Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Na yale makalio yake hivi hiyo combat ilikaa sawa sawa kweli?

Gavana wa dar huyu kwa nyuma amejaa msambwanda, pembeni kajaa mahips.... yaaani.. kigoli si kigoli... mwali si mwali... dume jike?

Sent using Jamii Forums mobile app


🤣🤣🤣🤣najuta hii hbaari kuiona muda huu dah nimechek san na comment yko mkuu🤣🤣🤣
 
Marekani ndio kila kitu dunia hii aisee tumepata hasara sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna cha kupoteza eti kwa kumzuia RC Makonda kwenda Marekani. Kwanza wajiulize tangu Rais wetu John Pombe Magufuli aingie madarakani alishawahi kwenda ubarozi wa Marekani nchini kuomba Viza ya kuingia Marekani? Ukweli ni kwamba hajawahi kwahiyo RC Makonda aende Marekani kutafuta nini ambacho bosi wake haoni haja?
 
Hayo yana madhara gani kwako na watanzania hata yakiwepo?Acha kupotosha ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la bwana Makonda kula ban abroad linajulikana ni kuhusu kukemea ushoga.
Huyo gavana wako wa dar mbona ni shoga pia, au huna habari?

Tuna meseji zake za whatsapp nyingi akiwa anawatongoza wavulana wakamfire! Nyingi tu zipo!

Ameshawapangishia nyumba wavulana fulani hapo darisalama. Vivulana fulani hivi vinampakua kweli kweli.

Ukisema makonda anapambana na ushoga nacheka kwa kuhamaki!

Sent using Jamii Forums mobile app
in
 
marekani wana taarifa za uhakika, kwamba huyo jamaa ana damu za watu mikononi, halafu kila wiki linaendaa kusimama kwenye madhabahu
 
Watu wote au walio wengi hasa wenye mrengo wa kimakonda makonda,Na Wenye maslahi ya moja kwa moja kupitia mfumo wa kupoteza watu utaona wanamtetea sana Mkuu wa Mkoa wa DSM - Makonda kwa kauli za kujificha nyuma ya ALIWASAKA WAUZA MADAWA YA KULEVYA NA AMEWAKABILI MASHOGA.
Napenda mjue hata kama Makonda angefanikiwa sana KUSHUGHULIKIA suala la MASHOGA na MADAWA YA KULEVYA hio bado HAIMPI UHALALI WOWOTE WA KUWANYIMA wengine HAKI YA KUISHI NA KUKANDAMIZA DEMOKRASIA hapa Nchini.
MAKONDA hawezi kuwa USHUJAA na kwa wakati huo huo awe MHALIFU wa Viwango vya akina JONAS SAVIMBI.
 
Hata ukitoa povu wewe bado ni mjinga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo yana madhara gani kwako na watanzania hata yakiwepo?Acha kupotosha ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka wewe ni mmojawapo katika hayo makundi. Madhara yake ni pamoja na AIDS, anal incontinence, vaginal incontinence, anorectal prolapse, uterine prolapse, infertility, erectile dysfunction (impotence), cortical (brain) dysfunction disorder, devial behaviour etc etc
 
Hili linafahamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haimpi uhalali wa kuua na kushambulia watu kwa kutumia madaraka yake!
 
Acha ushabiki,Sikh babako akitekwa na kupotea mazima ndo utaacha ubishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
La ushoga wala msilitaje, Mbona yeye mwenyewe Makonda anapakuliwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…