Ujanja ujanja tu! Makonda ndo real hustler kwa maoni yangu!Mbowe failed both in school and politics. But atleast he's a trust fund kid who married into a rich family.
Samia has no credible certificates. She's just a hustler who happens to be at right place in a right time, and won a life lottery ticket.
Bashite failed in school, but had extraordinary talents for thuggery, pyschophancy and political parasitism (Uchawa). Elimu yake ni tia maji, tia maji tu.
Ni mjinga tu atajaribu kufananisha DJ Trump na Samia au Bashite.
Landlover festival, kupitia kila wilaya,kuangalia waizi, madawa ya kulevya, wadudu, jamaa ni mbunifu,sana ACHA wivu mkuu
Taja na wewe nani anafaa tumlinganishe na Makonda!Kwahiyo kwa mtazamo wako haya ndiyo yanamfanya awe na sifa za kuwa Raisi ?
Taja na wewe nani anafaa tumlinganishe na Makonda!
Makonda hata kwenye exposure yuko vizuri ndo maana anabuni vitu vya tofauti!
Kafanikiwa kwenye Leadership,Politics na Business!
Makonda ameishi miaka mitatu nje ya siasa na akafanikiwa sana kwenye biashara ndo maana anasema yeye hayuko hapo kulinda cheo maana kama hela anazo za kutosha!
Tanzania is a monkey disco 🤣Ukisikia kuwa 80% ya watanzania wana utindio wa ubongo ni kweli kabisa,yani mwanaume kabisa na akili zake anasema Makonda awe Rais wa nchi.
Kawa mkuu UV CCM,mkuu wa wilaya Kinondoni,Mkuu wa Mkoa Dar kote huko alipokea mshahara na kwa akili yake ya ubunifu na kufanya biashara kwa nini asiwe na helaHizo pesa Bashite alizitoa wapi na alizipata kwa njia gani ?
Mjinga kabisa weweJinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Muulize yule jambazi mwenzake kule Moshi alipokuwa akipora pesa za watu, kwa nini alikuwa akisema kuwa alikuwa akipora kwa kutumia Makonda style!!Kawa mkuu UV CCM,mkuu wa wilaya Kinondoni,Mkuu wa Mkoa Dar kote huko alipokea mshahara na kwa akili yake ya ubunifu na kufanya biashara kwa nini asiwe na hela
Nenda katafute mtu aloibiwa na Makonda maana unafanyia kazi maneno ya mtaani!Muulize yule jambazi mwenzake kule Moshi alipokuwa akipora pesa za watu, kwa nini alikuwa akisema kuwa alikuwa akipora kwa kutumia Makonda style!!
Wewe tulia mwakani utakapomuona Waziri Mkuu wako utapagawa na hautalala kamwe!Garbage. Kumbe mleta uzi mwenye garbage. Shame on you. Kwani watu wenye akili na wanaostahili kuongoza wamekwisha? Kama hivyo, si mmuache Samia atawale haki kufa.
Mchagua afe haraka kama Magufuli. Senzi kabisa.Wewe tulia mwakani utakapomuona Waziri Mkuu wako utapagawa na hautalala kamwe!
Uzuri wewe sio Mungu kufa kila mmoja atakufa wengine ndugu zetu wamekufa jana na leo Kariakoo!Mchagua afe haraka kama Magufuli. Senzi kabisa.
Makonda Kwa Sasa anaishi Masaki...Masaki kiwanja cha Bei YA vhininkinaanzia billion 3Watanzania sijuo aliyeturoga nani...
Kwenye kauli yake amethibitisha kuwa clouds walikuwa wanamtumia kuvunja sheria. Amethibitisha kuwa walipokuwa na shida na TCRA wanampgia yeye.
Sasa hapo kawapa mfano mmoja tu, bila shaka hili analifanya TRA na kwingine akitumiwa na marafiki zake lakini kwa watanzania kuvunja sheria kwa wanasiasa mshaona kawaida.
Tanzania hakuna kiongozi ambaye anachukia ubadhirifu unless haumnufaishi. Ukitaka kujua hili bila shaka akiulizwa mali alizo nazo ndani ya kipindi cha miaka kumi hawezi kukueleza kazitoa wapi maana hata mshahara na marupurupu yake hayatoshi hata kumiliki nusu yake.
Andikeni Daudi Bashite siyo MakondaKwanza awali ya yote atueleze jina lake halisi ni nani, ni David Albert Bashite au Paul Christian Makonda?
Kama ni Paul Christian Makonda atuonyeshe baba yake mzazi anayeitwa Christian Makonda. Na mama yake mzazi, ikiwezakana ndugu yake yeyote anayeitwa kwa jina la Makonda. Na kama hawezi maana yake yeye siyo Makonda, atuonyeshe shule alizosoma kwa jina la Makonda.
Wewe pumbavu kwenye ubora wa upumbavu wako unataka tuwe na rais aliyefoji mpaka jina lake? Huyo ni mwizi na jambazi, aanze kwanza kutuonyesha chamzo cha yeye kupata utajiri mkubwa kwa muda mfupi maana historia ya kupora mahari ya watu alipokuwa mkuu wa mkoa Dar es salaam tunazo
Kawa mkuu UV CCM,mkuu wa wilaya Kinondoni,Mkuu wa Mkoa Dar kote huko alipokea mshahara na kwa akili yake ya ubunifu na kufanya biashara kwa nini asiwe na hela