Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Afadhali umeyaona wewe kada wetu wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Marekani wenyewe si wamezuiwa kuingia Irani kutokana na nchi yao kukiuka haki za Binadamu , haki ya kuishi Kiongozi wa Jeshi la Irani, kuingilia utawala wa nchi zingine, kulazimisha kuwa super pooowaaaa kwa kutengeneza ukituko huko China n.k.
Marekani hata Mimi mwenyewe nimegoma kwenda wasije wakanipatia Corola tu nije nayo kuwaumiza watu Wangu. Wamarekani wote wameathiliwa na akili za trumpet, Wamarekani Wanafikilia kumaliza Wasio wao n.k.
Paul Makonda kanyaga twende, wote wanaotumiwa na wazalisha corola ya China wanyooshwe
 
Kwani Marekani ni Peponi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Ukizuiwa kuingia America utakosa Oxygen?

Marekan sio Peponi bana waache kujikweza

Kuna ma Billion ya Watu hawajafika America na hakuna cha maana wanakosa


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa wamempa umaarufu na mtaji mkubwa wa kisiasa Makonda.
Makonda sio waziri na kazi zake hazina umuhimu wa kwenda Marekani.

Hawezi kufa kwa kushindwa kuingia Marekani, kama ana fedha ataenda kutibiwa Ulaya au India na China, anaweza kuita madaktari bingwa toka Marekani na wakamhudumia hapa hapa Tanzania.
Zaidi ya 98% ya watanzania wanakufa kabla hawajatoka nje ya Tanzania kwenda Marekani au nchi jirani za EAC.
 
Endelea kupiga kelele.

Hata wewe upo kwenye rada zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni watu wa CCM humu wasiojua kwamba si kwamba watanzania wenzao wanafurahia vikwazo dhidi ya Tanzania bali wanafurahia wanaoifedhehesha nchi yetu wanavoaibika.

Kama CCM kingekuwa ni chama cha siasa kama kilivyokuwa zamani, kingekuwa tayari kimeshachukua hatua muda mrefu sana dhidi ya watu wasioheshimu haki za binadamu wenzao wa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…