Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Ila wamechelewa sana BASHITE katuumiza watanganyika sana.
Kila nikimuangalia Magufuli nashindwa kumuelewa kabisa, ubabe wake wote amekua Rais DHAIFU kwa hiki kiumbe.
Ila wamechelewa sana BASHITE katuumiza watanganyika sana.
Kila nikimuangalia Magufuli nashindwa kumuelewa kabisa, ubabe wake wote amekua Rais DHAIFU kwa hiki kiumbe.
Uchawi mbaya sana
 
Chadema wanajua Ben alipo
Screenshot_20200201-212750.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini kuna jambo wamarekani waliona kwa makonda,sisi watanzania tumefichwa,ipo siku litaanikwa ngoja tusubiri.
 
Back
Top Bottom