Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Kweli
Hongera zake Faustine. Mungu ni Mkubwa sana. Nilikuwa na hofu sana kuwa ataonewa. Nashkuru Mungu amesimama nae. Such a good and humble guy.
Hata mimi nilihisi hivo ila haki imefanyika
 
UMEBETI VEMA.
 

Yamethibitika, AMESHINDWA KUTOBOA....

Ingeshangaza sana wana CCM wasimpe nafasi Dr Faustine Ndungulile, daktari wa kweli aliyeenda shule na kusoma kwelikweli wampe anayekwea ngazi za madaraka kwa fyeti vya mtu mwingine....

Makonda ni CRIMINAL, siku nyingi alipaswa kuwa Segerea kwa kosa la "impersonating"....

Ingalau ktk hatua hii ya mchakato ndani ya chama chao, tungewashangaa sana CCM kuweka mgombea mhalifu...

Kwani, wangempitisha huyu binadamu huyu, yule mama wa CHADEMA na timu yake ya kampeni wangekuwa na kampeni rahisi sana....

Kwa Dr. Faustine Ndungulile, kampeni baina ya vyama hivi vile zitakuwa so fierce. There's no easy way by either side....
 
Hawajiongezi,mara ya kwanza walisema kigamboni lazima atabebwa,mwishowe ameshindwa,sasa hivi wanasema tena atapitishwa kwenye kura za maoni dodoma,huyu kama wangetaka kumbemba ingekuwa leo,dungule angeshafanyiwa figisu kuanzia mwanzoni,lakini wamemwacha apambane kivyake
Yani hawa jamaa ni kama wamelogwa... Huyu Makonda kawapa nini!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…