MPHINGU
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 518
- 613
Ndoto ya adhuhuri saa saba mchanaNategemea kusikia kesho Balozi wa Tanzania nchini Marekani karejea Tanzania na wa Marekani nchini Tanzania kareja Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto ya adhuhuri saa saba mchanaNategemea kusikia kesho Balozi wa Tanzania nchini Marekani karejea Tanzania na wa Marekani nchini Tanzania kareja Marekani.
Umefikiria kama mimi,yaani wao ndo wanajiona wanahaki ya kuua,pumbavu zao sanaMbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
Kwa hiyo na Makonda ameruhusiwa kuzuia wengine haki ya kuishi!!?Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
😂😂😂 hawakurupuki inawezekana wana mpaka picha za matukioHilo Jambo linataka kukuzwa bila sababu, hizi Ni tuhuma hakuna mahali Makonda kashitakiwa.
Ni vyema Makonda aombe kukutana na Balozi wa Marekani ili amweleze kosa lake ni Nini, na kama kuna tuhuma basi apewe muda azijibu.
Baada ya hapo iundwe time ya pamoja Kati ya Marekani na Tanzania ipitie tuhuma zake na suluhisho lake report ipelekwe pande zote mbili kwa utekelezaji.
Baadae Makonda aonane na Pompeo amuombe radhi kwa tuhumu za kweli na tuhuma za uongo amweleze kuwa amemsamehe kwani na yeye ni binadamu.
Hatuhitaji kugangamala kama Albashir, tunahitaji kuwa wanyenyekevu na wasikivu, huo ndio uungwana. Uhuru Kenyatta pamoja na kuwa ni Rais alienda ICC na akahudhuria kesi na Sasa Yuko huru.
Pompeo hajawahi onana na Makonda Wala hamjui Ni maneno ya kuambiwa tu.
Binafsi maovu ya Makonda siyajui, najua anahamasisha ujezi wa shule na zahanati. Anaendesha harambee za tiba za moyo kwa watoto. Anapambana na majizi na wala madawa ya kulevya. Anapambana na uzembe kazini.
Amueleze Pompeo kuwa Hawa wanaompiga vita ni wachuuzi wa madawa ya kulevya. Magenge ya wezi maarufu Kama panyaroad. Matapeli ya viwanja na wabadhirifu wa mali za umma.
Makonda ni muuaji,hata shambulio la Lissu kulikuwa na tetesi kuwa anahusika lakini pia alionekana dodoma siku ya shambulizi!
Na Iran ikafanyaje kwa Raia wa Marekani?Mbona USA ilimnyima haki ya kuishi yule jenerali wa IRANI?Tusiwe kasuku
Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Ndugu Pascal Mayala kiukweli wewe kuja na maoni Kama hayo sishangai, inawezekana Bwana Makonda ni wa KUNYUMBA, hata mimi ingekua aliefanyiwa ni MZARAMO mwenzangu ningekuja na kauli Kama ya kwako pila kujali sababu Pompeo iliyo mfanya amwekee ziwiyo Kama Hilo.Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Huyo si mjinga hata kidogo bali ni mpumbavu. Elimu alipata lakini hakuelimika. Alifanikiwa kujua kkk tu, maarifa hayakuongezeka. Hiyo id yake tu inaonyesha alienda shule. Jina hilo kulijua ni kwamba uwe umesomea utabibu - nigrastratatract! Lakini ni aibu tupu kwa profession hiyo. Pengine kwa sababu ya ugumu wa hiyo taaluma na alikwenda kwa sababu asizozijua hata yeye mhusika amemex! Uwezo kwenye hiyo taaluma hana hivyo lazima kulamba miguu kuambulia uratibu tibi na ukoma wilaya. Ni mpumbavu mtia kichefuchefu.Hii nchi tukiwa na wajinga watatu kamawewe tumekwiiisha!!
due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons. Specifically, the Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam. [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Gross violations of human rights.....
Fragrance denial of the right to life....
Credible information...
