Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
Sema ccm kanda ya ziwaSuzy Elias ni purely sukuma gang a.k.a ccm iliyokomaa😅😅😅
Unamshambulia mwenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema ccm kanda ya ziwaSuzy Elias ni purely sukuma gang a.k.a ccm iliyokomaa😅😅😅
Unamshambulia mwenzako
Punguza ujinga bhana. Siyo kila jambo ni siasa, umejawa na chuki kwa kila unayetofautijana nae mawazo kwann lakini? Acha ujingaHapo Ufipa mtaacha lini ufitini, uongo , uchawi na uzushi?
Kwahiyo hapa unaanika ni jinsi gani Magu alikuwa mtu katili na hatari? Sasa kwanini tukiwaambia kuwa Magu alikuwa mtu muovu mnakaza mafuvu?Ipo habari msisimko isiyofahamika na wengi kumhusu Aliyewahi kuwa W NJ ndugu Benard Membe aliyetangulia mbele za haki mapema juzi na ndugu Paul Makonda aliyepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nyuma ya pazia na kwa sababu mhusika mkuu hatunaye tena acha niwashirikishe.
Ikumbukwe, Makonda kabla ya ujio wa kishindo wa Magufuli Mamlakani alikuwa timu Membe tena mwandani kabisa na Membe ndiye aliye mshawishi Kikwete amteue Makonda kuwa DC wa Kinondoni ili hapo baadae Makonda imuwie u rahisi kugombea Jimbo la Kinondoni mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu na ndoto ilikuwa BM angekuwa Rais na ndiposa Makonda angeteuliwa na BM kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndoto iliyoyeyushwa na ujio wa bahati wa JPM.
Kwa sababu ya kuelewana lugha na kwa sababu nyingine ambayo ni nyeti aliyomtonya JPM na baada ya tonyo lile kuja kuwa la kweli bwana Makonda akaaminiwa na JPM hakika hali iliyopelekea ateuliwe kuwa RC Dar es Salaam na kilichofuatia baina ya wawili hao ni historia.
Sasa basi, pamoja na uswahiba wa kufa na kupona baina ya Makonda na JPM lakini bado Makonda alikuwa mwaminifu kwa BM japokuwa sasa baada ya JPM na BM kuwa maadui wakubwa BM alimpa uhuru Makonda wa kumponda huku akiendelea kumtonya za ndaniii kabisa ambazo JPM anazikusudia kumfanyia BM.
Hatari zote ambazo zilipangwa za kumhusu BM zilianzia kwa mtoto pendwa na kabla ya utekelezaji wake mtoto pendwa alimtonya BM kupitia namna ya mawasiliano yao waliyokuwa wameyafanya kuwa rasmi.
Mlishajiuliza kwa nini BM alikuwa anasanua kila mpango pangwa kwake? Jibu ni mnyetishaji alikuwa mtoto pendwa na JPM asingeweza kung'amua hilo kwa namna alivyokuwa anamwamini dogo na ilifikia wakati hata alikuwa anaenda mwenyewe kutekeleza mission bila awaye na kupitia mwanya huo alikuwa akikutana na mtu kati baina yake na BM kumpa mpango utarajiwao kumuumiza ili ajinasue.
ULISHAJIULIZA KWA NINI BM ALIKUWA AKIMZODOA JPM KWAMBA CHOCHOTE ANACHOKIPANGA IWE USINGIZINI AMA NDOTONI YEYE ANAKIFAHAMU?!
Makonda alikuwa hawezi kabisa kukubali mipango yeyote ya kumuumiza BM kwa sababu ya wema aliotendewa na BM kabla ya JPM kuibuka ghafla.
BM alishamwepusha na hatari nyingi Makonda zilizokuwa zikipangwa na timu mamvi na R kipindi akiwashambulia kwa tuhuma za ufisadi Lowasa na Rostam na kwalo pamoja na uswahiba wa yeye na JPM lakini bado kwa namna yeyote aliapa kulipa fadhira kwa kumwepusha BM na dhahama yeyote ile.
