Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Ropoka tu na Jitoe Ufahamu.Kiukweli hawa mabeberu ni washenzi sana, Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Ukiwadindishia Marekani, Umewadindishia UK, Germany, France na Washirika wengine. Acha Kuabudu Upuuzo ukiamini utapewa Cheo. Au ndiyo ukabila Unakutesa?