Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
Ila wamechelewa sana BASHITE katuumiza watanganyika sana.
Kila nikimuangalia Magufuli nashindwa kumuelewa kabisa, ubabe wake wote amekua Rais DHAIFU kwa hiki kiumbe.
Uchawi mbaya sanaIla wamechelewa sana BASHITE katuumiza watanganyika sana.
Kila nikimuangalia Magufuli nashindwa kumuelewa kabisa, ubabe wake wote amekua Rais DHAIFU kwa hiki kiumbe.
Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
Naomba niwe dalali wakukutafutia nyumba hapa mjini hahahahaAnaota🤣🤣
Naomba nifikie kwako kwanza. Maana sidhani kama nitakuwa na hela ya kupanga.Naomba niwe dalali wakukutafutia nyumba hapa mjini hahahaha
Naomba nifikie kwako kwanza. Maana sidhani kama nitakuwa na hela ya kupanga.
Ha ha ha ha ha ha ha ha.Hii ngumu sana jambo kwa ujeuri linaweza kufanyika ila ni ngumu kupinga diplomacy relationship na taifa kama marekani ukizingatia ww ndo taifa chipukiz
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mtu mwema sana. Asante Hazard.Karibu sana miss paula...
Karibu tuanze moja mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusiombe hilo,watanzania wote watageuka wachawi.And then jiandae kwa 1USD=Tsh 150,000
dodge
Wala hilo halina mjadala.ukimuua mtu unakua umemnyima haki yake ya kuishi.
Kwahiyo unataka kushindana na Marekani?Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
Hahah wachawi tena.Tusiombe hilo,watanzania wote watageuka wachawi.
ushapewa chako sasaYaani mtu anakaa kwenye lile ghala pale ufipa anaandika vimaneno alafu anajiita Pompeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachofarijika zaidi ni kuwa wengine wametangulia. Na wewe utakufa/utafariki tu. The probability of any Human being to dieing is 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
Asante USA kwa kutupiga tafu, maana sisi tumebanwa hata kupumua shida. Malizia kazi.