Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suzy Elias ni purely sukuma gang a.k.a ccm iliyokomaa😅😅😅Hapo Ufipa mtaacha lini ufitini, uongo , uchawi na uzushi?
Jamaa kajichanganya😅Andishi linauhusiano gani na ufipa?
Ingawa wewe mwenyewe ni s/gang naweza kukuelewa kwa mbaaaliAmini hilo ama usipoamini hakuna tatizo
SawaIpo habari msisimko isiyofahamika na wengi kumhusu Aliyewahi kuwa W NJ ndugu Benard Membe aliyetangulia mbele za haki mapema juzi na ndugu Paul Makonda aliyepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nyuma ya pazia.
Ikumbukwe, Makonda kabla ya ujio wa kishindo wa Magufuli Mamlakani alikuwa timu Membe tena mwandani kabisa na Membe ndiye aliye mshawishi Kikwete amteue Makonda kuwa DC wa Kinondoni ili hapo baadae Makonda imuwie u rahisi kugombea Jimbo la Kinondoni mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu na ndoto ilikuwa BM angekuwa Rais na ndiposa Makonda angeteuliwa na BM kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndoto iliyoyeyushwa na ujio wa bahati wa JPM.
Kwa sababu ya kuelewana lugha na kwa sababu nyingine ambayo ni nyeti aliyomtonya JPM na baada ya tonyo lile kuja kuwa la kweli bwana Makonda akaaminiwa na JPM hakika hali iliyopelekea ateuliwe kuwa RC Dar es Salaam na kilichofuatia baina ya wawili hao ni historia.
Sasa basi, pamoja na uswahiba wa kufa na kupona baina ya Makonda na JPM lakini bado Makonda alikuwa mwaminifu kwa BM japokuwa sasa baada ya JPM na BM kuwa maadui wakubwa BM alimpa uhuru Makonda wa kumponda huku akiendelea kumtonya za ndaniii kabisa ambazo JPM anazikusudia kumfanyia BM.
Hatari zote ambazo zilipangwa za kumhusu BM zilianzia kwa mtoto pendwa na kabla ya utekelezaji wake mtoto pendwa alimtonya BM kupitia namna ya mawasiliano yao waliyokuwa wameyafanya kuwa rasmi.
Mlishajiuliza kwa nini BM alikuwa anasanua kila mpango pangwa kwake? Jibu ni mnyetishaji alikuwa mtoto pendwa na JPM asingeweza kung'amua hilo kwa namna alivyokuwa anamwamini dogo na ilifikia wakati hata alikuwa anaenda mwenyewe kutekeleza mission bila awaye na kupitia mwanya huo alikuwa akikutana na mtu kati baina yake na BM kumpa mpango utarajiwao kumuumiza ili ajinasue.
ULISHAJIULIZA KWA NINI BM ALIKUWA AKIMZODOA JPM KWAMBA CHOCHOTE ANACHOKIPANGA IWE USINGIZINI AMA NDOTONI YEYE ANAKIFAHAMU?!
Makonda alikuwa hawezi kabisa kukubali mipango yeyote ya kumuumiza BM kwa sababu ya wema aliotendewa na BM kabla ya JPM kuibuka ghafla.
BM alishamwepusha na hatari nyingi Makonda zilizokuwa zikipangwa na timu mamvi na R kipindi akiwashambulia kwa tuhuma za ufisadi Lowasa na Rostam na kwalo pamoja na uswahiba wa yeye na JPM lakini bado kwa namna yeyote aliapa kulipa fadhira kwa kumwepusha BM na dhahama yeyote ile.
Ujanja wote wa Membe na kiburi chote ndani ya Utawala wa JPM ulihisaniwa na Makonda ambaye ndiye alikuwa mwandani wa kufa na JPM.
Paul haishi Masaki kwa bahati mbaya. Paul ni CHUNGU NA TAMU KWA WATAWALA! Paul yupo, atakuwepo hadi mwenyezi Mungu ATAKAVYOAMUA VINGINEVYO.
IMANI YA JPM KWA MAKONDA NDIYO ILIYOMWEPUSHA NA HATARI NYINGI BM.
NB: ZIMWI LIKUJUALO....
Ni dhahiri hautoachika mpaka mwisho wa dunia.Hapo Ufipa mtaacha lini ufitini, uongo , uchawi na uzushi?
musiba nae analindwa na nani?Abadani na hatoguswa na yeyote awaye.
Jiwe alikuwa jambazi,muuaji na moorajiKwahiyo hapa una Kiri kuwa Magufuli alikuwa na mishemishe za kuwamaliza maadui zake nyingi??
