Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Bashite, huwezi kuamini yani kama bwana' ako asivoamini kuwa WB wamemnyima hela😀😀Huu ni urongo bwashee!
Kwa nini haiwezekani?Yatakuwa maajabu ya 8 ya dunia yaani pompeo atumie muda wake kabisa aandike kuhusu bashite-utakuwa anafanya upumbavu wa karne na kujiaibisha.
Usimalize maneno mkuu. Hii habari ya kweli. Kama una tweeter, ingia page ya Pompeo wewe mwenyeweYaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi mtupu..Trump kabanwa sasa anatafuta pa kutokea...inaonekana ile movie ya Iran haikuwasaidia kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa............kumbe ni kweli bwashee!Pole sana Bashite, huwezi kuamini yani kama bwana' ako asivoamini kuwa WB wamemnyima hela😀😀
Kwenye list ya magaidi duniani nae yumoNdiye anayeongoza "wasiojulikana"?