Ujanja wote wa Membe na kiburi chote ndani ya Utawala wa JPM ulihisaniwa na Makonda ambaye ndiye alikuwa mwandani wa kufa na JPM.
Paul haishi Masaki kwa bahati mbaya. Paul ni CHUNGU NA TAMU KWA WATAWALA! Paul yupo, atakuwepo hadi mwenyezi Mungu ATAKAVYOAMUA VINGINEVYO.
IMANI YA JPM KWA MAKONDA NDIYO ILIYOMWEPUSHA NA HATARI NYINGI BM.
NB: ZIMWI LIKUJUALO....
Usitishe watu wakaacha kufuatilia madeni yaoHata Yuda iskariote alikuwa informer wa mafarisayo, ila mwisho wa siku alijinyonga kwa majuto.
Kuna msiba mzito unakuja soon.
Hili nina uhakika nalo, MAKONDA humwambii kitu kwa KIKWETE yaani huna utakalomwambia kuhusu JAKAYA.Kwa hiyo Bashite analindwa na kikwete hadi leo hii?
Wafatilie tu hayo madeni, Bernard alikuwa active kufatilia hela yake ila kwa sasa hayupo, atakayejitia kufatilia malipo naye ataondoka 😂Usitishe watu wakaacha kufuatilia madeni yao
Makonda hakuwahi kumtaja mtoto wowote wa JK kwenye ishu za madawa, ni UZUSHI kama uzushi mwingine.kwa JK hapo mkuu nina wasiwasi kama bado ni marafiki maana alimtaja mtoto wake kwenye tuhuma za dawa za kulevya. Au labda ntakuwa nimechanganya mafaili?
Wakati ule MAKONDA bado alikuwa DC wa KINONDONI mkuuMengi uliyoandika ni ukweli kasoro issue ya kuwa Makonda alikuwa anamuepusha Membe dhidi ya dhahma ya Magufuli.
Ukweli ni kwamba Makonda ana kawaida ya kujenga LOYALTY na kiongozi aliyepo mbele yake wakati huo. Makonda hawezi akarudi nyuma kumhifadhi au kumtetea mtu yeyote ambaye hana madaraka kwake. Ukweli ni kwamba Membe alijaribu sana kumtafuta Makonda ili amsuluhishie kwa Magufuli kuhusu ISSUES zake lakini Makonda alikuwa HAPOKEI simu za Membe!!
Kama Makonda angekuwa mtu mwema basi angemtetea kwa Magufuli aridhie Membe aende kule AU alikopata kazi, lakini Magufuli akamkatalia kumu endorse. Wewe ni MWONGO.
Halafu nakushangaa jana ulikuwa na thread yako humu inasema Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli
Hapo ulihuzunika na kifo hmcha Magufuli, na kwenye thread hii unakiri kabisa UHAYAWANI na UKATILI wa Magufuli. Watanzania wanafiki sana
🙏🙏🙏nachojua kijana pendwa,ni kijana wa jk,na jk alikabishiwa huyo kijana kutoka kwa Pius msekwa,Basi jk akapewa ombi la kumlea kijana pendwa,jk akaja kumuamini kijana pendwa pale alipomsaidia kuzima Moto wa warioba wa rasimu ya katiba ,hapo jk akaona huyu kijana anamfaa Sana ,Basi jk akaona haoni mtu mwingine wa Kum train kijana aive haswa awe kachero wa kitengo ambaye atamtumikia yeye jk na maswahiba wake Kama BM,na ndipo akamkqbidhi kwa kachero mbobezi namba 3 (ambaye ni BM) ,jk akampa maagizo na ombi BM amnoe kijana aive haswa .BM akampokea kijana pendwa na kumuweka chini yake na hapo ndipo unaona ukaribu wa Siri Kati ya kijana pendwa ,BM ,na JK.
maigizo yote aliyoyafanya kijana pendwa kwa jp ,Hadi akakubalika na kuaminiwa na jp ,darasa alikuwa akilipata kwa BM . huyu kijana pendwa ni kachero undercover aliyei a haswa kwa Sasa ,japo Kuna vipengere alikuwa bado hajapitiahwa na mwal.wake Wa ukachero BM.
