Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Unajua kwanini Russia, Mchina, Mkorea, Mexico, Cannada, Iran, iraq hawaitaji kumsikia Mmarekani ?
Lengo la Mmarekani ni kutimiza matakwa yake

First world war" jamaa alikuwa anaombea vita ili auze silaa"
Hii nchi ni ye2 majirani hawawezi kuwa na uchungu kama sisi wenyewe.
Sisi ndo tuipambanie .
Hao wanini? na Tz
hujiulizi Mara ugaidi, Mara ebola, Ushoga mara sijui Makonda
Huoni wanatafuta Mlango
Watuchonganishe tuuwane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli Kama ulivyosema asilimia 70 ya watanzania Ni mashoga..hivyo baba yako,babu yako watoto wako na ukoo wako wote mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
M nadhani serikali isipuuze kabisa hili suala..ni dalili mbaya sana..ilekebishe pale ambapo kuna mapungufu na wanajua fika ni mapungufu gani..kuendelea kujimwambafay ni kuumiza wananchi mwisho wa siku..na Mmarekani akianza kufuatiria nchi yako jua ummoja wa ulaya hauko mbali..

Zaidi Mmarekani hana cha kupoteza sisi ndo tuna mengi ya kupoteza.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inaonyesha ni jinsi gani RAIA wengi hawamkibali RC makonda , inatakiwa tu ajitafakari kwa hili, ishu nahisi sio ushoga tu kutakua na mambo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watetezi wake wengi wanashikilia vita yake ya ushoga kwamba ndio tatizo hawataki kukubali huenda kutakuwa na sababu zingine.
 
Tusaidiane kuwazibua masikio..
 
Tunamkana tu, tutetereke mara ngapi? tuko pamoja na Mabeberu wenye kupenda haki za wanyonge, hana cha kutetea Madini muongo yule! Mabeberu wana chukua lkn wanatuachia japo mchuzi!

Jiwe ana tetea Madini, ili apate hela anunue, Helkopta za kusindikiza kijeshi, Risasi na Mabomu ya machozi! unazuia watu kwenda nje ya nchi, nani atapanda hizo ndege zenu? wakenya? au wasouth?
nao wanazao!
 
Sasa pasco kwa ukongwe wako unadhani sababu ni safari binafsi tu ukisoma vizuri utagundua hawa watu na tips tayari ya mambo aliyoyafanya makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona sasa.... Shida upo biased sana. Mie nmeshatoa hoja kuwa Vita ndio zimepelekea hizo nchi kuvurugika sio fitna za mzungu per se. Yaani fitna bila vita nchi haiwezi vurugika kwa level ya Syria au Lybia.

Sasa ni jukumu lako wewe mtoa hoja kunionyesha hizo nchi tajiri ambazo hazikupigana vita ila bado zilivurugwa na marekani. Sio wwe tena kutaka mmi nikupe mfano wa nchi tajiri ambayo haijavurugwa na intervention ya USA wakati haikua hoja yangu. Sijui unaiona tofauti

Mie nmetoa mifano ya nchi maskini ambazo US amezisaidia ili kuprove hoja yako ya kuvamia nchi zenye rasilimali ni UONGO.

Nasubiri facts
 
Jana nilisikia Spika wa Bunge ndugu Ndugai akisema kua Mh Zito amefanya makosa aliyofanya Rais Trump ya kushirikiana na mataifa ya nje kuhuujumu nchi yake..sikuweza kumwelewa Mh Ndugai kwa akili ya kidiplomasia kama kuna kiongozi yeyote mkubwa kama yeye anaweza kusema maneno yale.

Au Mh Ndugai ajui kua Trump anatuumiwa yeye anasema amefanya.
 
Angekuwa anasupport haki asingemuua gadaffi, asingekuua gavana wa irani ,
Asingeewapiga ban wanaigeria.

Mmarekani hatamani unyanyuke hatamani upige hatua hat a mani akuone umepata maendeleo.
Anaingia kwa Maslai tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona huelewi nachosema.... Marekani anatumia fitna kma hizo za World war kwa nchi KUBWA sio MASKINI na ombaomba kama Tanzania.

Marekani anauwezo wa kupandikiza virusi kwenye ARV anazoleta ili kutumaliza, ana uwezo wa kupandikiza Ebola bila haja ya kutuzushia, sababu afterall tunategemea misaada ya madawa cjui vitabu kutola huko.

Kuhusu kutochanganisha hahitaji, si ananyima tu mikopo na kuweka vikwazo vya uchumi mpaka magufuli ajiuzulu!! Sasa why azunguke cjui Lisu au kuzusha Ebola wakati anaweza ziba tu mirija kutumaliza!!

Ni kweli tunaweza kuwa na uchungu kwa nchi yetu kuliko wageni ila hata Nyerere alienda kusaidia mataifa yapate uhuru, ina maana hawakuwa na uchungu na nchi zao kuliko Nyerere??
 
kama wakiweza hilo nitaamini tz ndo nchi no. 1 duniani nchi yenyw nguvu ya kijeshi
Weeee! kisasi chake Baba !!! Itakuwa historia, watachakaza mpaka sisimizi !!!!!! nchi itachipiuka upya, kwa jina jipya! ili iwe fundisho kwa Waarabu!
 
Usicho Kijuwa Pompeo kabla Ya Kuwa Waziri Alikuwa CIA Kijana Kaa Ukijuwa Marecan Hawakurupuki

Mpaka uone Wameamua Kuchukuwa Hatua It means wamefuatilia Sana

Au Unadhani Akili Zenu Zalumumba Ndio Akili Za Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa anasupport haki asingemuua gadaffi, asingekuua gavana wa irani ,
Asingeewapiga ban wanaigeria.

Mmarekani hatamani unyanyuke hatamani upige hatua hat a mani akuone umepata maendeleo.
Anaingia kwa Maslai tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo uhuni aliofanya Gadaffi haukuhalalisha yeye kuondolewa?? Kumbuka aliwahi tungua ndege yenye wamarekani na tokea hapo ndio beef lilipoanza whether ana mafuta au lah.

General wa Iran kauawa sababu alikua uwanja wa vita ambako ni jeshi pinzani kwa US kwahiyo kufa hakuepukiki ila angeuawa akiwa Iran ungekua na hoja.

Mbona Rwanda inapiga hatua kiuchumi ila US hajaivuruga zaidi ndio anaongeza support kila mwaka??

Nmetoa mfano wa huko Kosovo na Bosnia je kulikua na faida ya kiuchumi hadi marekani apeleke jeshi na silaha??

Marekani anaweza kuwa na madhaifu yake lakini si kweli havamii nchi mpaka kuwepo na rasilimali!!
 
Wafanye kama wanakosea hivi wachapishe huo upuuzi wao mitandaoni kila mwenye macho ajionee
 
Kwani mzalendo uchwara namba 2 huwa.anakwenda USA?
 
Lete ushahidi jomba wa haya matukio unayoyasema usikurupuke. Watu wanatengeneza matukio na propaganda zao halafu lawama wanaitupia serikali kwa lengo la kuichafua tu .nasema wananchi hatukubaliani na ushenzi huo..Magufuli tutakuwa nae mpaka siku atakapochoka yeye .kma hamna kazi ya kufanya jomba mmetumbuliwa jipangeni Tena muanze maisha upya. Tunajua ajenda ya ushoga ndio burning issue .Makonda ana Nini la kumkandamiza mtu wewe..Mkuu wa Mkoa tu Hana issue .wanamuonea tu. After all kwani Nani amekwambia anahaja ya kwenda Marekani. Kwani amesahau Nini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…