nachojua kijana pendwa,ni kijana wa jk,na jk alikabishiwa huyo kijana kutoka kwa Pius msekwa,Basi jk akapewa ombi la kumlea kijana pendwa,jk akaja kumuamini kijana pendwa pale alipomsaidia kuzima Moto wa warioba wa rasimu ya katiba ,hapo jk akaona huyu kijana anamfaa Sana ,Basi jk akaona haoni mtu mwingine wa Kum train kijana aive haswa awe kachero wa kitengo ambaye atamtumikia yeye jk na maswahiba wake Kama BM,na ndipo akamkqbidhi kwa kachero mbobezi namba 3 (ambaye ni BM) ,jk akampa maagizo na ombi BM amnoe kijana aive haswa .BM akampokea kijana pendwa na kumuweka chini yake na hapo ndipo unaona ukaribu wa Siri Kati ya kijana pendwa ,BM ,na JK.
maigizo yote aliyoyafanya kijana pendwa kwa jp ,Hadi akakubalika na kuaminiwa na jp ,darasa alikuwa akilipata kwa BM . huyu kijana pendwa ni kachero undercover aliyei a haswa kwa Sasa ,japo Kuna vipengere alikuwa bado hajapitiahwa na mwal.wake Wa ukachero BM.
Utaona Kuna uswahiba Kati ya kijana pendwa na lemutuz , lemutuz ni mtt wa kachero mbobezi namba 1 ,hapa namzungumzia mzee JM wa kule makao makuu, kachero BM anamkubali Sana kachero mbobezi nba 1 ,mzee JM ,hivyo hata huyu BM alilelewa pia ki kachero na mzee JM(kachero mbobezi no.1) ,hivyo BM katika mishe zake za kikqchero enzi za utawala wa JP ,kachero BM akaona amtafute kijana ambaye pia atamsaidia kijana mpendwa ,na hapa aka muamuru kijana pendwa enzi hizo akiwa RC ,amuamini le bebez mtt wa kachero mbobezi no.1,si unajua mtt wa Simba ni simba tu,si unakumbuka Kuna kipindi le bebez aliwahi kusema JP aliwahi kumwambia anataka ampe uteuzi Ila yy akakataa akasema ,ampe connection tu za kupata pesa na sio teuzi.