Pre GE2025 Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana

Pre GE2025 Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amebainisha kuwa Tundu Lissu ni mjanja ndio maana ameamua kuwakimbia CHADEMA baada ya kuona hakuna haja ya kufanya maandamano yasiyo na tija wala maana yoyote na kuamua kwenda zake Nchini Ivorycoast kuangalia mpira katika mashindano ya AFCON.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo leo tarehe 19 Januari, 2024 kwenye Mkutano wa hadhara akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na Wananchi hao, Mwenezi Makonda amewataka Watanzania kuwauliza CHADEMA kwanini wanamkimbia kwenye kuitisha mdahalo na badala yake wanaleta masharti na sababu ambazo haziingiliani kwenye mdahalo juu ya kile wanachotaka kukifanya cha kuandamana.

Makonda amesema kuwa CHADEMA wamekuwa wakifanya vikao ambavyo hawatoi mrejesho kwa wanachama wao wala wananchi na tafsiri yake hata maoni yao wanayosema wametoa kwa wananchi si ya wananchi bali ni yao wenyewe Mbowe, Lissu na Mnyika.

Pia, Mwenezi Makonda amewataka tena Mbowe, Lissu na Mnyika kufanya mdahalo wa kuzungumza ilikusudi wananchi kuelewa na kuchagua upande wao kuandaman au kutoandama na kukemea tabia ya Chadema kuwabuluza Wananchi kwa ajenda zao binafsi.
Hii nchi inamajinga mengi Tena mapumbafu haswaaaa... Nyerere angekuwepo angerudisha likadi la kijani, hivikweli yaani mtu mzima Tena timamu unakaa unamsikiliza mpaka unaposti anachosema mtu kama huyu asiyefaa? Kwa nchi zenye watu werevu huyu hata ubalozi nyumbakumi asingelipata!!
Jitu lililojinadi kuchapa viboko babazake na mamazake watumishi serikalini eti Leo ndiyo lienezi la chama!!! Mtu alompiga babayake mzee warioba Leo nikiongozi ngazi ya juu chamani.
SIWEZI KUMSIKILIZA HATA AKIUBIRI NENO LAMUNGU MPAKA AKIRI NA KUOMBA MSAMAHA KWA MAOVU MEEENGI ALOTENDA...
 

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amebainisha kuwa Tundu Lissu ni mjanja ndio maana ameamua kuwakimbia CHADEMA baada ya kuona hakuna haja ya kufanya maandamano yasiyo na tija wala maana yoyote na kuamua kwenda zake Nchini Ivorycoast kuangalia mpira katika mashindano ya AFCON.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo leo tarehe 19 Januari, 2024 kwenye Mkutano wa hadhara akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na Wananchi hao, Mwenezi Makonda amewataka Watanzania kuwauliza CHADEMA kwanini wanamkimbia kwenye kuitisha mdahalo na badala yake wanaleta masharti na sababu ambazo haziingiliani kwenye mdahalo juu ya kile wanachotaka kukifanya cha kuandamana.

Makonda amesema kuwa CHADEMA wamekuwa wakifanya vikao ambavyo hawatoi mrejesho kwa wanachama wao wala wananchi na tafsiri yake hata maoni yao wanayosema wametoa kwa wananchi si ya wananchi bali ni yao wenyewe Mbowe, Lissu na Mnyika.

Pia, Mwenezi Makonda amewataka tena Mbowe, Lissu na Mnyika kufanya mdahalo wa kuzungumza ilikusudi wananchi kuelewa na kuchagua upande wao kuandaman au kutoandama na kukemea tabia ya Chadema kuwabuluza Wananchi kwa ajenda zao binafsi.
Huna jipya mkuu vipi wale waliotelekeza Watoto wao ushawamaliza Nchi nzima?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mtu kapata div 0, mnapataje muda wa kuandika upuuzi wake? Huyu Samia anamtumia kwa sababu he can kill mercilessly!

He has and still killing many, to Samia is a right candidate because he can kill not because he can make service to people or her party, apart from killings!t She is consolidating power using killers,

Wewe mbweha nae unaropoka sana.

Ukiambiwa ulete ushahidi na ID yako fake hiyo utaweza?


Wana JF wengi ni kufata mkumbo tu kuwa jamaa ni mhalifu lakini ukimwambia mtu toa ushahidi anaanza kurukaruka.

Nenda mahakamani kamshitaki usipige kelele hapa jukwaani.


Stop acting like a fool kama una evidences nenda mahakamani.
 