Zingatieni sana hizo sentence tatu zimebeba ujumbe mzito sana.. Kwa maana hiyo kuna wengine watafuata kwenye hiyo list... Na kama ikitokea issue ya ICC.. Huo ndio msingi wa mashtaka....
Jr[emoji769]
You don't USA and what you are advising the government! Hujui makao makuu ya UN yapo Washington? We need USA more than they need Tanzania.Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.
Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!. Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P
Katazo ni sababu ya ushoga. Kama ni ukiukaji wa haki za binadamu kuna nchi nyingi sana zingekaliwa kooni. Nchi za Magharibi kunyanyasa mashoga ni jambo ambalo wana-mind sana sana siku hizi. Sheria zetu za ushoga ni zilezile kwenye awamu zote ila alichoharibu Makonda ni kupayuka hovyo kwa kutaka sifa! Hapo ndipo alipowasha moto uliolala. Unakumbuka uchaguzi wa Zanzibar kipindi cha Mkapa? Waliuawa watu wangapi? Unakumbuka uchaguzi wa Zanzibar uliopita? Hawakusebu kura na walipoona Shein anashindwa wakaacha kuhesabu tena mchana kweupe huku mataifa yote yakiangalia? Ni nini kilifanyika? Kwa kifupi Makonda ameponzwa na kutaka sifa na kukosa busara kwake. Aliyemteua inabidi afikiri mara mbilimbili kwani dalili zinaonyesha anaweza kuja kuleta matatizo ambayo hayakutegemewa. Makonda hana busara za kiuongozi na amejaa kiburi na kulewa madaraka kisi ambacho ni very unpredictable!macho_mdiliko,
Kwa taarifa yako sisi wananchi wa tanzania hatujawahi kukerwa na tabia za mtu binafsi za ushoga. Ushoga umekuwepo na utaendelea kuwepo. Watanzania tulipigwa na hofu kubwa nchi nzima baada ya matukio ta kutisha kushamili killings, torturing, abductions, disapperances zilizidi na serikali badala ya kuchukua hatua wakiwemo akina makonda badala yake wakawa anakejeli hebu fikiria mtu anauawawa anakejeliwa?
Vyombo vinavyoitwa vya usalama vipo na vikakaa kimya kama vile hakuna linalotokea. Sasa lwo naona mmekazania ushiga sijui ndio biashara yenu
Zilikuwa tetesi,naona USA wametusaidia kwa kutuambia wana ushahidi usio na shaka kuwa Makonda amekuwa akitenda uhalifu dhidi ya binadamu hasa wapinzani!
Issue sio ushoga,nadhani wako very clear kwenye statement yao!Uhalifu dhidi ya binadamu ndio issue hapa!Katazo ni sababu ya ushoga. Kama ni ukiukaji wa haki za binadamu kuna nchi nyingi sana zingekaliwa kooni. Nchi za Magharibi kunyanyasa mashoga ni jambo ambalo wana-mind sana sana siku hizi. Sheria zetu za ushoga ni zilezile kwenye awamu zote ila alichoharibu Makonda ni kupayuka hovyo kwa kutaka sifa! Hapo ndipo alipowasha moto uliolala. Unakumbuka uchaguzi wa Zanzibar kipindi cha Mkapa? Waliuawa watu wangapi? Unakumbuka uchaguzi wa Zanzibar uliopita? Hawakusebu kura na walipoona Shein anashindwa wakaacha kuhesabu tena mchana kweupe huku mataifa yote yakiangalia? Ni nini kilifanyika? Kwa kifupi Makonda ameponzwa na kutaka sifa na kukosa busara kwake. Aliyemteua inabidi afikiri mara mbilimbili kwani dalili zinaonyesha anaweza kuja kuleta matatizo ambayo hayakutegemewa. Makonda hana busara za kiuongozi na amejaa kiburi na kulewa madaraka kisi ambacho ni very unpredictable!
Magu alishajipiga ban mwenyewe haitamuumiza kitu.Mtu mwingine anayefuata kupigwa ban ni Rais John Pombe Magufuli.