Pre GE2025 Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana

Pre GE2025 Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtu kapata div 0, mnapataje muda wa kuandika upuuzi wake? Huyu Samia anamtumia kwa sababu he can kill mercilessly!

He has and still killing many, to Samia is a right candidate because he can kill not because he can make service to people or her party, apart from killings!t She is consolidating power using killers,
Wewe ni mpuuzi tu kama wapuuzi wengine,na unatakiwa kupuuzwa.
 
Aliyeuwa kwa upanga, naye pia atauawa kwa upanga. Siku za mwanadamu hapa duniani ni chache, na tena zinahesabika.

Pamoja na kujibaraguza kwa kulitaja jina la Lissu, lakini moyo wake unampasuka kwa kumuona yu hai hadi hivi leo. Waliokuwa nyuma ya mamlaka ili kutekeleza tukio lile wako wapi hivi sasa!?

Ni mmoja baada ya mwingine, wote watakwenda na maji. "With cascading effect from top to the lowest authority". Hakuna jiwe hata moja ambalo litabakia bila ya kugeuzwa.
Mbona unaandika huu ujinga wako huku umejificha kwenye jina la bandia?, Ninaamini wewe una ushahidi wa kola makonda alivyohusika kwenye hilo tukio,jitokeze wazi kwenye vyombo vya dola ili makonda awajibike,nyie mnafikiri watanzania woote ni wajinga na wapumbavu kama nyie!?.
 

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amebainisha kuwa Tundu Lissu ni mjanja ndio maana ameamua kuwakimbia CHADEMA baada ya kuona hakuna haja ya kufanya maandamano yasiyo na tija wala maana yoyote na kuamua kwenda zake Nchini Ivorycoast kuangalia mpira katika mashindano ya AFCON.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo leo tarehe 19 Januari, 2024 kwenye Mkutano wa hadhara akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na Wananchi hao, Mwenezi Makonda amewataka Watanzania kuwauliza CHADEMA kwanini wanamkimbia kwenye kuitisha mdahalo na badala yake wanaleta masharti na sababu ambazo haziingiliani kwenye mdahalo juu ya kile wanachotaka kukifanya cha kuandamana.

Makonda amesema kuwa CHADEMA wamekuwa wakifanya vikao ambavyo hawatoi mrejesho kwa wanachama wao wala wananchi na tafsiri yake hata maoni yao wanayosema wametoa kwa wananchi si ya wananchi bali ni yao wenyewe Mbowe, Lissu na Mnyika.

Pia, Mwenezi Makonda amewataka tena Mbowe, Lissu na Mnyika kufanya mdahalo wa kuzungumza ilikusudi wananchi kuelewa na kuchagua upande wao kuandaman au kutoandama na kukemea tabia ya Chadema kuwabuluza Wananchi kwa ajenda zao binafsi.

Nimeona Lisu Leo anaongea na waandishi wa habari ….hawa watu walimdanganya magufuli kuwa wanaiuwa chadema akawaapa mabilioni ya kununua watu hovyo…
Naona sasa wanamdanyanya mama kuwa chadema kuna mpasuko …..
 
Paul Makonda amevunja haki za binadamu hasa ya kuishi, na kupigwa marufuku kuingia nchini Marekani, Rais Samia amempa cheo ndani ya Chama Cha Mapinduzi je' ni sawa?.
 
Huyu ni mwovu.

Anatumia jina lisilo lake kwa vile kwenye mtihani wa kidato cha 4 alipata division zero. Badala ya kupambana aweze kuisafisha zero yake kwa njia halali ili afike alikotamani kufika, akaamua kuiba jina mtu. Huyu ni mwovu.

Huyu ndiye aliyesimamia shambulio dhidi ya Lisu akiwa Dodoma hotel, wakati Rais akihutubia mkoani Dodoma, ambako yeye alikuwa RC, lakini akaona kazi ya kusimamia mauaji ya Lisu ni muhimu kuliko mkutano wa Rais.

Huyu ndiye anayetajwa kusimamia mauaji ya Ben Sanane na Azory Gwanda.

Huyu, kwa kutumia nafasi yake kama RC aliweza kupora nyumba ya GSM akidai kwamba ni Rais aalikuwa ameomba ajengewe nyumba.

Huyu alikuwa akiwatoza matajiri wanaotaka kumwona Rais, kati ya shilingi milioni 100 mpaka 400 ili awafanyie appointments.

