Pre GE2025 Paul Makonda: Gambo usitake umaarufu wa kijinga, uwe unahudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha

Pre GE2025 Paul Makonda: Gambo usitake umaarufu wa kijinga, uwe unahudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jiji kama Jiji.
Duh!....Makonda hakwepeshi ....
Ila pia hekima ya kiungozi ni kumwambia alipokosea kiongozi mwenzako pembeni au mbele ya mamlaka yake na sio mbele ya wananch ambao hawachelewi kwenda na upepo na si hali halisi ya tukio. Kuna kitu hakipo sawa kati yao.
Inawezekana kweli kuna sintofahamu baina yao aisee, maana RC kamnanga Mbunge Gambo vibaya sana mbele ya wapiga kura wake.
 
Huko ni kufitinisha watendaji na public. Analeta tuhuma kwenye public kwa sababu maafisa hawawezi kujitetea kwenye public. Anachosema Bashite ni kwamba ahudhurie vikao alete hizo tuhuma katika ground ambayo muhusika anaweza kujibu na kufafanua. Ikikosa majibu na kudhibitika ndio uende public
Sijamsikiliza Gambo kama video yake unayo iweke ila Kila Mbunge Huwa anaongea Changamoto yake Kwa viongozi Sasa hiyo inakuaje ni tuhuma? Au wewe Huwa huoni ziara za viongozi?

Juzi tuu hapo Ulenga alikuwa Tanga,kina Aweso,Ummy nk wameeleza jinsi wakandarasi Wanasiasa sua kwenye Barabara,Je hapo ni kufitinisha Watendaji?
 
Huko ni kufitinisha watendaji na public. Analeta tuhuma kwenye public kwa sababu maafisa hawawezi kujitetea kwenye public. Anachosema Bashite ni kwamba ahudhurie vikao alete hizo tuhuma katika ground ambayo muhusika anaweza kujibu na kufafanua. Ikikosa majibu na kudhibitika ndio uende public
Naunga mkono pia,
Bashite Yuko sahii kwenye hili 👍
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akiambatana na Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya kiwango cha Lami ya Mianzini...
Duh!...hizi spana kali sana aisee..... lazima Gambo atajenga 'bifu' na Makonda.
 
Huko ni kufitinisha watendaji na public. Analeta tuhuma kwenye public kwa sababu maafisa hawawezi kujitetea kwenye public. Anachosema Bashite ni kwamba ahudhurie vikao alete hizo tuhuma katika ground ambayo muhusika anaweza kujibu na kufafanua. Ikikosa majibu na kudhibitika ndio uende public
Kwani ni mara ya kwanza wabunge kutoa kero zao kwa mawaziri pale wakitembelea kwenye maeneo yao?? Ni jambo baya kufanya hivyo??
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akiambatana na Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya kiwango cha Lami ...
Nampenda sana Makonda, lakini katika hili yeye ndio kafeli pakubwa. Unless otherwise kuna kitu chini kinafutuka. Labda system haimtaki mgambo
 
Pamoja na Yote bado RC makonda amezingua sana Kumdharirisha Gambo mbele Ya kandamnasi tena Kiongozi aliyechaguliwa na Wananchi hio haijakaa Poa, Kesho Gambo akiwa Boss wake?

Makonda ajifunze Kuheshimu Viongozi wenzie mana hata Chongolo aliwahi Kumkolomea wakati ni RC Dar baadae tuliona Chongolo anakuja kuwa Boss wake hii haijakaa Poa ivo Viti vya Kuteuliwa una Serve at the wish ya aliyekuchagua Tusijione sana tumefika
 
Kwa nini anaongea huku anamshika shika bega waziri kama mtu mdogo kwake?!
Makonda Amejawa na Kiburi sana, Yani Yupo na Kiongozi wa Kitaifa ambae ni Waziri Ila still ana Taka Yeye ndio awe kama Main character na Everything kiwe centered kwake hio haijakaa Poa kabisa, Leo ana Blust Gambo wakati na Yeye Makonda anajulikana Ni attention seeker na Mpenda publicity mkubwa kabisa, Tume ya maadili Wamuangalie uyu jamaa hio Overconfidence kuna wakati haina maana Kabisa
 
Pamoja na Yote bado RC makonda amezingua sana Kumdharirisha Gambo mbele Ya kandamnasi tena Kiongozi aliyechaguliwa na Wananchi hio haijakaa Poa, Kesho Gambo akiwa Boss wake?
Makonda ajifunze Kuheshimu Viongozi wenzie mana hata Chongolo aliwahi Kumkolomea wakati ni RC dar baadae tuliona Chongolo anakuja kuwa Boss wake hii haijakaa Poa ivo Viti vya Kuteuliwa una Serve at the wish ya aliyekuchagua Tusijione sana tumefika
Naunga mkono hoja hii.

Hapo tayari ameshatengeneza 'bifu' na Gambo
 
Back
Top Bottom