Paul Makonda informer wa Benard Membe katika ya Utawala Magufuli

Kwahiyo hapa unaanika ni jinsi gani Magu alikuwa mtu katili na hatari? Sasa kwanini tukiwaambia kuwa Magu alikuwa mtu muovu mnakaza mafuvu?
 
Wakati ule MAKONDA bado alikuwa DC wa KINONDONI mkuu
 
๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Pumba hizi hazina ukweli wowote. Makonda siyo kachero. TISS haiwezi kuajiri mtu mbumbumbu kama Makonda mwenye vyeti vya forgery halafu ni shoga.
 
Double agency is hazardous for one's life. Tumwombee kijana.
 
Hata Yuda iskariote alikuwa informer wa mafarisayo, ila mwisho wa siku alijinyonga kwa majuto.

Kuna msiba mzito unakuja soon.
Weeee fala unajifanya una tishia Watu kufa, kenge wewe kwani ww izraili?
Unatishia watu kifo ilihali kifo ni haki ya msingi ya kiumbe hai,nyau wa kisukuma ww
 
Mkuu umetoa heresay, hauna specifics.
 
Wapi kwenye andiko langu nimeandika Magufuli mbaya?!

Magufuli alimuona BM ni kikwazo kwenye Utawala wake na ningeweza kumzuia?!

Kwangu mimi JPM ni Rais bora kabisa kutokea katika Bara letu la Afrika! Na kama ni mapungufu basi anayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