Wewe mbweha nae unaropoka sana.
Muulize mama yako kama mimi ni mbweha na fool, maana ananijua kuwa mimi ni mtu mwema sana sina shida na mtu na ndiyo maana nimekuwa naye maisha yangu yote. Uko dunini kwa vile mimi baba yako niko makini
 
Mtu kapata div 0, mnapataje muda wa kuandika upuuzi wake? Huyu Samia anamtumia kwa sababu he can kill mercilessly!

He has and still killing many, to Samia is a right candidate because he can kill not because he can make service to people or her party, apart from killings!t She is consolidating power using killers,
Div 0 anakutoa povu? Je tukija sisi wenye PhD zetu itakuwaje? Si utakufa kabisa
 
Mtu kapata div 0, mnapataje muda wa kuandika upuuzi wake? Huyu Samia anamtumia kwa sababu he can kill mercilessly!

He has and still killing many, to Samia is a right candidate because he can kill not because he can make service to people or her party, apart from killings!t She is consolidating power using killers,

Mbowe alipata div ngapi form six?
 
OPERESHENI FUKUZA WAHUNI 24 ONE 24 WIZI UMETOOOSHA!!
WANAMUWAZA LISSU ANAWATETEMESHA SASA WAJUE ATAKUWEPO (24/1/24)!!
TUSISIKILIZE WAHUNIII....
 

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amebainisha kuwa Tundu Lissu ni mjanja ndio maana ameamua kuwakimbia CHADEMA baada ya kuona hakuna haja ya kufanya maandamano yasiyo na tija wala maana yoyote na kuamua kwenda zake Nchini Ivorycoast kuangalia mpira katika mashindano ya AFCON.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo leo tarehe 19 Januari, 2024 kwenye Mkutano wa hadhara akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na Wananchi hao, Mwenezi Makonda amewataka Watanzania kuwauliza CHADEMA kwanini wanamkimbia kwenye kuitisha mdahalo na badala yake wanaleta masharti na sababu ambazo haziingiliani kwenye mdahalo juu ya kile wanachotaka kukifanya cha kuandamana.

Makonda amesema kuwa CHADEMA wamekuwa wakifanya vikao ambavyo hawatoi mrejesho kwa wanachama wao wala wananchi na tafsiri yake hata maoni yao wanayosema wametoa kwa wananchi si ya wananchi bali ni yao wenyewe Mbowe, Lissu na Mnyika.

Pia, Mwenezi Makonda amewataka tena Mbowe, Lissu na Mnyika kufanya mdahalo wa kuzungumza ilikusudi wananchi kuelewa na kuchagua upande wao kuandaman au kutoandama na kukemea tabia ya Chadema kuwabuluza Wananchi kwa ajenda zao binafsi.
Mwambieni mh Lissu yupo njiani alirejea nchini kushiriki maandamano matakatifu.

Mwambie Makonda aende Airport akampokee kabisa.
 
Mtu kapata div 0, mnapataje muda wa kuandika upuuzi wake? Huyu Samia anamtumia kwa sababu he can kill mercilessly!

He has and still killing many, to Samia is a right candidate because he can kill not because he can make service to people or her party, apart from killings!t She is consolidating power using killers,
Hivi ile ban alipigwa na USA Bado ipo valid?
 
Alishajibu swali la

Ni wapi alikuwa wakati Lissu anapigwa risasi Dodoma?
Maana hakua ameonekana kwenye mkutano wa Magu Dar kupokea ripoti ya makenikia.
Jamaa huwaga simpendi hata kumuona na nikifungulia tv stations nikakuta anaongea fasta nazima
 
Aliyeuwa kwa upanga, naye pia atauawa kwa upanga. Siku za mwanadamu hapa duniani ni chache, na tena zinahesabika.

Pamoja na kujibaraguza kwa kulitaja jina la Lissu, lakini moyo wake unampasuka kwa kumuona yu hai hadi hivi leo. Waliokuwa nyuma ya mamlaka ili kutekeleza tukio lile wako wapi hivi sasa!?

Ni mmoja baada ya mwingine, wote watakwenda na maji. "With cascading effect from top to the lowest authority". Hakuna jiwe hata moja ambalo litabakia bila ya kugeuzwa.
Hakika kwa Mungu hakuna mkubwa
 
Nilikuwa nakuweka kwenye kundi la watu weledi humu JF by vertue of your ID, Syllogist.....syllogism ...philosophical ......kumbe na wewe mko sawa na makonda!
Hao wanaongozwa na matumbo tu uutakuta ni dreva pale Lumumba basi anashiba kupitia Makonda
 
Back
Top Bottom