Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu jamaa si mwenzio kbc alinunua mjengo ostabei akaubadili upo kama ikulu anamiezi karibu mi4 yuko hapo masaki alishahama.Ile migari iliyokuwa akiifunga plate number za RC nayo ataikabidhi au ni yake binafsi?na akihama pale masaki wapi ataelekea kwa sasa? Maisha yanaenda kasi sana
Hapa duniani vitu tumevikuta na tutaviacha!Du ile ofisi ilitengenezwa kwa gharama kubwa kabla Makonda hajaanza kuitumia.
Sidhani kama Baba Jay alikuwa ana uhakika wa Mwanae mpendwa Bashite kudondokea kichojo Kule Kiga.Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa Dsm Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
Ile ofisi aliifanyia matengenezo makubwa.Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa Dsm Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
Hanaga middle mana huyoKama kuna mwana usalama aliingia kichwani kwake kumwambia Mzee amemaua aache uRc akagombee ccm amemuweza sana
Tamaa inayafanya kwenda kasi zaidiMaisha yanaenda kwa kasi sana.
Cheo ni dhamana 'tukipewa hivi vyeo tusibweteke'Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa Dsm Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
Umenikumbusha kituKama kuna mwana usalama aliingia kichwani kwake kumwambia Mzee amemaua aache uRc akagombee ccm amemuweza sana
Fanicha ni za ofisi.anaweza kuondoka na fenicha zake
Na tena mfikishie salaam na akaombe ukimbizi somalia baada ya hiyo sherehe fupi.Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa Dsm Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
This is too much exaggeration. Kuhudhuriwa na kila Mtumishi? Ina maana ofisi zoote kufungwa kuanzia bandari, Tanesco, wizara zoote, nk na woote watahudhuria mkutano!!? Hata mkutano wa rais haujawahi kuwa hivyo. Watumishi wanaohudhuria mikutano hawawezi kufika hata nusu.
Wengine lazima wabaki ili mambo yaende. Punguza ushabiki dada usio na maana. Usemacho ni kinyume na logic
Nashukuru mkuu kwa kumuelewesha!Hujaelewa wewe, anaposema watumishi anamaanisha watumishi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
Kumbe mwamba alikuwa anakaa mji wa mazimba Masaki!?🤣🤣🤣Ile migari iliyokuwa akiifunga plate number za RC nayo ataikabidhi au ni yake binafsi?na akihama pale masaki wapi ataelekea kwa sasa? Maisha yanaenda kasi sana