Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Kumzuia mtu ndio maximum penalty?😂😂😂😂😂,
Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?

Kama sio adhabu, unahangaikia nini? Makonda hafai. Soon utasikia wengine nao wanamuangalia kwa jicho la tatu. Shopping atakuwa anaenda North Korea.
Yale matanuzi na kutafuta sifa pia yana mwisho wake. Tujifunze kutumikia watu na sio kujipa ufalme tusiokuwa nao.
Yes, ndio mtanzania wa kwanza kupigwa ban sababu ya kuwa kiongozi mwenye matendo yanayotia shaka mbele ya jumuiya ya kimataifa. Hii nayo ni rekodi yake mpya
 
Watu bwana mnashikilia hilo la ushoga kama vile ni janga la kuleta athari kumbe hamna kitu,wewe mwenyewe dhambi ngapi unafanya? Na mtu akiwa shoga wewe unapata hasara ipi? Au taifa linapata hasara gani? Mataifa mengine wanao ruhusu hayo mambo yamepungukiwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂, yamepungukiwa marinda...!!
Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea?
 
Ukitulia na utafakari utanielewa, huu ndio wakati wa Waafrika kuwa kimoja, raslimali zetu zimeliwa tangu enzi za mababu, sisi wajukuu tuungane nyuma ya Magufuli na kuhakikisha tumekata mirija yote. Wajukuu wa mabeberu wanatupiga mabao kwa sababu za migawanyiko yetu ya kijinga.
Kwani tunajigawa wenyewe au nyinyi ndio mnatugawa???
 
Nimeona taarifa kwamba mkuu wetu wa mkoa ni kinara wa kukiuka haki za binadamu

Je C.I.A wamemchimba vya kutosha na wakawasilisha faili lake kwa Trump ? Kwa nini kama kweli wana ushahidi wasimpeleke ICC? Kama wao ni wanaume,tukutane ICC au watoe hati ya kumkamata

Na kama kuna mtu mnamtafuta ila mmeanzia mbali,mseme
Hata wewe ulichoandika hapa wameshakisoma na wameshaingia katika simu yako, laptop kama unayo, wanakuchora na kukucheka
 
Huna fact hata moja vihisia vya hapa na pale ndo unalazimisha kuwa hoja.
Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea?
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Wapi hii statement inasema kuwa makonda amezuiliwa kuingia marekani kutokana na kuzuia ushoga? Tamko linasema kuwa wamemzuia kuingia marekani kutokana na kunyima watu haki ya kuishi,haki ya kujieleza,haki za kukusanyika na haki za vyama vya upinzani kufanya siasa! Kama huna facts siyo sahihi kuleta porojo zako hapa! Unafikiri kila Mtanzania ni mjinga kama wewe? Unafikiri hili tamko hatujalifuatilia?!
EPojAMGW4AAIHxd.jpeg
 
Kweli watu wamevurugwa, kwahiyo wewe ni party material!!!!
Kweli mtaji wa CCM in
Wajinga,
Maskini na
Wapumbavu
 
Nimecheka hiyo statement kisa cha Makonda kuzuiwa ni kea kupambana na ushoga kwenye statement wameandika marginalized people wamekwepa neno mashoga
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Mpmbvu mwingine
 
Huu ndio wakati muafaka kwa Watanzania kusimama na rais, maana anatafutwa kwa namna zote, wanataka wamdhoofishe ili waendelee kubeba madini maana yeye ndiye mzalendo wa kwanza kupambana dhidi yao, alifanya kitu ambacho hakijawahi kufanywa na kiongozi yeyote Afrika, leo hii Waafrika wote wanamtegemea kuona kama atashinda kwenye haya mapambano, ili na wao waliamshe.
Acha kujivika ngozi ya kondoo. Magufuli anafahamu kabisa maeneo yalipo madini hakuna maji hakuna barabara. Angekuwa mtu wa watu asingejenga uwanja wa ndege Chato na kuacha kuweka lami kutoka Kahama, Kakola (Bulyanhulu) hadi Geita. Tuache tu usikumbushe machungu yaliyoko huko na usifikili tu wajinga kama wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Mashoga wakubwa nyie, nendeni huko kwa mabwana zenu mkatafunwe mik*undu mbwa nyie..!!!
Mbona umepanic?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa makonda ni kama wamefanya PREEMPTIVE STRIKE, wanasubiri wasikie fyoko wabamize wanaemtafuta maana wanajua hajui kuchunga domo lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo nchi zilikua na madikteta kweli sema kilichoziponza ni matokeo ya vita sasa ni upuuzi kulaumu matokeo ya vita ili kuhalalisha dikteta kuwepo.

