Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Aisee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakuna siku niliyofurahi Kama hii baada ya US secretary of state kum blacklist Makonda Kama mtu hatari asiyetakiwa kukanyaga ktk taifa hilo kubwa Duniani kuliko yote..
Ni Makonda amekuwa akitumia madhabahu za Kanisa la Mungu kujifanya kwamba yeye ni mcha Mungu kumbe ni mtu aliyejaa uovu wa kila aina .
CIA wana ushahidi wote jinsi Makonda alivyohusika ktk mission ya mauaji ya Ben Saanane na jaribio la mauaji ya Tundu Lissu yaliyofeli .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika ktk kutengeneza Photoshop video ya kumchafua Mtumishi wa MUNGU Gwajima .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika na mauaji ya mamia ya watu waliokuwa wakitoswa Baharini na mto Ruvu .
Lakini lengo la Marekani siyo Makonda, bali mfadhili wake, huyu ndiye hasa wanayemtafuta kwa udi na uvumba..
Tumemwomba sana Mungu ili Haya mambo yafike tamati, hatimaye muda umefika sasa. ..
Moto umewaka, taratibu utaunguza kila kilichokusudiwa.
Nimeshaandika mara nyingi humu kuwa Damu isiyo na hatia inamlilia Mungu ikidai kisasi.
Damu ya Azory Gwanda, Damu ya Alphonce Mawazo, Damu ya Ben Saanane na wengine wengi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye video ya Gwajima sijui...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hujiewi kabisa na nadhani huwa zunakutoka mala 4 kwa week

Huyo unayemwita Beberu unachuku condom
Huyo unayemwita Beberu anakupa dawa za ARV
Huyo unayewita Beberu anavitabu vingi mashureni vimeandikwa not for sale
Hiyo ni kwa uchache tu

Yani wewe hujitambui takataka kabisa nadhani usha tumbukia chooni ukaopolewa na akiri zikakuruka

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau pia huyo huyo beberu anataka mkyundu wako utumike ndivyo sivyo....
 
Wamarekani ni watu hovyo sana,hivi wapi uishi tulia na na Magenge yao kumuua Gadafi hiyo sio haki ya kunyima mtu yake ya kuishi,Sadam Hussei naye hakustaili kuishi,Nadhani kuna kitu wanatafta tu sio maswala ya haki,wao ni wavunjifu wa hizo haki duniani kote.
 
Kama issue ni ushoga, basi hakuna nchi Afrika ya Mashariki ambayo inatesa mashoga kama Uganda. Kama shida ni Ushoga, kwanini Uganda haikuguswa?
 
Hakuna siku niliyofurahi Kama hii baada ya US secretary of state kum blacklist Makonda Kama mtu hatari asiyetakiwa kukanyaga ktk taifa hilo kubwa Duniani kuliko yote..
Ni Makonda amekuwa akitumia madhabahu za Kanisa la Mungu kujifanya kwamba yeye ni mcha Mungu kumbe ni mtu aliyejaa uovu wa kila aina .
CIA wana ushahidi wote jinsi Makonda alivyohusika ktk mission ya mauaji ya Ben Saanane na jaribio la mauaji ya Tundu Lissu yaliyofeli .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika ktk kutengeneza Photoshop video ya kumchafua Mtumishi wa MUNGU Gwajima .
CIA wana ushahidi wote jinsi alivyohusika na mauaji ya mamia ya watu waliokuwa wakitoswa Baharini na mto Ruvu .
Lakini lengo la Marekani siyo Makonda, bali mfadhili wake, huyu ndiye hasa wanayemtafuta kwa udi na uvumba..
Tumemwomba sana Mungu ili Haya mambo yafike tamati, hatimaye muda umefika sasa. ..
Moto umewaka, taratibu utaunguza kila kilichokusudiwa.
Nimeshaandika mara nyingi humu kuwa Damu isiyo na hatia inamlilia Mungu ikidai kisasi.
Damu ya Azory Gwanda, Damu ya Alphonce Mawazo, Damu ya Ben Saanane na wengine wengi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona haujamtaja kamanda chacha wangwe? Jaribio la kumuua Kagenzi aliyekuwa mlinzi wa Dr.slaa.

Vipi jaribio la kumpa sumu zitto kule bagamoyo?
 
Wamarekani ni watu hovyo sana,hivi wapi uishi tulia na na Magenge yao kumuua Gadafi hiyo sio haki ya kunyima mtu yake ya kuishi,Sadam Hussei naye hakustaili kuishi,Nadhani kuna kitu wanatafta tu sio maswala ya haki,wao ni wavunjifu wa hizo haki duniani kote.
Hao unaowataja hujui kama walikuwa madikteta? Na kiongozi akishakuwa dikteta unajua anaua watu wangampi wanaomkosoa na kumpinga? Kwahiyo wewe ulitaka wawaache tu waendelee kuangamiza watu wasiokuwa na hatia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wametumia diplomasia lah wangesema muuaji!! Chaajabu jinsi watuwetu hawako conscious utayakuta yanamtetea kuliko hats yeye anavyojitetea. He will face his own Karma hata atetewe/aombewe/asifiwe na maaskofu wote Tz Maaskofu buldoza...
 
Viongozi wenyewe hawana ruhusa ya kusafiri,wamarekani wanaona kwao ni kama akhera
 
Sasa kumnyima Visa ya kuingia Marekani ndo watazuia juhudi zake na serikali kupiga vita madawa ya kulevya na genge la madawa ya kulevya paomoja na ushoga? Ataendelea tena kwa saana kwasababu amewashika pabaya! Moja ya mikakati ya USA ni kuungana na magenge ya uhalifu wa kimataifa kuzinyongonyeza nchi masikini ili wapore mali na utajiri wa nchi za kiafrica. Moja ya mbinu inayozitumia marekani ni pamoja na kusupport magenge ya madawa ya kulevya kuingizwa katika nchi masikini kuharibu vizazi ili kutengeneza mwanya wa kuzipora rasilimali zao!

Yan makonda kawashika vibaya wamarekani ?🤣🤣🤣 nachekaga sana jf 🤣🤣🤣 ngoja niishie hapa daaah...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom