Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Tunawasaidia kuwaelimisha wajinga ambao ndiyo wengi na wewe ukiwamo[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii kwa upande wako usilazimishe kila mtu amwone kwa mtizamo wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawasaidia kuwaelimisha wajinga ambao ndiyo wengi na wewe ukiwamo[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii kwa upande wako usilazimishe kila mtu amwone kwa mtizamo wako.
Weka avatar ya picha yako kwanza. Jiamini[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii kwa upande wako usilazimishe kila mtu amwone kwa mtizamo wako.
Huyu jamaa mganga wake alimtoa wapi aiseee [emoji3][emoji3][emoji3]Membe, Kinana, JK na Rais wote ni maswahiba wa kutupwa wa Makonda
Umenikumbusha siri za vikao vya JPM zilivyokuwa zinavuja kupitia kwa Saa100 kwenda kwa waziri wa sasa wa kuleta umeme.Ipo habari msisimko isiyofahamika na wengi kumhusu Aliyewahi kuwa W NJ ndugu Benard Membe aliyetangulia mbele za haki na ndugu Paul Makonda aliyepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Nyuma ya pazia, wawili hao wana hadithi nzuri na yenye fundisho ndaniye. Kwa sababu wahusika wakuu hatunao tena, yaani JPM na BM acha leo niwashirikishe.
Ikumbukwe, Makonda kabla ya ujio wa kishindo wa Magufuli Mamlakani alikuwa timu Membe tena mwandani kabisa! Na Membe ndiye aliye mshawishi Kikwete amteue Makonda kuwa DC wa Kinondoni. Lengo la BM kumwombea uteuzi mtoto mpendwa tena kwenye Wilaya yenye hadhi ya Jiji ilikuwa kumwandalia/ kumsafishia njia bwana Makonda ili baadae imuwie u rahisi kugombea Jimbo la Kinondoni mwaka 2015 kwenye Uchaguzi Mkuu. Na ndoto ilikuwa BM angefanikiwa kuwa Rais ndiposa angelimteua Makonda kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ( W MNN) ndoto iliyoyeyushwa na ujio wa bahati wa JPM.
Kutokana na JPM kutoka Kanda pendwa kama ilivyo kwa Makonda na kuelewana lugha, na kwa sababu nyingine ambayo ni nyeti aliyomtonya JPM na baada ya tonyo lile kuja kuwa la kweli; bwana Makonda akaaminiwa na JPM hakika. Hali ya kuaminiwa ghafla na Boss mpya ilipelekea ateuliwe kuwa RC wa Jiji Kuu la Dar es Salaam. Kilichofuatia baina ya wawili hao, ni historia!
Sasa basi, pamoja na uswahiba wa kufa na kuzikana baina ya Makonda na JPM, bado Makonda alikuwa mwaminifu kwa BM. Lakini, baada ya JPM na BM kuwa maadui wakubwa BM alimpa uhuru Makonda wa kumponda huku akiendelea kumtonya za ndaniii kabisa ambazo JPM alikusudia kumtendea BM.
Mikakati yote ambayo ilipangwa kumhusu BM ilianzia kwa mtoto pendwa na kabla ya utekelezaji wake mtoto pendwa alimtonya BM kupitia namna ya mawasiliano yao waliyokuwa wameyafanya kuwa rasmi.
Mlishajiuliza kwa nini BM alikuwa anasanua kila mpango pangwa kwake? Jibu ni mnyetishaji alikuwa mtoto pendwa na JPM asingeweza kung'amua hilo kwa namna alivyokuwa anamwamini dogo na ilifikia wakati hata alikuwa anaenda mwenyewe kutekeleza mission bila awaye na kupitia mwanya huo alikuwa akikutana na mtu kati baina yake na BM kumpa mpango utarajiwao kumuumiza ili ajinasue.
ULISHAJIULIZA KWA NINI BM ALIKUWA AKIMZODOA JPM KWAMBA CHOCHOTE ANACHOKIPANGA IWE USINGIZINI AMA NDOTONI YEYE ANAKIFAHAMU?! JIBU NI MTOTO PENDWA ALIKUWA ANAVUJISHA SIRI.
