Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Basi ndo maana ni mwehu uyo mwashambwa cjuiHuyo sio mtu wa mbeya ni wa songwe
Hadi naona aibu,sijui mmalila wa wapi huyu jamani?Unawadhalilisha watu wa mbeya
Jiji la Arusha linakwenda kupaa kwa kila kitu, kuanzia uchumi wa ndani,makusanyo,utalii, biashara,mapato n.k.huyo atakuja kuvuruga tuu utulivu wa ARUSHA ataleta siasa zake za uhasama na wapinzani hatimaye watavuruaga tena utalii.
Umekosa hata nauli ya kwenda kupiga picha uchawa unakusaidi nini sasaArusha kumekucha,kanda ya kaskazini imesimama, wananchi wanatetemeka kwa furaha, shughuli zote zimesimama, habari ni moja tu, stori ni moja tu ni juu ya ujio wa Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Paul Christian Makonda Kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
Imeshuhudiwa magari ya watalii na kitalii yakiwa yamefurika kwa wingi uwanjani kwa ajili ya kumsubiri Mwamba atakapotua uwanja wa ndege ,ili kuweza kumlaki na kumpokea na kuongoza msafara mzito wa Magari kuwahi kushuhudiwa ndani ya jiji la Arusha kuelekea ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa ajili ya makabidhiano ya Ofisi..
Vijana na wananchi wa Arusha wamejawa na furaha na matumaini makubwa sana juu ya ujio wa Mwamba. Ni gumzo kila mahali,ni shamra shamra kila kona,ni mshike mshike kila sehemu juu ya mapokezi ya Mwamba Makonda jasusi na komando wa vita, field Marshall aliyetangaziwa Mwisho na maadui zake lakini Mungu akautangaza mwanzo wake ulio mkuu na wa ushindi..
Leo nchi kusimama na macho na masikio ya watanzania wote kuelekezwa Arusha na kanda ya kaskazini.upinzani wanatetemeka utafikiri wagonjwa wa homa kali,moja haiendi wala mbili haisomi,upinzani hasa CHADEMA wote wanabubujikwa machozi ya huzuni ya kuona mwisho wao kisiasa ukiwa umewadia.
Endeleeni kutulia kufuatilia kitakachojili na kitakachozungumzwa na Mwamba Mwenyewe Makonda . nitaendelea kuwaleteeni kila kitu na kila habari na kila neno litakalo toka kinywani mwa Mwamba Mwenyewe Makonda Jabali la siasa.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Tusubiri tuone!huyo atakuja kuvuruga tuu utulivu wa ARUSHA ataleta siasa zake za uhasama na wapinzani hatimaye watavuruaga tena utalii.
Nakumbuka wakoloni nao wakipokelewa kishujaaNdugu zangu Watanzania,
Arusha kumekucha,kanda ya kaskazini imesimama, wananchi wanatetemeka kwa furaha, shughuli zote zimesimama, habari ni moja tu, stori ni moja tu ni juu ya ujio wa Mwamba Mwenyewe Mheshimiwa Paul Christian Makonda Kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
Imeshuhudiwa magari ya watalii na kitalii yakiwa yamefurika kwa wingi uwanjani kwa ajili ya kumsubiri Mwamba atakapotua uwanja wa ndege ,ili kuweza kumlaki na kumpokea na kuongoza msafara mzito wa Magari kuwahi kushuhudiwa ndani ya jiji la Arusha kuelekea ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa ajili ya makabidhiano ya Ofisi..
Vijana na wananchi wa Arusha wamejawa na furaha na matumaini makubwa sana juu ya ujio wa Mwamba. Ni gumzo kila mahali,ni shamra shamra kila kona,ni mshike mshike kila sehemu juu ya mapokezi ya Mwamba Makonda jasusi na komando wa vita, field Marshall aliyetangaziwa Mwisho na maadui zake lakini Mungu akautangaza mwanzo wake ulio mkuu na wa ushindi..
Leo nchi kusimama na macho na masikio ya watanzania wote kuelekezwa Arusha na kanda ya kaskazini.upinzani wanatetemeka utafikiri wagonjwa wa homa kali,moja haiendi wala mbili haisomi,upinzani hasa CHADEMA wote wanabubujikwa machozi ya huzuni ya kuona mwisho wao kisiasa ukiwa umewadia.
Endeleeni kutulia kufuatilia kitakachojili na kitakachozungumzwa na Mwamba Mwenyewe Makonda . nitaendelea kuwaleteeni kila kitu na kila habari na kila neno litakalo toka kinywani mwa Mwamba Mwenyewe Makonda Jabali la siasa.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Mwamba Makonda ni mzalendo wa kweli na mwenye mapenzi mema na Taifa hili.Nakumbuka wakoloni nao wakipokelewa kishujaa
Mwamba Makonda ni kipenzi cha watanzania kinachoishi ndani ya mioyo yao.ndio maana unaona kwa sasa kila sehemu ni habari za Mwamba ndio zimeteka na kutawala.Makonda asili yake anapenda sifa,we msifie tu
Ova
Mimi namjuwa kuliko wee unavyomfikiria na kumuandikaMwamba Makonda ni kipenzi cha watanzania kinachoishi ndani ya mioyo yao.ndio maana unaona kwa sasa kila sehemu ni habari za Mwamba ndio zimeteka na kutawala.
acha kuchungulia dirishani wew mchana huu amka ukapambane 🐒Mbona mimi nipo hapa na sioni hayo unayoyasema ndugu mleta uzi?
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣, mimi ni mtoto wa mbwa aka hussler, napambana na hali yangu nafasi hiyo ni yako bloo.Nimeacha nafasi ili uweke namba yako ndugu yangu.
mnyang'anyi ana uhasama, hasira , gubu na kinyongo zaidi 🐒huyo atakuja kuvuruga tuu utulivu wa ARUSHA ataleta siasa zake za uhasama na wapinzani hatimaye watavuruaga tena utalii.
Itakuwa una chuki zako binafsi tu na Mwamba. Hakuna nchi hii asiye fahamu na kutambua uchapakazi wa Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.hakuna asiye fahamu uwezo wake kiuongozi,ubunifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa lake. Wewe huwezi kujiuliza kwanini anateka hisia za watu na kupendwa sana habari zake kufuatiliwa pale anapokuwa na tukio au jambo lolote lile hapa nchini?Mimi namjuwa kuliko wee unavyomfikiria na kumuandika
Kuna watu humu wanawajuwa watu syo kwa kuwasikia tu bali
Kuwafahamu
Ndomana nakuambia huyo makonda ni mpenda misifa kitambo tu
Ova
Weka tu namba yako ndugu yangu. Kwani huna simu?Hahahaha 🤣🤣🤣🤣, mimi ni mtoto wa mbwa aka hussler, napambana na hali yangu nafasi hiyo ni yako bloo.
Mimi nakuambia huyo ni mpenda sifa tokea zamani sizungumzi uchapakazi wakeItakuwa una chuki zako binafsi tu na Mwamba. Hakuna nchi hii asiye fahamu na kutambua uchapakazi wa Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.hakuna asiye fahamu uwezo wake kiuongozi,ubunifu wake pamoja na uzalendo wake kwa Taifa lake. Wewe huwezi kujiuliza kwanini anateka hisia za watu na kupendwa sana habari zake kuatiliwa pale anapokuwa na tukio au jambo lolote lile hapa nchini?