Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Mbona hamna picha za tukio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anasubiri aone labda rais atabadili maamuzi amrudishe.Mbona imemchukua muda mrefu sana kukabidhi Ofisi?
Akitaka kuja aombe kibali la sivyo arudi kwao kolomijeAkimaliza kukabidhi ofisi, atafute kazi nyingine ya kufanya Dar haraka sana au arudi kwao Koromije, maana jiji la Dar hatutaki wazururaji wasiokuwa na kazi maalum.
Wengi hawamvhukii Makonda wanachukia tabia na matendo yake. Mf kutangaza hadharani wazururaji wote wahame mkoani kwake.kwa nini majority wanamchukia Makonda?
😳😳Wengi hawamvhukii Makonda wanachukia tabia na matendo yake. Mf kutangaza hadharani wazururaji wote wahame mkoani kwake.
Sio Kila Jambo lazima uelewe na uchsngie !This is too much exaggeration. Kuhudhuriwa na kila Mtumishi? Ina maana ofisi zoote kufungwa kuanzia bandari, Tanesco, wizara zoote, nk na woote watahudhuria mkutano!!? Hata mkutano wa rais haujawahi kuwa hivyo. Watumishi wanaohudhuria mikutano hawawezi kufika hata nusu.
Wengine lazima wabaki ili mambo yaende. Punguza ushabiki dada usio na maana. Usemacho ni kinyume na logic
Aondoke tu Kubabeki😀Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu, mzee Mgaya anabashiri nini uchaguzi ujao?Ndivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!
CCM inashinda viti vyote vya ubunge saa 4 asubuhi!Mkuu, mzee Mgaya anabashiri nini uchaguzi ujao?
Halafu mwambieni liwe linaoga lisije kuingia mjini mitaa ya posta bila kuoga wala kunyoosha nguo,Kuna watalii wanakuja Serena hotel next month ni rafk zangu nilifanya nao LLM kwa Qeen Elza.Akimaliza kukabidhi ofisi, atafute kazi nyingine ya kufanya Dar haraka sana au arudi kwao Koromije, maana jiji la Dar hatutaki wazururaji wasiokuwa na kazi maalum.
Atakoma! Na anavyopenda media sijui ataishije bila kuonekana kwa tvUtumishi wa umma! Halafu mtu anaongoza kwa ku-enjoy maisha.
View attachment 1513496
Hahaaa! Certificate ya uvuvi Nyegezi,diploma ya uvuvi bagamoyo. Nape njooooo huku uone. Shenzi kabsaAkavue samaki. Ndiko utaalamu wake ulipo
Nyumba ya masaki amekabizi?Proudly sponsored by GSM.
Anaye ondoka kheri ya nini..wakati tunapumua sasaNdivyo ilivyo.
Mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM Paul Makonda atafanya makabidhiano rasmi na mrithi wake Aboubakar Kunenge katika sherehe fupi itakoyohudhuriwa na watumishi wote.
Tumtakie kila la kheri anayeondoka na anayeingia.
Maendeleo hayana vyama!