Utaona Kuna uswahiba Kati ya kijana pendwa na lemutuz , lemutuz ni mtt wa kachero mbobezi namba 1 ,hapa namzungumzia mzee JM wa kule makao makuu, kachero BM anamkubali Sana kachero mbobezi nba 1 ,mzee JM ,hivyo hata huyu BM alilelewa pia ki kachero na mzee JM(kachero mbobezi no.1) ,hivyo BM katika mishe zake za kikqchero enzi za utawala wa JP ,kachero BM akaona amtafute kijana ambaye pia atamsaidia kijana mpendwa ,na hapa aka muamuru kijana pendwa enzi hizo akiwa RC ,amuamini le bebez mtt wa kachero mbobezi no.1,si unajua mtt wa Simba ni simba tu,si unakumbuka Kuna kipindi le bebez aliwahi kusema JP aliwahi kumwambia anataka ampe uteuzi Ila yy akakataa akasema ,ampe connection tu za kupata pesa na sio teuzi.
😅😅hapana wapo ccm kanda ya ziw wema tu.Sema ccm kanda ya ziwa
Pumba hizi hazina ukweli wowote. Makonda siyo kachero. TISS haiwezi kuajiri mtu mbumbumbu kama Makonda mwenye vyeti vya forgery halafu ni shoga.nachojua kijana pendwa,ni kijana wa jk,na jk alikabishiwa huyo kijana kutoka kwa Pius msekwa,Basi jk akapewa ombi la kumlea kijana pendwa,jk akaja kumuamini kijana pendwa pale alipomsaidia kuzima Moto wa warioba wa rasimu ya katiba ,hapo jk akaona huyu kijana anamfaa Sana ,Basi jk akaona haoni mtu mwingine wa Kum train kijana aive haswa awe kachero wa kitengo ambaye atamtumikia yeye jk na maswahiba wake Kama BM,na ndipo akamkqbidhi kwa kachero mbobezi namba 3 (ambaye ni BM) ,jk akampa maagizo na ombi BM amnoe kijana aive haswa .BM akampokea kijana pendwa na kumuweka chini yake na hapo ndipo unaona ukaribu wa Siri Kati ya kijana pendwa ,BM ,na JK.
maigizo yote aliyoyafanya kijana pendwa kwa jp ,Hadi akakubalika na kuaminiwa na jp ,darasa alikuwa akilipata kwa BM . huyu kijana pendwa ni kachero undercover aliyei a haswa kwa Sasa ,japo Kuna vipengere alikuwa bado hajapitiahwa na mwal.wake Wa ukachero BM.
Utaona Kuna uswahiba Kati ya kijana pendwa na lemutuz , lemutuz ni mtt wa kachero mbobezi namba 1 ,hapa namzungumzia mzee JM wa kule makao makuu, kachero BM anamkubali Sana kachero mbobezi nba 1 ,mzee JM ,hivyo hata huyu BM alilelewa pia ki kachero na mzee JM(kachero mbobezi no.1) ,hivyo BM katika mishe zake za kikqchero enzi za utawala wa JP ,kachero BM akaona amtafute kijana ambaye pia atamsaidia kijana mpendwa ,na hapa aka muamuru kijana pendwa enzi hizo akiwa RC ,amuamini le bebez mtt wa kachero mbobezi no.1,si unajua mtt wa Simba ni simba tu,si unakumbuka Kuna kipindi le bebez aliwahi kusema JP aliwahi kumwambia anataka ampe uteuzi Ila yy akakataa akasema ,ampe connection tu za kupata pesa na sio teuzi.
