Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Yaani bwana mdogo wa mashenzini huko, kolomije! Bashite mpaka USA ya Pomps imemjua duuu! umaarufu huu! anakuna kichwa?

Wale mliozaliwa Ocean road mko wapi?
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Unapiga makelele yote hayo shida yako ni kutetea Jiwe ?, wewe kama umekosa kazi yakufanya nenda ukalale, huyo Makonda wenu ni mwanzo tu, watafuata wengine, ni kweli tunafurahia hatua iliyochuliwa dhidi ya Makonda
 
[emoji2][emoji2] jeshi letu nini ?...nimecheka sana

Usinichonganishe jamaa we huonag kwenye maonyesho 🤣🤣🤣🤣, wanavunja matofali kwa miguu 🤣🤣🤣🤣 wanapanda kamba, sasa zikitumwa zile drones zisizoonekana itakuwaje ? 🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimeona taarifa kwamba mkuu wetu wa mkoa ni kinara wa kukiuka haki za binadamu

Je C.I.A wamemchimba vya kutosha na wakawasilisha faili lake kwa Trump ? Kwa nini kama kweli wana ushahidi wasimpeleke ICC? Kama wao ni wanaume,tukutane ICC au watoe hati ya kumkamata

Na kama kuna mtu mnamtafuta ila mmeanzia mbali,mseme
Mkubwa wameamua kuanzia Mwishoni.......subiri wafike Mwanzoni utafurahi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...so munamshukuru mtu ambaye kumpiga mtu mwingine kombora ni Kama kuangusha kikombe Cha kahawa.........
 
Ahsante yesu. Ule mnara wa Babeli mpaka ukafanya wajenzi washindwe kuelewana lugha zao, umeingia hapa Tanzania.
1. Watu walishakosa haki ya kuongoza, hasa wale waliochagua viongozi wao, Serikali inatumia mabavu kuwaondoa, mfano Tuendu Lissu, sasa Meya wa Dar.
2. Chaguo la wananchi limegeuka kuwa sumu ya wenye uchu wa madaraka, kila kitu wanaamua wao, bora nyie mabeberu muingilie kati sasa hivi watu wamegeuka wanafiki kwasababu ya njaa zao.
3. Badala ya kujadili jinsi ya kuboresha maisha ya watu, wanatumia vyombo vya serikali kama Bunge na taasisi nyingine kukandamiza haki. Mfano Bunge linatumia muda mwingi kujadili Zitto kabwe kisa kutetea watoto wanao kosa haki zao.huku ile mikopo italipwa na kodi zetu.
Mungu ingilia kati mpaka hawa mabeberu wafungue mashitaka ya uhalifu dhidi yao huko ze heiki.
 
View attachment 1342730

View attachment 1342925

Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.

Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.

Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.

Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.

Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.



==========


The Department of State is publicly designating Paul Christian Makonda under Section 7031(c) of the FY 2020 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons. Specifically, the Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam. In that role, he has also been implicated in oppression of the political opposition, crackdowns on freedom of expression and association, and the targeting of marginalized individuals.

The United States remains deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in Tanzania. This includes actions taken by the government that curtail freedom of expression, freedom of association, and right of peaceful assembly; target marginalized people and the political opposition; and jeopardize life.

Section 7031(c) provides that, in cases where the Secretary of State has credible information that foreign officials have been involved in significant corruption or a gross violation of human rights, those individuals and their immediate family members are ineligible for entry into the United States. The law also requires the Secretary of State to publicly or privately designate such officials and their immediate family members. In addition to the public designation of Paul Christian Makonda, the Department is also publicly designating his spouse, Mary Felix Massenge.

These actions against Paul Christian Makonda underscore our concern with human rights violations and abuses in Tanzania, as well as our support for accountability for those who engage in such violations and abuses. We call on the Tanzanian government to respect human rights and fundamental freedoms, including the freedom of expression, association, and the right of peaceful assembly.


SOURCE: Public Designation, Due to Gross Violations of Human Rights, of Paul Christian Makonda of Tanzania - United States Department of State
Hii ndiyo ile "msukuma msukume arudi mwanza" [emoji23][emoji23]..natania tu
 
Marekani waweke tuu ushahidi tuvuane nguo rasmi
Marekani anafanya hivyo pale anapotaka kuiba tu, ila mwenyewe anapotezea wizi wa Trump kwa Hilary. Ndio maana mpaka leo wanahangaika kumtoa wameshindwa. Trump aliiba kura kwa msaada wa Urusi.
 
NCHI ZIPI HIZO ZA KWENDA???.Ukiwa blocked USA ina maana na washirika wa USA wanakuwa wameku block pia.

Nchi ziko nyingi duniani hapa mkuu, Afghanistan, Pakistan, Syria, Iran, Urusi, China, North Korea, SA, Namibia, Botswana, Zambia, Uganda, Madagascar, Mauritus, Comoro, Kenya, Misri, Moroco, Rwanda nk..yaani hapa ukizitaja zote server ya JF itazidiwa..

Pia mkuu Tanzania ni kubwa sana, ina mikoa zaidi ya 20, unaweza hata kwenda kuogelea Zenji pale miezi miwili, unaweza kwenda Kibiti, Kilwa, Mara, Tarime, Sitimbi, Ujiji nk..
 
Hizo propoganda za Makonda usije ukafa naye. Wewe jali familia yako ma maslahi ya nchi siasa hazitakusaidia. Hakuna watu wanaojua US kuliko sisi tunaoishi hapa achaneni na habari za mitandao. Sababu zote ziko kwenye barua
Yale yale ya wana jf na kasumba ya kuhisi mnawajua members kwa kuwaona tu humu tena wakiwa na ID fake. Kwamba mi habari hizi nazipatia mtandaoni so unajua nakoishi, maajabu..
 
Paul Makonda ndiyo aliwaweka ndani hao ndugu zako wa uamsho?

Trump juzi kamuua nduguyo Soleimani umesahau tayari?
Haijalishi ni situation gani dada

Hatuwezi kuwa na muuaji gaidi mtakatishaji,mshirika wa madawa ya kulevya anayewatesa upinzani na muuaji eti uje unambie nimtetee huyu mjalaana bashite anatakiwa aishie kuzimu kabisa ni mchafu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom