Pre GE2025 Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana

Pre GE2025 Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Muulize mama yako kama mimi ni mbweha na fool, maana ananijua kuwa mimi ni mtu mwema sana sina shida na mtu na ndiyo maana nimekuwa naye maisha yangu yote. Uko dunini kwa vile mimi baba yako niko makini

Una matatizo ya akili kwa kauli hizi ni dhahiri kuwa wewe unahitaji tu msaada wa karibu.

Your level of thinking is impaired and crummy pengine una trauma labda jambo hilo lilimkuta mama yako mzazi maana kila mtu unamwambia hivyo wahi utafute therapist.
 
Nilikuwa nakuweka kwenye kundi la watu weledi humu jf
Duh, hata sijui nikujibu vipi!

Nitajitahidi hapa bila ya kukukwaza; kwamba wewe retired una uwezo wa kumweka na kumtoa memba kutoka kundi moja na kumweka kundi lingine? Hebu nifafanulie.
Au ndio unajitwisha ukuu😛😅

Mwaka huu kwangu ni mwaka wa toba. Nimekusamehe.
 
Alipata 0 ndiyo maana alishindwa kupata vyeti
Mmawia, let common sense be common here.

Ni dhahiri Makonda anafanya Siasa. Yeye Makonda anajuaje TL harudi? Itoshe taarifa ni kwamba anarudi kuungana na wenziwe kuandamana-hiyo ni hukumu tosha kwamba alikuwa akipiga porojo tu Jukwaani.

...that being said, Mzee wetu Retired(sijui kama ana wajukuu huyu) ame mwa attack mleta Taarifa na papo hapo akaongezea taarifa za kupotosha. Ati Makonda amemuua Lissu(ambaye hakufa) for reason and rationale known only to him. Ni haki yake, walakin Mtu ambaye anataka kadamnasi imuone Makonda ana Divisheni 0 na hivyo basi mchango wake Upuuzwe, nafikiri ni fair tukamuuliza Retired naye ana Divisheni ngapi?

In all, my signature says it all. Haijalishi nipo nje ya mada or not. Binafsi huwa natafuta usawa na kujaribu kupunguza Absurdism and let common sense be common.
 
Duh, hata sijui nikujibu vipi!

Nitajitahidi hapa bila ya kukukwaza; kwamba wewe retired una uwezo wa kumweka na kumtoa memba kutoka kundi moja na kumweka kundi lingine? Hebu nifafanulie.
Au ndio unajitwisha ukuu😛😅


Mwaka huu kwangu ni mwaka wa toba. Nimekusamehe.
Kila mmoja humu ara personal rating ya mtu. Kuna watu mimi nimewa block kabisa maana can not make sense to me! Kuna watu wakipost kitu lazima ufungue usome maana he/she writes sense! Ndiyo personal rating yangu!
Na wewe una rating yako.....au huna kitu kama hicho. Anyway labda unasoma kila kitu, mimi hapana nachagua ! Nilikuweka kwenye kundi la upper rating...post yako lazima niifungue........sasa??????????????????????????

Have a nice sunday! Hopefully you are a churchgoer! (if a christian)
 
Duh, hata sijui nikujibu vipi!

Nitajitahidi hapa bila ya kukukwaza; kwamba wewe retired una uwezo wa kumweka na kumtoa memba kutoka kundi moja na kumweka kundi lingine? Hebu nifafanulie.
Au ndio unajitwisha ukuu😛😅


Mwaka huu kwangu ni mwaka wa toba. Nimekusamehe.
Kila mmoja humu ara personal rating ya mtu. Kuna watu mimi nimewa block kabisa maana can not make sense to me! Kuna watu wakipost kitu lazima ufungue usome maana he/she writes sense! Ndiyo personal rating yangu!
Na wewe una rating yako.....au huna kitu kama hicho. Anyway labda unasoma kila kitu, mimi hapana nachagua ! Nilikuweka kwenye kundi la upper rating...post yako lazima niifungue........sasa??????????????????????????

Have a nice sunday! Hopefully you are a churchgoer! (if a christian)
 
Back
Top Bottom