Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Wewe hata unachokisoma hukielewi. Ni mtihani tu kuanza kukusomesha.

Na Trump siyo muuaji kwa muono wako?
Could the comparison you are drawing intended to divert attention from the mischievous actions that DAB is known to be associated with?????
 
Pambana nanhili kwanza; Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Bora tupigwe tu kama LIBYA ili akili zikae sawa maana GENGE la BASHITE na BABA YAKE ndio wanavyotaka.
 
Baada ya hii basi hata zile kesi kama tamthlia ya Isidingo soon zitaisha mambo ni mengi...
 
Tangu nianze kusoma pumba duniani wewe ni mjinga nambari moja na naona wazi upumbavu wako ni wakiwango cha lami..yaan zizu zwazwa kubwa jinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana na hili kwanza; Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
SAFI SANA HIZI NI GREAT NEWS. WAWEKE NA VIKWAZO VYA UCHUMI ILI TUHE SHIMIANE. WATU WAACHE KUGAWA PESA ZA KODI TENA CASH MONEY KAMA NJUGU.

"GOD BLESS AMERICA "
Sasa utaheshimiana na nani? Waliokaribu na hazina wataendelea kuishi kama walivyo na mmarekani hana shida yeye kazi yake kutamka tu.

Atakayekufa sisi wananchi...
 
HaHah huyo kashalaaniwa tayari, kajificha kwenye kichaka cha ushoga wakati sababu zipo obvious kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hangaika na hili kwanza, Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
We bwe ge ,sis
Four senior Kenyan government officials and a businessman have been permanently banned from travelling to the United States over allegations of trafficking narcotics, the U.S. ambassador to Kenya said on Tuesday.
We kiazi!sisi tunaongelea ya Tanzania wewe unatupeleka Kenya!ko kwasababu mkenya huwa anajinyea basi hata mtanzania akijinyea inakuwa halali?!!
Hivi mitanzania mingine ipoje???!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kinyaa kikubwa maneno yako nisawa na MTU kula mavi fresh yenye kipindupindu!! Huwezi kusema 70% niwahivyo, babako ni mtz? Nimakonda tuu anayepinga huo upuuzi tz nzima au Afrika? Sijui kwanini na argue anyways.
Pambana na hili kwanza, Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Hakuna sababu ya ushoga iliyowekwa kwenye tangazo la katazo. Hizo ni imagination zako ili Ku justify ujinga unaofikiria.
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Huyo tu Bashite amepigwa ban je angepigwa Meko mbona ungevua nguo...aliyekwambia mtu binafs apigwi ban n nani ?
Ukiuza dawa za kulevya utapigwa ban...ukila misaada ya watu wa marekani utapigwa ban...ukiminya demokrasia na kufanya ukandamizaji utapigwa ban...unavyomtetea Makonda kwamba anaenda marekani km safr binafs anaendaga kufanya nini kwani n kwao?.
Akae aende China apate Corona.
 
Endelea tu ku Copy na ku paste. Hizi ni rasharasha tu mvua yenyewe Uchaguzi mkuu.

Tumewaambia sana humu ila mnaziba masikio
Endelea kupambana na hili kwanza, kaa humo.., Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
H
Ohooo,Mara hii kushakucha....
Tubaki na Tz ye2 hakuna namna, Magu kaweza iweje BST ashindwe???
Hili si katazo lenye madhara kwa MAKONDA maana sidhani kwa Mkuu wa Mkoa ni lazima aende Marekani, anawezakukaa muda wote wa uteuzi wake bila kufika huko Marekani. Ila tunampa pole maana inawezakubadiika hata ikagusa watoto wake baadaye
 
Sababu
1.Kuuwawa kwa Ben SAA nane
2.kuratibu mauaji ya Lisu
3. Kumteka MO, Roma mkatoliki
4. Kuvamia Clouds
5.......
Pambana nanhili kwanza, ishi nayo hiyo..,
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Habari great thinker!

Naomba moderator msichanganye uzii huu!
Hoja ya uzii huu siyo ile ya makonda kuzuiwa kuingia marekani HAPANA!

Naomba tujadili tuhuma zilizomo ndani ya barua hiyo

Katika kipande cha barua ya wamerekani kumzuia makonda na familia yake kukanyaga marekani kimesema kuwa; MAKONDA ANATUHUMIWA KUDHULUMU UHAI WA WENGINGINE KUISHI
"The flagrant denial of the right to life"

Hiyo ni tuhuma nzito sana kupewa na taifa kubwa kama marekani ambalo lina vyombo vikubwa vya kiinterijensia!

Mbaya zaidi wanasema kwamba wametoa kauli hiyo baada ya kukusanya ushahidi wa kina.

Ifahamike kwamba aliyetoa kauli hiyo MR. POMPEO amewahi kuwa mkurugenzi wa CIA!

Wajuvi naombeni ufafanuzi Hapa ;
Kudhulumu uhai wa watu wengine ina maana Ipi? Je ni kuchinja watu , kuzuia ushoga au ni kubana demokrasia?
 
Could the comparison you are drawing intended to divert attention from the mischievous actions that DAB is known to be associated with?????
What and which comparison I made?

I wrote about Regional commissioners and their actions costing them long before this ban. I knew it will cost them somehow but I didn't know where the bullet will come from. We have recently found out the bullets are pouring from everywhere. Read...

 
H

Hili si katazo lenye madhara kwa MAKONDA maana sidhani kwa Mkuu wa Mkoa ni lazima aende Marekani, anawezakukaa muda wote wa uteuzi wake bila kufika huko Marekani. Ila tunampa pole maana inawezakubadiika hata ikagusa watoto wake baadaye
Kamsome nyani ngabu kaanzishia uzi suala. Hili acha ubashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…