Pamoja na mikakati yote iliyopangwa kwa ajili ya kumnyamazisha BM alikuwa mshirika, lakini dogo alihakikisha BM anatonywa ili aweze kujinasua. Hiyo yote ilitokana na wema aliotendewa na BM kabla ya JPM kuibuka ghafla.
BM alishamwepusha na hatari nyingi Makonda zilizokuwa zikipangwa na timu mamvi na R kipindi akiwashambulia kwa tuhuma za ufisadi. Lowasa na Rostam walichukizwa mno na Makonda kwa namna ambayo kwao ilikuwa inawachafua na walishuhudia kupitia mashambulizi ya Makonda twasira yao kisiasa, inaharibiwa. Ikumbukwe, bwana Lowasa alikuwa kinara wa mbio za kuutaka u Rais.
Pamoja na uswahiba wa yeye ( Makonda) na JPM lakini bado kwa namna yeyote aliapa kulipa fadhira kwa kumwepusha BM na dhahama yeyote ile.
Ujanja wote wa Membe na kiburi chote ndani ya Utawala wa JPM ulihisaniwa na Makonda ambaye ndiye alikuwa mwandani wa kufa na JPM.
Paul haishi Masaki kwa bahati mbaya. Paul ni CHUNGU NA TAMU KWA WATAWALA! Paul yupo, atakuwepo hadi mwenyezi Mungu ATAKAVYOAMUA VINGINEVYO.
Na siku USA watakapomwondolea Makonda tuhuma walizo mtuhumu, amini nawaambia mtoto pendwa atarejeshwa kesho yake katika Ufalme wa 🇹🇿.
IMANI YA JPM KWA MAKONDA NDIYO ILIYOMWEPUSHA NA HATARI NYINGI BM.
NB: ZIMWI LIKUJUALO....
So maza alikuwa snitch kwa JPM?Umenikumbusha siri za vikao vya JPM zilivyokuwa zinavuja kupitia kwa Saa100 kwenda kwa waziri wa sasa wa kuleta umeme.
Wakati huo mmoja alikuwa makamu wa JPM mwenzake alikuwa waxiri wa mazingira na muungano,
ilikuwa ni may na sasa october makonda huyoooo…🤸♀️🤸♀️Ipo habari msisimko isiyofahamika na wengi kumhusu Aliyewahi kuwa W NJ ndugu Benard Membe aliyetangulia mbele za haki na ndugu Paul Makonda aliyepata kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Nyuma ya pazia, wawili hao wana hadithi nzuri na yenye fundisho ndaniye. Kwa sababu wahusika wakuu hatunao tena, yaani JPM na BM acha leo niwashirikishe.
Ikumbukwe, Makonda kabla ya ujio wa kishindo wa Magufuli Mamlakani alikuwa timu Membe tena mwandani kabisa! Na Membe ndiye aliye mshawishi Kikwete amteue Makonda kuwa DC wa Kinondoni. Lengo la BM kumwombea uteuzi mtoto mpendwa tena kwenye Wilaya yenye hadhi ya Jiji ilikuwa kumwandalia/ kumsafishia njia bwana Makonda ili baadae imuwie u rahisi kugombea Jimbo la Kinondoni mwaka 2015 kwenye Uchaguzi Mkuu. Na ndoto ilikuwa BM angefanikiwa kuwa Rais ndiposa angelimteua Makonda kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ( W MNN) ndoto iliyoyeyushwa na ujio wa bahati wa JPM.
Kutokana na JPM kutoka Kanda pendwa kama ilivyo kwa Makonda na kuelewana lugha, na kwa sababu nyingine ambayo ni nyeti aliyomtonya JPM na baada ya tonyo lile kuja kuwa la kweli; bwana Makonda akaaminiwa na JPM hakika. Hali ya kuaminiwa ghafla na Boss mpya ilipelekea ateuliwe kuwa RC wa Jiji Kuu la Dar es Salaam. Kilichofuatia baina ya wawili hao, ni historia!
Sasa basi, pamoja na uswahiba wa kufa na kuzikana baina ya Makonda na JPM, bado Makonda alikuwa mwaminifu kwa BM. Lakini, baada ya JPM na BM kuwa maadui wakubwa BM alimpa uhuru Makonda wa kumponda huku akiendelea kumtonya za ndaniii kabisa ambazo JPM alikusudia kumtendea BM.
