Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Propaganda za US na washirika wake hizo,wachana nazo,dunia ya leo hii utamdanganya nani.China ,Korea,Russia tumekuwa tukiambiwa zinatawaliwa na madikteta,sisi wenye democrasia mbona umaskini umetamalaki?
Kwamba Sina uwezo wa kusoma na kuelewa Hadi nisijue propaganda ni zipi? Sisi tuna demokrasia gani boss?
 
Sawa mkuu lakini ujue hata wewe ni mzuri kuliko mke wa Makonda. Angekuona wewe kabla ya mke wake wa sasa angekuoa wewe mapema sana. Sasa hivi angekuwa amekuzalisha watoto 5.
 
Wewe bila shaka utakuwa mzuri kuliko mke wa Makonda. Unatamani angekuoa wewe akuinamishe akuzalishe watoto mapacha.
 
Ndio tunamtaka Kiongozi wa aina yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜„
Utarushwa kichurachura na uzee wako
Kama magufuli alivyowarusha kichurachura akina na salma kikwete, membe, makamba , na kinana

Madikteta wote Hujifanya watetezi wa wanyonge
 
Punguza mazoea, CHADEMA imeingiaje hapa?. Mimi nilisikiliza mahojiano yao mpaka mwisho yule dada hakuwa na kosa la kinidhamu lolote.
Kuna mtu yeyote anaakili chadema?? Jibu swali?
 
Ukirusha jiwe gizani kelele Ndio zinakujulisha kuwa kulikuwa na watu huko
 
Kauli Aliyoitoa Daud Albert Bashite (Paul Christian Makonda) Leo Huko Monduli Amewajibu Wote Kwa Mkupuo Mmoja Na Amewaonya Kukaa Kimya. Hata Akina CCM Wamefyata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…