Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Jambo lililonisikitisha sana.
Na nafikiri binadamu yoyote lingemsikitisha ni kumuabisha piere ile siku ya event ya jokate.
Roho iliniuma sana na mpaka kesho aisee..ule sio ubinadamu
 
Lile tako la gavana unadhani ni kwa sababu gani? Huoni hata watoto wa-USA wanamsaidia kupandikiza kwa mkeww
 
Natamani Makonda aue hata raia mmoja wa US ili Navy Seal waje kuhitimisha utawala wa Shetani mkubwa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo Jambo linataka kukuzwa bila sababu, hizi Ni tuhuma hakuna mahali Makonda kashitakiwa.
Wamesema wana credible evidence/information. Don't underestimate the power of udunguaji. Kama DAB na wenzie wanadhani wanaweza kudukua private call za akina Kinana, wajue kuna watabe zaidi yao
 
Tanzania hakuna serikali wewe pimbi hilo ni genge la vibaka tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani aliyekwambia umtetee?

Au umeona nimemtetea popote? Au unakurupuka tu?
 
Hivi Pompi Pompeollo ndio nani jameni manake leo naona kawatisha balaa...ha ba ha pompiiiii pompeeee pompeoooo
 
Swali la kujiuliza kabla ya kuwataka Wamarekani watuthibitishie. Je ni kweli Paul Makonda kayatenda?? Je kwa maagizo au faida ya nani?? Je kwa niaba yake mwenyewe au kwa niaba ya Serikali??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni adhabu ni sawa na ‘a slap on the wrist’ it is very minimal,as far as US sanctions go uoni madhara yeyote kwa serikari.

But it is a warning serikari iache kuangaika na the likes of Kabendera, viongozi kuropoka ovyo na kuangaika na vikao vya ndani vya upinzani.
 
Hoja yako haina mashiko kwani hata ww mwenyewe unafahamu fika matendo ya Paul Makonda. Wala usipindishe hoja abebe mzigo wake mwenyewe. Na Serikali ikifanya mzaha itajikuta imezama kwenye seke seke hili.

Serikali inapaswa kujiweka kando na pia kujitafakari juu ya mienendo ya baadhi ya Watendaji wake. Pamoja na kuwa tayari imeshapakwa doa na Makonda basi isijichafue zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alimpiga kibao Mzee Warioba hakumpiga?? Laana huwa haiji ghafula. Acha avune alichopanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…