Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Wewe ndio punguwani kabisa. Hujui kama Kenya kuna maafisa wa selikali zaidi ya 5 wamepigwa ban kuingia US mwezi uliopita?

Sent using Jamii Forums mobile app
What I know, Kenya is a stable country, respects the rule of law and has strong Democratic institutions unlike this shit hole country, washamba wamepewa nchi Shida tupu.
 
Udakuzi wanaofanya wanaona mipango ya jamaa yote hatari kuanzia Manji, Lissu na wengine kibao naona Magufuli anaanza sasa kuvuna matunda ya udicteta wake.

Huu uchaguzi wa mwaka huu haumuachi mtu salama.
CCM imeshapitia misukosuko mingi sana na mara zote imebaki imara😂😂😂
 
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.

Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.

Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.

Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.

Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.

View attachment 1342609
Rais nae afanye chap amuondoe huyu jamaa, hana tena msaada asije ongeza matatizo,
 
Udakuzi wanaofanya wanaona mipango ya jamaa yote hatari kuanzia Manji, Lissu na wengine kibao naona Magufuli anaanza sasa kuvuna matunda ya udicteta wake.

Huu uchaguzi wa mwaka huu haumuachi mtu salama.
Magufuli hasubiri siku alambwe vibao na uyo jamaaa ndo atavuna alichopanda

Makonda atasemaa ni ile vita ya madawa ndo imesababisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Waende China wakati hakuna ndege inayoingia wala kutoka? Wacha waende warudi na Corona [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa wamempa umaarufu na mtaji mkubwa wa kisiasa Makonda.
Makonda sio waziri na kazi zake hazina umuhimu wa kwenda Marekani.

Hawezi kufa kwa kushindwa kuingia Marekani, kama ana fedha ataenda kutibiwa Ulaya au India na China, anaweza kuita madaktari bingwa toka Marekani na wakamhudumia hapa hapa Tanzania.
Zaidi ya 98% ya watanzania wanakufa kabla hawajatoka nje ya Tanzania kwenda Marekani au nchi jirani za EAC.

Umeongea ujinga wewe mtu[emoji23][emoji23][emoji23] kwa pesa ipi akaita madactari waje kumuhudumia !


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Leo wale tunaowaitaga mabeberu wamesikia kilio chetu sie waswahili wa buza na chato

Ndugu daudi albert bashite marekani uisahau kama ulivyosahau hilo jina langu mwisho wako mpakani mwa rwanda na tz marekani utaiona kwenye tv

Nimepokea kwa mikono miwili uamuzi nzuri wa marekani wa kumpiga block bwana daudi bashite maana ndie muhusika haswa wa uhalifu,ugaidi wa kisiasa,kutesa,kuteka raia,na kauli chafu,ufisadi,kushirikiana na magenge machafu ya madawa ya kulevya,ushoga,kutakatisha watu,kuua watu,kuteka watu kwa amri ya bwana mkubwa,nafurahi na nitasherehekea juu ya hili

Malipo ni hapa hapa duniani huu ni mwanzo tu utamu wa sinema unakuja the the stone jiandae kiama chako chaja

Marekani hoyeeeeeee
Pompeo hoyeeee

Nimefurahi sana hapa nagonga tu nyagi kudadeki

Usa baby[emoji631][emoji631][emoji631][emoji631]in nyaningabu voice[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Le mutuz na yeye apigwe marufuku kuingia America kwani alikuwepo kwenye vx lililosimama getini kule Dodoma wakati Tundu Lisu akishambuliwa kwa Risasi na nyaulingo na kikundi chake cha akina kisanduku cyprian Musiba na wenzao, wote wapigwe marufuku kuingia hapa Marekani milele.
 
Wauza madawa ya kulevya na mashoga watakuwa na ubia na Marekani maana ndiyo wanaopata taabu sana kwa Makonda.

Haya tatuliweni marinda salama sasa hapo ufipa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We are in the right track. Shime watanzania! Serikali corrupt ndizo usifiwa na hawa jamaa.
===
H
ivi Saud Arabia ( mshirika mkubwa wa us) inatenda haki Yemen,?
hivi kutawanya waandanaji kwa mmabomu Baghdad wanaopinga uvamizi wa nchi yao unaofanywa na Marekani nihaki ya binadamu?
,kuikalia Syria kimabavu ni utawala bora wa kimarekani,?
kusababisha vurugu Venezuela ndiyo demokrasia hiyo?
, kujitoa kwenye mkataba wa amani wanyuklia na Iran ndiyo utii wa sheria na kuheshimu mikataba ya kimataifa, ?
kuziwekea vikwazo nchi huku Marekani ikijua vikwazo hivyo vinawaathiri wananch wakawaida wenye uhitaji ni haki,?
kutumia silaha zilizoiwa / za maangamizi kushambulia tawala za nchi zinazopingana nayo kisera ni sawa?

Nauliza , nipeni majibu!
Mwambie Jiwe awapige bann kama anaweza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan alianza kwenda lini au unawashwa washwa
kwani zile filamu alizokuwa anapost kipindi yupo kwa mabeberu ilikuwa ni mbagala au New York?.. Zile ishu za kupandikiza zilifanywa wapi?..
 
Back
Top Bottom