Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Mh! Haya kazi kwenu majilani mliojenga nyumba za nyasi muwe makini msiuchezee moto
Sasa tunaelekea rasmi kuwa Taifa linaloruhusu Ushoga, ambao watetezi wake ni Zito, Fatma karume na Maria Sarungi.
 
Kumekucha sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yatakuwa maajabu ya 8 ya dunia yaani pompeo atumie muda wake kabisa aandike kuhusu bashite-utakuwa anafanya upumbavu wa karne na kujiaibisha.
Wewe ndio unajiaibisha kwa kuonyesha ignorance yako hapa, kama haujui sio lazima uongee, nyamaza.
 
Pale viungo vya kukalia na vyakutolea Haja vinapotumika kufikiria na kuongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…