FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Sasa jibu hili nikuone;Yani wewe ni mjinga sana , mawazo yako yote umepeleka kwenye ushoga .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu jibu hili nikuone;Tunapewa madaraka. Ila lazima kujua ni dhamana. Mambo mengi ambayo mkuu amefanya yanauzi kwa watu. Ndio maana wanashangilia
Hatuwezi kupuuza damu za watanzania wasio na hatia kumwagwa kwa ujinga hasa wa kutovumilia kuona wanatimiza haki na wajibu wao unaowaudhi watawala.Yaani mimi sielewi watanzania, nashauri nyimbo za kushambulia mabeberu zianze kutungwa na kuimbwa kila mahali ili uzalendo urudi
Haya sawa, jibu hili tukuone;Wamekwambia wana ushahidi wa jinsi alivyoshiriki kudhulumu uhaii wa watu mkuu,je unadhani wanasema porojo kama wanasiasa wa chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi walikuwa hawajaelewa, Waliofanya Yao ni Kundi la Mashoga kwasababu aliwakataa live.Walisoma whatsapp za Makonda wakatbua kuw yeye ndio alimuua Ben saanane. Aliratibu Lisu kupigwa shaba na ni mwizi
Wew akili zako ni mavi matupuPambana nanhili kwanza, ishi nayo hiyo..,
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Mkuu US na sera au siasa zake, zinaeleweka. Tusianze kujidanganya hapa kwamba alichofanyiwa Makonda ni kitu cha kawaida, maana Tanzania haifanani na hizo nchi ulizozisema.Hebu jibu hili nikuone;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Aisee ile twirt inakimbia kinomaTwitter watu wana mtag pompeo live,yaani pompeo naye anaona uzi unavyo kimbiza,likes zina miminika kama maji,wamemwambia wako wengi,aongeze wengine. Pompeo ataongea kiswahili leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu bwana mnashikilia hilo la ushoga kama vile ni janga la kuleta athari kumbe hamna kitu,wewe mwenyewe dhambi ngapi unafanya? Na mtu akiwa shoga wewe unapata hasara ipi? Au taifa linapata hasara gani? Mataifa mengine wanao ruhusu hayo mambo yamepungukiwa na nini?Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!
Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Siku zenu zinakuja, siku zitakazowatenda sawasawa na mlichokitenda kwa binadamu wasio na hatia ninyi watuHamia na wewe huko huko kwa mabeberu dada naona unaumia sana!
Huna fact hata moja vihisia vya hapa na pale ndo unalazimisha kuwa hoja.Jibu hili kwanza, USA huwa anahangaika na nchi za nje bila kuwa na maslahi? Uliza historia ya Rwanda genocide 1994 uone kama Marekani aliinua hata kidole kutetea hizo haki za binadamu anazojidai kuzipenda sana, maana kuke Rwanda hamna.cha maana zaidi ya masokwe tu. Sasa jibu hili;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Kumzuia mtu ndio maximum penalty?😂😂😂😂😂,Mkuu US na sera au siasa zake, zinaeleweka. Tusianze kujidanganya hapa kwamba alichofanyiwa Makonda ni kitu cha kawaida, maana Tanzania haifanani na hizo nchi ulizozisema.
Hebu jiulize kwanini sio Rais, au Makamu wake au waziri mkuu? Makonda yuko chini sana kwenye chain of command and yet has been given the maximum penalty by US.
Nafikiri sisi tusianze kulaumu tu US. Lazima tujiulize kulikoni
Wewe inaonekana tayarimxiewwwwweeeeeeeww hata sikutaka kucomment kwenye huu ushuzi wako imenifanya nikujibu yaaan off all reasons attached hapo umeonaa wamezungumziaa ushogaa yaan watu wengine bwana hivi unamjuaa huyo aliyetoaa report/barua/onyo ni nani?? unajuaa alikuwa nani before hajawa na hiyo nafasi aliyonayo sasa?au unadhan marekani wanaongozwa kwa mihemko kama sisi wabongo?watu wamesha kaa chini na kufuatilia thats why wakaja na sababu zinazoeleweka ila mabonngo zozo kama ww ndo mmenangania ushogaa kwani whts wrong with ushoga kama mtu anakubali kuliwa mwenyewe na anaenjoy??!nani anakupa jeuri ya kuingilia uhuru wa mtu??yaan dudu apigwe mwingine ww uumiee kweli??hebu fanyeni kazi bwnaa na kujifanya unajua kila kitu kama huna kazi natafuta house boy wa kunifuliaa vyupi vyangu ....
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Nani anayevunja haki za Binadamu zaidi ya Marekani au Binadamu ni Wale wanaokubali ushoga au Wanaoiabudu Marekani. Wakizingua tutawaitia Irani iwang'ateSerikali ya Magufuri itapata faida nyingi sana kwa uvunjivu wake wa haki za binadamu
Hizi ni lasha lasha tu Mvua za El Nino zinakuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo nchi zilikua na madikteta kweli sema kilichoziponza ni matokeo ya vita sasa ni upuuzi kulaumu matokeo ya vita ili kuhalalisha dikteta kuwepo.Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Jibu hapo wacha kujikwepesha kwepesha