Mtanyooka tuu Nipo hapa Sweden nakula maisha tuuYaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
One step a head to the Hegue...
Kabisa akijifanya kidomodomo atafuatwa hukuhuku na kufunguliwa mashtaka US.Aiseee....Mike Pompeo kuandika habari mbaya kuhusu mtu kama Makonda ni kitu cha hatari sana. Makonda has to be careful. Na anaemkingikia kifua inabidi awe makini zaidi.....Ngoja tuone!
Sent using Jamii Forums mobile app