Double agency is hazardous for one's life. Tumwombee kijana.nachojua kijana pendwa,ni kijana wa jk,na jk alikabishiwa huyo kijana kutoka kwa Pius msekwa,Basi jk akapewa ombi la kumlea kijana pendwa,jk akaja kumuamini kijana pendwa pale alipomsaidia kuzima Moto wa warioba wa rasimu ya katiba ,hapo jk akaona huyu kijana anamfaa Sana ,Basi jk akaona haoni mtu mwingine wa Kum train kijana aive haswa awe kachero wa kitengo ambaye atamtumikia yeye jk na maswahiba wake Kama BM,na ndipo akamkqbidhi kwa kachero mbobezi namba 3 (ambaye ni BM) ,jk akampa maagizo na ombi BM amnoe kijana aive haswa .BM akampokea kijana pendwa na kumuweka chini yake na hapo ndipo unaona ukaribu wa Siri Kati ya kijana pendwa ,BM ,na JK.
maigizo yote aliyoyafanya kijana pendwa kwa jp ,Hadi akakubalika na kuaminiwa na jp ,darasa alikuwa akilipata kwa BM . huyu kijana pendwa ni kachero undercover aliyei a haswa kwa Sasa ,japo Kuna vipengere alikuwa bado hajapitiahwa na mwal.wake Wa ukachero BM.
Utaona Kuna uswahiba Kati ya kijana pendwa na lemutuz , lemutuz ni mtt wa kachero mbobezi namba 1 ,hapa namzungumzia mzee JM wa kule makao makuu, kachero BM anamkubali Sana kachero mbobezi nba 1 ,mzee JM ,hivyo hata huyu BM alilelewa pia ki kachero na mzee JM(kachero mbobezi no.1) ,hivyo BM katika mishe zake za kikqchero enzi za utawala wa JP ,kachero BM akaona amtafute kijana ambaye pia atamsaidia kijana mpendwa ,na hapa aka muamuru kijana pendwa enzi hizo akiwa RC ,amuamini le bebez mtt wa kachero mbobezi no.1,si unajua mtt wa Simba ni simba tu,si unakumbuka Kuna kipindi le bebez aliwahi kusema JP aliwahi kumwambia anataka ampe uteuzi Ila yy akakataa akasema ,ampe connection tu za kupata pesa na sio teuzi.
😅😅😅Pumba hizi hazina ukweli wowote. Makonda siyo kachero. TISS haiwezi kuajiri mtu mbumbumbu kama Makonda mwenye vyeti vya forgery
Anaweza kuwa alimtaja kimagumashi/kuzuga tu waliokuwa wanatafutwa ni Manji na Mbowe tu😅😅kwa JK hapo mkuu nina wasiwasi kama bado ni marafiki maana alimtaja mtoto wake kwenye tuhuma za dawa za kulevya. Au labda ntakuwa nimechanganya mafaili?
Weeee fala unajifanya una tishia Watu kufa, kenge wewe kwani ww izraili?Hata Yuda iskariote alikuwa informer wa mafarisayo, ila mwisho wa siku alijinyonga kwa majuto.
Kuna msiba mzito unakuja soon.
Mkuu umetoa heresay, hauna specifics.Ipo habari msisimko isiyofahamika na wengi kumhusu Aliyewahi kuwa W NJ ndugu Benard Membe aliyetangulia mbele za haki mapema juzi na ndugu Paul Makonda aliyepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nyuma ya pazia na kwa sababu mhusika mkuu hatunaye tena acha niwashirikishe.
Ikumbukwe, Makonda kabla ya ujio wa kishindo wa Magufuli Mamlakani alikuwa timu Membe tena mwandani kabisa na Membe ndiye aliye mshawishi Kikwete amteue Makonda kuwa DC wa Kinondoni ili hapo baadae Makonda imuwie u rahisi kugombea Jimbo la Kinondoni mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu na ndoto ilikuwa BM angekuwa Rais na ndiposa Makonda angeteuliwa na BM kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndoto iliyoyeyushwa na ujio wa bahati wa JPM.
Kwa sababu ya kuelewana lugha na kwa sababu nyingine ambayo ni nyeti aliyomtonya JPM na baada ya tonyo lile kuja kuwa la kweli bwana Makonda akaaminiwa na JPM hakika hali iliyopelekea ateuliwe kuwa RC Dar es Salaam na kilichofuatia baina ya wawili hao ni historia.