Mfano kipindi cha Idd Amin uchumi wa UG ulikua juu kuliko wakati wowote ule lakini baada ya vita ya kumtoa UG ilipotea kabisa kiuchumi mpaka leo?? Je tulifanya kosa kumtoa Amin??

Libya kama gadaffi angetoka mapema bila kurusha risasi isingekua vile ilivyo leo..... Mbona Misri haijavurugika??

Yaliyotokea Iraq na Libya ni matokeo ya vita sio necessary fitna za mzungu..... Yes kila vita ina mkono wa powers lakini maamuzi ya kupigana yalikua mikononi mwa Gadaffi, angejiuzulu yasingetokea yaliyotokea
Yaani ukweli unaujua ila unauficha ficha tu, 😂😂, hebu niambie Marekani alituma jeshi lake kumtoa Iddi amini ili kulinda haki za waganda kama alivyofanya Iraq, Libya na Guaido kuoelejwa Venezuela? Unajua kwanini? Na unajua nini kimetokea kwenye nchi hizo? Jibu unalo ila naona unazunguka mbuyu tu..., narudia swali, pamabana nalo;
Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea?
 
Repost from @malisa_gj using @RepostRegramApp - Naona watu wanajadili zuio la Makonda kuingia Marekani badala ya kujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Wenye akili ndogo wameanza kusema "Kwani Marekani ni mbinguni? Kwani asipoenda atapungukiwa nini?" Hii ni comment ya Mbunge mmoja wa CCM kule Twitter.

Lakini hoja si Makonda kuzuiwa kuingia Marekani au kuingia Chato. Hoja ya msingi ni madai yaliyotolewa na Marekani kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Makonda.

Pamoja na mambo mengine, Pompeo amesema Marekani ina USHAHIDI kuwa Makonda ameshiriki KUDHULUMU HAKI YA KUISHI KWA WATU KADHAA. Hii ni kauli ngumu sana, inayotafakarisha sana.

Kudhulumu haki ya watu kuishi means kuamua kumuondolea mtu uhai kabla ya wakati wake. Je ni kweli Makonda amefanya hayo? Kwa akina nani? Kwa ruhusa ya nani? Kwa sababu gani? Lini? Wapi? Na kwanini?

Kumbuka taifa lenye teknolojia kubwa kama Marekani linaposema lina USHAHIDI juu ya jambo fulani bila shaka limejiridhisha vya kutosha.

Kwahiyo ili tuwe na mjadala wenye tija tuachane na kujadili zuio, tujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Hata kama asingezuiwa kwenda Marekani, lakini tuhuma alizotajwa nazo ni kubwa sana. Zinaogofya, zinatafakarisha, zinatisha. Kumbuka Marekani imesema ina USHAHIDI na kumbuka Pompeo alikua Mkurugenzi wa CIA kabla ya kuwa Waziri.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo nchi zilikua na madikteta kweli sema kilichoziponza ni matokeo ya vita sasa ni upuuzi kulaumu matokeo ya vita ili kuhalalisha dikteta kuwepo.

Mfano kipindi cha Idd Amin uchumi wa UG ulikua juu kuliko wakati wowote ule lakini baada ya vita ya kumtoa UG ilipotea kabisa kiuchumi mpaka leo?? Je tulifanya kosa kumtoa Amin??

Libya kama gadaffi angetoka mapema bila kurusha risasi isingekua vile ilivyo leo..... Mbona Misri haijavurugika??

Yaliyotokea Iraq na Libya ni matokeo ya vita sio necessary fitna za mzungu..... Yes kila vita ina mkono wa powers lakini maamuzi ya kupigana yalikua mikononi mwa Gadaffi, angejiuzulu yasingetokea yaliyotokea
Salute boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama sio adhabu, unahangaikia nini? Makonda hafai. Soon utasikia wengine nao wanamuangalia kwa jicho la tatu. Shopping atakuwa anaenda North Korea.
Yale matanuzi na kutafuta sifa pia yana mwisho wake. Tujifunze kutumikia watu na sio kujipa ufalme tusiokuwa nao.
Yes, ndio mtanzania wa kwanza kupigwa ban sababu ya kuwa kiongozi mwenye matendo yanayotia shaka mbele ya jumuiya ya kimataifa. Hii nayo ni rekodi yake mpya
Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea?
 
KATIKA hao watz mashoga mmoja wapo NI wewe huwezi kuwaita wenzako mashoga wakati huna uthibitisho.

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom