Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Na sisi tunampiga marufuku Gov Jay Inslee wa Washington State asiingie TZ in retaliation. Kudadeki ngoma drooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inauma wewe acheni tu unaenda na vitoto ubalozini kuomba Visa sijui na kina Harmo au Kitenge halafu wewe mwenye mkoa unapigwa chini vitoto vinatoka na furaha. inauma sana....
Sifa ya mjinga ni kuishi leo kama vile kesho haitakuja
 
Yeah, nikama walivyosema Saddam ana silaha za maangamizi na kisha kuvamia mafuta yake. Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Jibu hoja, Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Endelea tu ku Copy na ku paste. Hizi ni rasharasha tu mvua yenyewe Uchaguzi mkuu.

Tumewaambia sana humu ila mnaziba masikio
 
Marekani hatuwawezi kabisaa cha msingi nikumtimua tu huyo Bashite as a scapegoat
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Safari binafsi. Bora sisi tunaoendesha IST lakini tuna uwezo wa kuwatia mimba wake zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Ndiyo kashazuiwa sasa kama vipi kaandamaneni kwenye ubalozi wao, washamba wakubwa nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Tunashukuru adui ujinga ammendelea kuondoshwa miongoni mwa wananchi wengi nchini. Amebaki kwa baadhi ya viongozi na wanaojinasibu kuwaelewa na kuwatetea wakidhani inawafaidisha
 
Sababu
1.Kuuwawa kwa Ben SAA nane
2.kuratibu mauaji ya Lisu
3. Kumteka MO, Roma mkatoliki
4. Kuvamia Clouds
5.......
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Unapiga kelele tu Dogo. huu ndo mwisho wa serikali yenu ya kigaidi
 
Walisoma whatsapp za Makonda wakatbua kuw yeye ndio alimuua Ben saanane. Aliratibu Lisu kupigwa shaba na ni mwizi
100% Makonda ndio aliratibu GENGE la waliomuua Ben Saanane nashangaa wazazi wa Ben wapo kimya tu!! Huyo mtu sio wa kuendelea kuwepo kwa kitendo cha kumuua ben,wazazi wa Ben awatafute wapemba ili kuwatengeneza waliomuua BEN kama wao wana AK47 watu wanatumia nguvu za GIZA.
 
Nakuhakikishia na zile kesi kama tamthlia ya Sidingo zitaisha hii msg delivered
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…