Mikakati yote ambayo ilipangwa kumhusu BM ilianzia kwa mtoto pendwa na kabla ya utekelezaji wake mtoto pendwa alimtonya BM kupitia namna ya mawasiliano yao waliyokuwa wameyafanya kuwa rasmi.
Mlishajiuliza kwa nini BM alikuwa anasanua kila mpango pangwa kwake? Jibu ni mnyetishaji alikuwa mtoto pendwa na JPM asingeweza kung'amua hilo kwa namna alivyokuwa anamwamini dogo na ilifikia wakati hata alikuwa anaenda mwenyewe kutekeleza mission bila awaye na kupitia mwanya huo alikuwa akikutana na mtu kati baina yake na BM kumpa mpango utarajiwao kumuumiza ili ajinasue.
ULISHAJIULIZA KWA NINI BM ALIKUWA AKIMZODOA JPM KWAMBA CHOCHOTE ANACHOKIPANGA IWE USINGIZINI AMA NDOTONI YEYE ANAKIFAHAMU?! JIBU NI MTOTO PENDWA ALIKUWA ANAVUJISHA SIRI.
Pamoja na mikakati yote iliyopangwa kwa ajili ya kumnyamazisha BM alikuwa mshirika, lakini dogo alihakikisha BM anatonywa ili aweze kujinasua. Hiyo yote ilitokana na wema aliotendewa na BM kabla ya JPM kuibuka ghafla.
BM alishamwepusha na hatari nyingi Makonda zilizokuwa zikipangwa na timu mamvi na R kipindi akiwashambulia kwa tuhuma za ufisadi. Lowasa na Rostam walichukizwa mno na Makonda kwa namna ambayo kwao ilikuwa inawachafua na walishuhudia kupitia mashambulizi ya Makonda twasira yao kisiasa, inaharibiwa. Ikumbukwe, bwana Lowasa alikuwa kinara wa mbio za kuutaka u Rais.
Pamoja na uswahiba wa yeye ( Makonda) na JPM lakini bado kwa namna yeyote aliapa kulipa fadhira kwa kumwepusha BM na dhahama yeyote ile.
Ujanja wote wa Membe na kiburi chote ndani ya Utawala wa JPM ulihisaniwa na Makonda ambaye ndiye alikuwa mwandani wa kufa na JPM.
Paul haishi Masaki kwa bahati mbaya. Paul ni CHUNGU NA TAMU KWA WATAWALA! Paul yupo, atakuwepo hadi mwenyezi Mungu ATAKAVYOAMUA VINGINEVYO.
Na siku USA watakapomwondolea Makonda tuhuma walizo mtuhumu, amini nawaambia mtoto pendwa atarejeshwa kesho yake katika Ufalme wa 🇹🇿.
IMANI YA JPM KWA MAKONDA NDIYO ILIYOMWEPUSHA NA HATARI NYINGI BM.
NB: ZIMWI LIKUJUALO....
Umeamini?Kama kweli yaani!.
Muone nini?Ngoja tuone...
Shoga?Pumba hizi hazina ukweli wowote. Makonda siyo kachero. TISS haiwezi kuajiri mtu mbumbumbu kama Makonda mwenye vyeti vya forgery halafu ni shoga.
Suzy Suzy Elias , what has katazo la US kwa Makonda got to do with kurejeshwa kwa Makonda?.Na siku USA watakapomwondolea Makonda tuhuma walizo mtuhumu, amini nawaambia mtoto pendwa atarejeshwa kesho yake katika Ufalme wa 🇹🇿.
NB: ZIMWI LIKUJUALO....
Analiwa huoni matako yake yalivyobinuka? Halafu wanaye wote wa maabara kwenye test tube.Shoga?
Kvp
MTAZAMO amelikeThis is a very honest post umebalance mapenzi yako na uhalisia. Safi sana
Ndugu, wakati fulani Rais Samia alishawaomba USA wamwondolee Paul hilo zuio na wao wakamjibu watalifanyia.Suzy Suzy Elias , what has katazo la US kwa Makonda got to do with kurejeshwa kwa Makonda?.
Katazo la US bado lipo na Konda Boy ameisharejea!, 2025 ni Mjengoni then...
P