Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Na sisi tunampiga marufuku Gov Jay Inslee wa Washington State asiingie TZ in retaliation. Kudadeki ngoma drooo.
Nimeona taarifa kwamba mkuu wetu wa mkoa ni kinara wa kukiuka haki za binadamu

Je C.I.A wamemchimba vya kutosha na wakawasilisha faili lake kwa Trump ? Kwa nini kama kweli wana ushahidi wasimpeleke ICC? Kama wao ni wanaume,tukutane ICC au watoe hati ya kumkamata

Na kama kuna mtu mnamtafuta ila mmeanzia mbali,mseme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mabeberu kilio chetu mmekisikia.
Big Boys aka MABEBERU .

JS.jpg


SW.jpg
 
Inauma wewe acheni tu unaenda na vitoto ubalozini kuomba Visa sijui na kina Harmo au Kitenge halafu wewe mwenye mkoa unapigwa chini vitoto vinatoka na furaha. inauma sana....
Sifa ya mjinga ni kuishi leo kama vile kesho haitakuja
 
Hawa jamaa wapo mbele sana katika kukusanya taarifa, kuzichakata na kupata jibu sahihi / maana halisi na kisha kufanyia maamuzi .

Cocktail parties zinazofanyika Dsm , wanafunzi na maafisa serikali waliopata scholarship / safari za mafunzo Marekani pia ni vyanzo sahihi za kupata habari.

Serikali ya Tanzania iliposisitiza wafanyakazi wa umma waombe kibali na kuelezea sababu za safari nje ya nchi ilikuwa kuwatia hofu wasitoe siri au ukweli wa mambo yanayoendelea Tanzania. Hivi juzi tu Mh. Zitto Kabwe bunge la Ndugai wamemshambulia sana kuwa ni msaliti hii yote kutia watu hofu.

Hivyo mara nyingi Marwkani hawakosei wanapotoa taarifa kama hii kwa umma na ulimwengu maana kuna vyanzo vingi kukusanya taarifa sahihi.
Yeah, nikama walivyosema Saddam ana silaha za maangamizi na kisha kuvamia mafuta yake. Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Usituchoshe Na Kurudia Rudia Comments Nakujiona Una Point Mkuu

Kama Ushoga Umekuuma Kampimeni Na Huyu Ndugu Yenu Kama Mzima Huko Ndichi

Mmezuia Hadi Wa Tz Wasio Na Hatia Kuto Enda Find Ridhiki huko Mambele Kwaajili Ya Ukabaila Wenu

Mnaleta Oja Dhaifu Zisizo na Mantic


Naona Unausingizi Nakushauri Kunywa Maji Mengi kisha Lala Relax Mchezo Hautaji Pupaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hoja, Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Yeah, nikama walivyosema Saddam ana silaha za maangamizi na kisha kuvamia mafuta yake. Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Endelea tu ku Copy na ku paste. Hizi ni rasharasha tu mvua yenyewe Uchaguzi mkuu.

Tumewaambia sana humu ila mnaziba masikio
 
Marekani hatuwawezi kabisaa cha msingi nikumtimua tu huyo Bashite as a scapegoat
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Safari binafsi. Bora sisi tunaoendesha IST lakini tuna uwezo wa kuwatia mimba wake zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda Mwingine Msipate Shida Kuisafisha Kaniki Ilhali Colour Yake Inajulikana Mkuu

90%Yawatanzania Wameunga Mkono U know Why ? It means a lot

Watu Wazima tu ndio Wataelewa Ila Walio Zoea Kwa Kuishi Kwa Mapambio Ya Kumsifu Bwana Huyu Usiku Utakuwa Mbaya sana Kwenu

Don't forget it's a Weekend Stop Drama [emoji119]let's having fun

YAKAISARIII...

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Ndiyo kashazuiwa sasa kama vipi kaandamaneni kwenye ubalozi wao, washamba wakubwa nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Hatimaye tunakwenda kuwa Taifa linaloruhusu Ushoga na kuibiwa rasilimali zetu kama kawaida.

Wapinzani wakiongozwa na ZitoKabwe, Maria Sarungi na Fatma Karume ndio waasisi wa Taifa jipya lenye kuruhusu ushoga na utumwa wa kuibiwa Rasilimali na mabeberu.
Tunashukuru adui ujinga ammendelea kuondoshwa miongoni mwa wananchi wengi nchini. Amebaki kwa baadhi ya viongozi na wanaojinasibu kuwaelewa na kuwatetea wakidhani inawafaidisha
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Sababu
1.Kuuwawa kwa Ben SAA nane
2.kuratibu mauaji ya Lisu
3. Kumteka MO, Roma mkatoliki
4. Kuvamia Clouds
5.......
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Unapiga kelele tu Dogo. huu ndo mwisho wa serikali yenu ya kigaidi
 
Walisoma whatsapp za Makonda wakatbua kuw yeye ndio alimuua Ben saanane. Aliratibu Lisu kupigwa shaba na ni mwizi
100% Makonda ndio aliratibu GENGE la waliomuua Ben Saanane nashangaa wazazi wa Ben wapo kimya tu!! Huyo mtu sio wa kuendelea kuwepo kwa kitendo cha kumuua ben,wazazi wa Ben awatafute wapemba ili kuwatengeneza waliomuua BEN kama wao wana AK47 watu wanatumia nguvu za GIZA.
 
Nakuhakikishia na zile kesi kama tamthlia ya Sidingo zitaisha hii msg delivered
 
Back
Top Bottom