Nasikia ndiyo anamsaidia kwenda kwa wenye vibuyu vilivyorembwa na shangaUkitaka siri zote za Daud Bashite mtafute Le mutuz mpe Demo mrembo kisha mfundishe vya Kundadisi vizuri kwani Le mutuz huwa ni mdhaifu mbele ya wanawake ndiyo maana magufuli amegoma kumpa Teuzi zote,
Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.
Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.
Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Wenyeviti na makatibu wa matawi kwa level ya udiwani.Hivi wale wajumbe wanaopiga kura za maoni/kuteua mgombea kama Diwani/Mbunge wanapatikanaje?
Ni kweli wana CCM wengi wanamchukia sana na wanatamani apotee jumla kwenye Ulingo wa siasa, lakini kumbuka mtukufu anamtaka awe mbunge kwa lazima , watafanya kila njia kuhakikisha anapitaBinafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.
Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.
Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Le mutuz ni mtu Mshirikina hakuna mfano kwa hapo Dsm na ndiyo mtaji wake mkuu kwa Bashite na viongozi wengine wengi wa CCM.Nasikia ndiyo anamsaidia kwenda kwa wenye vibuyu vilivyorembwa na shanga
Ni lazima apite narudia ni lazima apite.Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.
Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.
Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Ahhhhhh kweliKatika watu wanaokula Raha Duniani, Mimi ni mmoja wao
Kuna mjumbe asimpigie Bashite kura kweli ?Bashite ana pesa bwana,na hajakurupuka. Akishinda kura wakamkata basi atamfuata Membe ACT.
Rushwa inatembea kama kawaida kwa mfumo wa tigo pesa m-pesa kwa namba ambazo siyo zakeSi wamekatazwa kuhonga au?😃
Mdogo wangu hizi siasa za bongo ni kama bongo movie, yani intro tu ushajua picha linaishaje. Makonda, Mwanry, Tulia,Ndalichako, ni lazima majimbo yawahusu hata kwa kutolewa kafara wewe. Usibabaishwe na hizo fujo za Polepole ni danganya toto 2Hapo Magu huwa hakosei na kasema kabisa sijamtuma mtu si ningekuteua tu hamwelewi,polempole akasema hawa wanaojitambulisha huko mitandaoni tutawafundisha taratibu kwamba mmefanya kampeni mapema.
Licha ya yote mkumbuke Tuntemeke Sanga alipigwa viboko na mwalimu,akarudishwa kwao Songea na kuambiwa asikanyage mjini mpaka kwa ruksa ya mwalimu
Rushwa inatembea kama kawaida kwa mfumo wa tigo pesa m-pesa kwa namba ambazo siyo zake
Nasubiri next week nione maajabu mengine ya dunia ikiwa makonda atapitishwa kuwania ubunge.Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja,leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.
Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nye ,mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua,hao hao watu ndo anategemea wampitishe,wengi CCM hawampendi.
Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao,na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.
Mda upo tusubiri.
Soma pia: Paul Makonda amejaa Kiburi na Uthubutu usiomithilika
Hizo ni mbinu za kivita. Unapoingia vitani jiandae kwa kila aina ya mbinu na silaha . Vita ni vita MurahLicha ya kuahidiwa uwaziri bado hajiamini kaamua kumtuma Le mutuz kwenda kuleta waganga wa kienyeji wa kila aina
Watu wanajitoa fahamu tu ila Bashite anachukua Jimbo la Kigamboni hata kama asipopata kuraa za kutoshaaa..!! Kwa sasa kuhusu nani agombee sio kura tena ndani ya CCM ila ni mwenye chama chakee hadi wazeee wakongwe wameishiaa kusifu na kuabudu tu hawana jinsi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Magu anawaburuzaa vilovyooo..
Yule Dada tulia may b akapishwa hao wenge sijui tusubiri kupitishwa kwao hiyo next week.Mdogo wangu hizi siasa za bongo ni kama bongo movie ya intro tu ushajua picha linaishaje. Makonda, Mwanry, Tulia,Ndalichako, ni lazima majimbo yawahusu hata kwa kutolewa kafara wewe. Usibabaishwe na hizo fujo za Polepole ni danganya toto 2
Nasubiri next week nione maajabu mengine ya dunia ikiwa makonda atapitishwa kuwania ubunge.
Tayari washapitishwa ungesema unasubiri kutangaziwa2Yule dada Tulia may b aka
Yule Dada tulia may b akapishwa hao wenge sijui tusubiri kupitishwa kwao hiyo next week.