Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndio. SIsi sote ni MAPUNGUANI.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema anawashangaa wanaojitokeza kusema anawadhalilisha Watumishi baada ya yeye kuwakosoa Wala rushwa na Wazembe wakati Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa...
Wanaume wa bongo ni vyema tujikiteni kufanya kazi habari za kujadili mambo ya udaku tuwaachie wahudumu wa saloon!
 
Kwani ni lazima aonyeshe uchapa kazi mbele ya makamera? Tuchukulie mganga mkuu wa Hospital anaitisha madoctor wake watoe taarifa mbele ya macamera Ili ionekane ni bonge la mchapakazi, katika mazingira hayo utaona ni uchapa kazi au ni kiki?
 
Akashitakiwe kwenye mahakama zipi, hizi zinazopigiwa simu Moja?
 
Kwani ni lazima aonyeshe uchapa kazi mbele ya makamera? Tuchukulie mganga mkuu wa Hospital anaitisha madoctor wake watoe taarifa mbele ya macamera Ili ionekane ni bonge la mchapakazi, katika mazingira hayo utaona ni uchapa kazi au ni kiki?
Haujawahi ona madaktari wakiweka kambi za wazi za kutoa damu,au tiba au kiliniki nk za Bure?
 
Kwenye hili genge la CCM, kuliko uwe mkweli, utumikie watu kwa dhati ya moyo bora uwe mwizi na mwongo otherwise hutoboi. Shame
 
Kinachodaiwa ni kuheshimiana maana hakuna binadamu perfect!! Mbona wengine wameibaga hadi majina na wanadunda serikalini
 
Ila nyie WAPUMBAVU mnateseka sana,utafikiri mmekalia kitu chenye ncha kali.
 
Huyo mama aliyetukanwa hadharani na Makonda ni mwakilishi wa Mange Kimambi? Ndiye aliyemtuma Mange kufanya alichofanya?
Hajamtukana, amemweleza ukweli tu. Watanzania munapenda maneno kuliko kazi. Maneno haya kuliko kazi, ndio yametawala ofisi za serikali. Kwa lugha nyingine tunayahita majungu.

Amos Makalla yupo wapi kwenye uenezi.? Hawezi kaz, anaweza maneno na majungu tu. Hata huyu Chatanda anaweza maneno na majungu tu.

Si rahisi Tanzania kuendelea kwa kuwa kazi ya mtu inapimwa kwa uwezo wa majungu na sio kaz zake.

Hapo ndipo utaona wazi CCM imegawanyika kabisa. Makonda anaogopeka kwa kazi. Timu Msoga, haiwezi kazi ni majungu tupu.
Huyu Chatanda anamshambulia vipi, mwanaccm, aliyeteuliwa na mkuu wa nchi? Kwann usimpigie simu mkaongea? Au ndio kutumwa na Kinana? Hii timu Msoga inategemea Makala aeneze CCM, vip wakati hawezi kazi?
 
Je ni afya kuendeleza malumbano na ubabe. Je Ukiwa myenyekevu ni ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…