Mleta uzi ni ngosha mwenzio mfanyie kwa upole😂Hapo Ufipa mtaacha lini ufitini, uongo , uchawi na uzushi?
kwa JK hapo mkuu nina wasiwasi kama bado ni marafiki maana alimtaja mtoto wake kwenye tuhuma za dawa za kulevya. Au labda ntakuwa nimechanganya mafaili?Membe, Kinana, JK na Rais wote ni maswahiba wa kutupwa wa Makonda
Membe, Kinana, JK na Rais wote ni maswahiba wa kutupwa wa Makonda
Mengi uliyoandika ni ukweli kasoro issue ya kuwa Makonda alikuwa anamuepusha Membe dhidi ya dhahma ya Magufuli.Ipo habari msisimko isiyofahamika na wengi kumhusu Aliyewahi kuwa W NJ ndugu Benard Membe aliyetangulia mbele za haki mapema juzi na ndugu Paul Makonda aliyepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nyuma ya pazia.
Ikumbukwe, Makonda kabla ya ujio wa kishindo wa Magufuli Mamlakani alikuwa timu Membe tena mwandani kabisa na Membe ndiye aliye mshawishi Kikwete amteue Makonda kuwa DC wa Kinondoni ili hapo baadae Makonda imuwie u rahisi kugombea Jimbo la Kinondoni mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu na ndoto ilikuwa BM angekuwa Rais na ndiposa Makonda angeteuliwa na BM kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndoto iliyoyeyushwa na ujio wa bahati wa JPM.
Kwa sababu ya kuelewana lugha na kwa sababu nyingine ambayo ni nyeti aliyomtonya JPM na baada ya tonyo lile kuja kuwa la kweli bwana Makonda akaaminiwa na JPM hakika hali iliyopelekea ateuliwe kuwa RC Dar es Salaam na kilichofuatia baina ya wawili hao ni historia.
Sasa basi, pamoja na uswahiba wa kufa na kupona baina ya Makonda na JPM lakini bado Makonda alikuwa mwaminifu kwa BM japokuwa sasa baada ya JPM na BM kuwa maadui wakubwa BM alimpa uhuru Makonda wa kumponda huku akiendelea kumtonya za ndaniii kabisa ambazo JPM anazikusudia kumfanyia BM.
Hatari zote ambazo zilipangwa za kumhusu BM zilianzia kwa mtoto pendwa na kabla ya utekelezaji wake mtoto pendwa alimtonya BM kupitia namna ya mawasiliano yao waliyokuwa wameyafanya kuwa rasmi.
Mlishajiuliza kwa nini BM alikuwa anasanua kila mpango pangwa kwake? Jibu ni mnyetishaji alikuwa mtoto pendwa na JPM asingeweza kung'amua hilo kwa namna alivyokuwa anamwamini dogo na ilifikia wakati hata alikuwa anaenda mwenyewe kutekeleza mission bila awaye na kupitia mwanya huo alikuwa akikutana na mtu kati baina yake na BM kumpa mpango utarajiwao kumuumiza ili ajinasue.
ULISHAJIULIZA KWA NINI BM ALIKUWA AKIMZODOA JPM KWAMBA CHOCHOTE ANACHOKIPANGA IWE USINGIZINI AMA NDOTONI YEYE ANAKIFAHAMU?!
Makonda alikuwa hawezi kabisa kukubali mipango yeyote ya kumuumiza BM kwa sababu ya wema aliotendewa na BM kabla ya JPM kuibuka ghafla.
BM alishamwepusha na hatari nyingi Makonda zilizokuwa zikipangwa na timu mamvi na R kipindi akiwashambulia kwa tuhuma za ufisadi Lowasa na Rostam na kwalo pamoja na uswahiba wa yeye na JPM lakini bado kwa namna yeyote aliapa kulipa fadhira kwa kumwepusha BM na dhahama yeyote ile.
Ujanja wote wa Membe na kiburi chote ndani ya Utawala wa JPM ulihisaniwa na Makonda ambaye ndiye alikuwa mwandani wa kufa na JPM.
Paul haishi Masaki kwa bahati mbaya. Paul ni CHUNGU NA TAMU KWA WATAWALA! Paul yupo, atakuwepo hadi mwenyezi Mungu ATAKAVYOAMUA VINGINEVYO.
IMANI YA JPM KWA MAKONDA NDIYO ILIYOMWEPUSHA NA HATARI NYINGI BM.
NB: ZIMWI LIKUJUALO....
Hii ndiyo nembo yao kumbe
😅😅😅😅Bashite ni rafiki sana wa Kinana
Bashite ni rafiki sana wa Mama
Kesi ya nyumba yake inasemekana mama alisaidia kumnusuru kiutu uzima.
Wamemuambia tulia kijana upepo utulie, tutajua cha kufanya mbeleni!
Labda itamgusa Karma tu !Abadani na hatoguswa na yeyote awaye.