Sasa basi, pamoja na uswahiba wa kufa na kupona baina ya Makonda na JPM lakini bado Makonda alikuwa mwaminifu kwa BM japokuwa sasa baada ya JPM na BM kuwa maadui wakubwa BM alimpa uhuru Makonda wa kumponda huku akiendelea kumtonya za ndaniii kabisa ambazo JPM anazikusudia kumfanyia BM.
Hatari zote ambazo zilipangwa za kumhusu BM zilianzia kwa mtoto pendwa na kabla ya utekelezaji wake mtoto pendwa alimtonya BM kupitia namna ya mawasiliano yao waliyokuwa wameyafanya kuwa rasmi.
Mlishajiuliza kwa nini BM alikuwa anasanua kila mpango pangwa kwake? Jibu ni mnyetishaji alikuwa mtoto pendwa na JPM asingeweza kung'amua hilo kwa namna alivyokuwa anamwamini dogo na ilifikia wakati hata alikuwa anaenda mwenyewe kutekeleza mission bila awaye na kupitia mwanya huo alikuwa akikutana na mtu kati baina yake na BM kumpa mpango utarajiwao kumuumiza ili ajinasue.
ULISHAJIULIZA KWA NINI BM ALIKUWA AKIMZODOA JPM KWAMBA CHOCHOTE ANACHOKIPANGA IWE USINGIZINI AMA NDOTONI YEYE ANAKIFAHAMU?!
Makonda alikuwa hawezi kabisa kukubali mipango yeyote ya kumuumiza BM kwa sababu ya wema aliotendewa na BM kabla ya JPM kuibuka ghafla.
BM alishamwepusha na hatari nyingi Makonda zilizokuwa zikipangwa na timu mamvi na R kipindi akiwashambulia kwa tuhuma za ufisadi Lowasa na Rostam na kwalo pamoja na uswahiba wa yeye na JPM lakini bado kwa namna yeyote aliapa kulipa fadhira kwa kumwepusha BM na dhahama yeyote ile.
Ujanja wote wa Membe na kiburi chote ndani ya Utawala wa JPM ulihisaniwa na Makonda ambaye ndiye alikuwa mwandani wa kufa na JPM.
Paul haishi Masaki kwa bahati mbaya. Paul ni CHUNGU NA TAMU KWA WATAWALA! Paul yupo, atakuwepo hadi mwenyezi Mungu ATAKAVYOAMUA VINGINEVYO.
IMANI YA JPM KWA MAKONDA NDIYO ILIYOMWEPUSHA NA HATARI NYINGI BM.
NB: ZIMWI LIKUJUALO....
Wapi kwenye andiko langu nimeandika Magufuli mbaya?!Mengi uliyoandika ni ukweli kasoro issue ya kuwa Makonda alikuwa anamuepusha Membe dhidi ya dhahma ya Magufuli.
Ukweli ni kwamba Makonda ana kawaida ya kujenga LOYALTY na kiongozi aliyepo mbele yake wakati huo. Makonda hawezi akarudi nyuma kumhifadhi au kumtetea mtu yeyote ambaye hana madaraka kwake. Ukweli ni kwamba Membe alijaribu sana kumtafuta Makonda ili amsuluhishie kwa Magufuli kuhusu ISSUES zake lakini Makonda alikuwa HAPOKEI simu za Membe!!
Kama Makonda angekuwa mtu mwema basi angemtetea kwa Magufuli aridhie Membe aende kule AU alikopata kazi, lakini Magufuli akamkatalia kumu endorse. Wewe ni MWONGO.
Halafu nakushangaa jana ulikuwa na thread yako humu inasema Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli
Hapo ulihuzunika na kifo cha Magufuli, na kwenye thread hii unakiri kabisa UHAYAWANI na UKATILI wa Magufuli. Watanzania wanafiki sana
Sukuma gang mwenzio huyo... Anakiri JPM alikua anapanga njama dhidi ya BMHapo Ufipa mtaacha lini ufitini, uongo , uchawi na uzushi?