Jitu la namna hiyo utakaaje nalo kwenye mdahalo? Si itakuwa ni kulisafisha, lionekane ni mtu halisi ambaye unaweza kubishana kwa hoja? Huyu hana haki wala stahili ya kuwa mahali walipo watu wema.
Nyie ni takataka tu,hoja zenu zimejaa upuuzi na ujinga,nendeni mkawadanganye nyumbu wenu huko ufipa,yaani makonda abusive na miadi ya kumwona rais?! .
 
WEWE UTAKUWA MAKONDA, UNAVYOMTETEA AU NI MUME WAKO
Mbona unaandika huu ujinga wako huku umejificha kwenye jina la bandia?, Ninaamini wewe una ushahidi wa kola makonda alivyohusika kwenye hilo tukio,jitokeze wazi kwenye vyombo vya dola ili makonda awajibike,nyie mnafikiri watanzania woote ni wajinga na wapumbavu kama nyie!?.
 

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amebainisha kuwa Tundu Lissu ni mjanja ndio maana ameamua kuwakimbia CHADEMA baada ya kuona hakuna haja ya kufanya maandamano yasiyo na tija wala maana yoyote na kuamua kwenda zake Nchini Ivorycoast kuangalia mpira katika mashindano ya AFCON.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo leo tarehe 19 Januari, 2024 kwenye Mkutano wa hadhara akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na Wananchi hao, Mwenezi Makonda amewataka Watanzania kuwauliza CHADEMA kwanini wanamkimbia kwenye kuitisha mdahalo na badala yake wanaleta masharti na sababu ambazo haziingiliani kwenye mdahalo juu ya kile wanachotaka kukifanya cha kuandamana.

Makonda amesema kuwa CHADEMA wamekuwa wakifanya vikao ambavyo hawatoi mrejesho kwa wanachama wao wala wananchi na tafsiri yake hata maoni yao wanayosema wametoa kwa wananchi si ya wananchi bali ni yao wenyewe Mbowe, Lissu na Mnyika.

Pia, Mwenezi Makonda amewataka tena Mbowe, Lissu na Mnyika kufanya mdahalo wa kuzungumza ilikusudi wananchi kuelewa na kuchagua upande wao kuandaman au kutoandama na kukemea tabia ya Chadema kuwabuluza Wananchi kwa ajenda zao binafsi.
Screenshot_2024-01-20-13-10-45-1.png
 
Nimeona Lisu Leo anaongea na waandishi wa habari ….hawa watu walimdanganya magufuli kuwa wanaiuwa chadema akawaapa mabilioni ya kununua watu hovyo…
Naona sasa wanamdanyanya mama kuwa chadema kuna mpasuko …..
Sioni kama chadema ni tishio kwa ccm bali kama sehemu ya ccm. Ccm ilicheza karata yake vzr mno kuwahadaa donors. Raia usipokuwa na akili unatumika mpaka uchakae.

Maoni binafsi lakini.
 
Makonda sikiliza hii maneno!!!!

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amebainisha kuwa Tundu Lissu ni mjanja ndio maana ameamua kuwakimbia CHADEMA baada ya kuona hakuna haja ya kufanya maandamano yasiyo na tija wala maana yoyote na kuamua kwenda zake Nchini Ivorycoast kuangalia mpira katika mashindano ya AFCON.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo leo tarehe 19 Januari, 2024 kwenye Mkutano wa hadhara akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na Wananchi hao, Mwenezi Makonda amewataka Watanzania kuwauliza CHADEMA kwanini wanamkimbia kwenye kuitisha mdahalo na badala yake wanaleta masharti na sababu ambazo haziingiliani kwenye mdahalo juu ya kile wanachotaka kukifanya cha kuandamana.

Makonda amesema kuwa CHADEMA wamekuwa wakifanya vikao ambavyo hawatoi mrejesho kwa wanachama wao wala wananchi na tafsiri yake hata maoni yao wanayosema wametoa kwa wananchi si ya wananchi bali ni yao wenyewe Mbowe, Lissu na Mnyika.

Pia, Mwenezi Makonda amewataka tena Mbowe, Lissu na Mnyika kufanya mdahalo wa kuzungumza ilikusudi wananchi kuelewa na kuchagua upande wao kuandaman au kutoandama na kukemea tabia ya Chadema kuwabuluza Wananchi kwa ajenda zao binafsi.
 
Back
Top Bottom