Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Sidhani ni kwasababu ya ile issue. Maana ile ilitokea muda mrefu uliopita na DAB ashaenda marekani mara kadhaa baada ya lile sakata. Huyu lazma CIA wamegundua mauchafu ambayo wamechagua kutoweka hadharani ila serikali itakua imejulishwa. Ndio maana wamesema tu "human rights violations".
Mimi huwa simpendi huyu Makonda.Ila kama wameamua kumzuia kwa sababu ya ile issue ya mashoga,Mimi nipo pamoja naye.Wabaki na nchi lao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafwate na wale makamanda wa polisi , mawaziri wa mambo ya ndani , IGP , na mzee baba mwenyewe...
Wote tupambane hapa hapa bongo dadadeq
 
We are in the right track. Shime watanzania! Serikali corrupt ndizo usifiwa na hawa jamaa.
===
H
ivi Saud Arabia ( mshirika mkubwa wa us) inatenda haki Yemen,?
hivi kutawanya waandanaji kwa mmabomu Baghdad wanaopinga uvamizi wa nchi yao unaofanywa na Marekani nihaki ya binadamu?
,kuikalia Syria kimabavu ni utawala bora wa kimarekani,?
kusababisha vurugu Venezuela ndiyo demokrasia hiyo?
, kujitoa kwenye mkataba wa amani wanyuklia na Iran ndiyo utii wa sheria na kuheshimu mikataba ya kimataifa, ?
kuziwekea vikwazo nchi huku Marekani ikijua vikwazo hivyo vinawaathiri wananch wakawaida wenye uhitaji ni haki,?
kutumia silaha zilizoiwa / za maangamizi kushambulia tawala za nchi zinazopingana nayo kisera ni sawa?

Nauliza , nipeni majibu!
 
hao mabeberu nyuma ya vivuli vya demokrasia.

Tumeona namna walivyoipa demokrasia Libya na Iraq, pia afghanistan, hatutaki demokrasia yao wabaki nayo.
Nasisi tuwawekee vikwazo....
Fuatene taratibu na sheria za nchi sio matamko yenu
 
Back
Top Bottom