangaza nia chukua fomu.
 
Kwani wewe ni mke wake mpaka ujue hana uhitaji?
Taifa la marekani huwa naliona Kama Taifa la kishetani tu hapa duniani. Kwani Nani kawambia makonda ana uhitaji kwa kwenda kwenye nchi yao. Shenzi kabisa Serikali ya Trump wote Ni wahuni Hamna kiongozi wa maana[emoji35][emoji35]
 
Jiwe jisalimishe mapema mabeberu hawatakuacha salama ukileta umwamba wa kisenge
 
Haya Sasa mabeberu wameanza kuonyesha uwezo wao! Ndo mje na ule sisi ni Dona kantri ooh tuna hela sana hatuwategemei mabeberu.
Ni muda wa kabudi kupooza mabeberu hawa
 
hii yote imesabibishwa na lijitu limoja kujigeuza mungu mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…