Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✌✌✌✌#WeThePeople
What I know, Kenya is a stable country, respects the rule of law and has strong Democratic institutions unlike this shit hole country, washamba wamepewa nchi Shida tupu.Wewe ndio punguwani kabisa. Hujui kama Kenya kuna maafisa wa selikali zaidi ya 5 wamepigwa ban kuingia US mwezi uliopita?
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM imeshapitia misukosuko mingi sana na mara zote imebaki imara😂😂😂Udakuzi wanaofanya wanaona mipango ya jamaa yote hatari kuanzia Manji, Lissu na wengine kibao naona Magufuli anaanza sasa kuvuna matunda ya udicteta wake.
Huu uchaguzi wa mwaka huu haumuachi mtu salama.
Rais nae afanye chap amuondoe huyu jamaa, hana tena msaada asije ongeza matatizo,Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609
Magufuli hasubiri siku alambwe vibao na uyo jamaaa ndo atavuna alichopandaUdakuzi wanaofanya wanaona mipango ya jamaa yote hatari kuanzia Manji, Lissu na wengine kibao naona Magufuli anaanza sasa kuvuna matunda ya udicteta wake.
Huu uchaguzi wa mwaka huu haumuachi mtu salama.
Sana boss gonga tano manTena nimefurahi imetokea wakati wa bunge. Hebu jumatatu CCM walete hoja maalum kama walivyofanya leo kwa zitto waanze kuropoka ropoka takataka zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unakuwa mpumbavu hivi ndugu?😀Yatakuwa maajabu ya 8 ya dunia yaani pompeo atumie muda wake kabisa aandike kuhusu bashite-utakuwa anafanya upumbavu wa karne na kujiaibisha.
Waende China wakati hakuna ndege inayoingia wala kutoka? Wacha waende warudi na Corona [emoji23][emoji23]Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Hapa wamempa umaarufu na mtaji mkubwa wa kisiasa Makonda.
Makonda sio waziri na kazi zake hazina umuhimu wa kwenda Marekani.
Hawezi kufa kwa kushindwa kuingia Marekani, kama ana fedha ataenda kutibiwa Ulaya au India na China, anaweza kuita madaktari bingwa toka Marekani na wakamhudumia hapa hapa Tanzania.
Zaidi ya 98% ya watanzania wanakufa kabla hawajatoka nje ya Tanzania kwenda Marekani au nchi jirani za EAC.
Ukitaka kujua Marekani ndo kila kitu ni mpaka watangaze vikwazo dhidi ya nchi yakoKwani Ukizuiwa kuingia America utakosa Oxygen?
Marekan sio Peponi bana waache kujikweza
Kuna ma Billion ya Watu hawajafika America na hakuna cha maana wanakosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Le mutuz na yeye apigwe marufuku kuingia America kwani alikuwepo kwenye vx lililosimama getini kule Dodoma wakati Tundu Lisu akishambuliwa kwa Risasi na nyaulingo na kikundi chake cha akina kisanduku cyprian Musiba na wenzao, wote wapigwe marufuku kuingia hapa Marekani milele.Leo wale tunaowaitaga mabeberu wamesikia kilio chetu sie waswahili wa buza na chato
Ndugu daudi albert bashite marekani uisahau kama ulivyosahau hilo jina langu mwisho wako mpakani mwa rwanda na tz marekani utaiona kwenye tv
Nimepokea kwa mikono miwili uamuzi nzuri wa marekani wa kumpiga block bwana daudi bashite maana ndie muhusika haswa wa uhalifu,ugaidi wa kisiasa,kutesa,kuteka raia,na kauli chafu,ufisadi,kushirikiana na magenge machafu ya madawa ya kulevya,ushoga,kutakatisha watu,kuua watu,kuteka watu kwa amri ya bwana mkubwa,nafurahi na nitasherehekea juu ya hili
Malipo ni hapa hapa duniani huu ni mwanzo tu utamu wa sinema unakuja the the stone jiandae kiama chako chaja
Marekani hoyeeeeeee
Pompeo hoyeeee
Nimefurahi sana hapa nagonga tu nyagi kudadeki
Usa baby[emoji631][emoji631][emoji631][emoji631]in nyaningabu voice[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie Jiwe awapige bann kama anaweza!We are in the right track. Shime watanzania! Serikali corrupt ndizo usifiwa na hawa jamaa.
===
Hivi Saud Arabia ( mshirika mkubwa wa us) inatenda haki Yemen,?
hivi kutawanya waandanaji kwa mmabomu Baghdad wanaopinga uvamizi wa nchi yao unaofanywa na Marekani nihaki ya binadamu?
,kuikalia Syria kimabavu ni utawala bora wa kimarekani,?
kusababisha vurugu Venezuela ndiyo demokrasia hiyo?
, kujitoa kwenye mkataba wa amani wanyuklia na Iran ndiyo utii wa sheria na kuheshimu mikataba ya kimataifa, ?
kuziwekea vikwazo nchi huku Marekani ikijua vikwazo hivyo vinawaathiri wananch wakawaida wenye uhitaji ni haki,?
kutumia silaha zilizoiwa / za maangamizi kushambulia tawala za nchi zinazopingana nayo kisera ni sawa?
Nauliza , nipeni majibu!
kwani zile filamu alizokuwa anapost kipindi yupo kwa mabeberu ilikuwa ni mbagala au New York?.. Zile ishu za kupandikiza zilifanywa wapi?..Kwan alianza kwenda lini au unawashwa washwa
Hakuna mjinga asiye tamani kwenda America na bado nchi za ulaya watafanya yao...Kwani Ukizuiwa kuingia America utakosa Oxygen?
Marekan sio Peponi bana waache kujikweza
Kuna ma Billion ya Watu hawajafika America na hakuna cha maana wanakosa
Sent using Jamii Forums mobile app