Paul Makonda mbali na mapungufu yote ya kibinadamu huyu ni kiongozi mbunifu sana, anatufaa 2030 awe Rais

Paul Makonda mbali na mapungufu yote ya kibinadamu huyu ni kiongozi mbunifu sana, anatufaa 2030 awe Rais

Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.

Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.

Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.

Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.

1.Ni kiongozi mbunifu

2.Ni kiongozi mwenye msimamo

3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu

4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Gabeji = Garbage
 
Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.

Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.

Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.

Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.

1.Ni kiongozi mbunifu

2.Ni kiongozi mwenye msimamo

3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu

4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
2030 kote huko, angelichukua kijiti sasa hivi ama mwakani ili kuziba ombwe la uongozi lililopo.

Tukimsubirisha hadi 2030 huenda tusifike huko kutokana na yale uliyoyaongea pamoja na kukosekana kwa usalama wa mtu mmoja mmoja.

Teka teka hii ya kipumbaf pumbaf, miaka 6 yote hiyo wewe utakuwepo, kitu gani unachokitegemea kukuhakikishia uhai wako kwa miaka mingi namna hiyo?
 
Wewe unaendeshwa na chuki huna unalowaza! Mara hakuna mzalendo masikini mimi nakuuliza Makonda kwa level ya kitanzania bado unamuita maskini!
Unataka Bakhresa awe Rais au GSM?
Afadhali niendeshwe na chuki ila nafahamu nachokisema, kuliko kuendeshwa na ujinga pamoja na udwanzi wa kulazimisha watu waamini Bashite ni mbunifu anayefaa kuwa Raisi, ilhali hata shule yake tu ni tia maji 🤣🤣🤣​
 
Afadhali niendeshwe na chuki ila nafahamu nachokisema, kuliko kuendeshwa na ujinga pamoja na udwanzi wa kulazimisha watu waamini Bashite ni mbunifu anayefaa kuwa Raisi, ilhali hata shule yake tu ni tia maji 🤣🤣🤣​
Vipi Mbowe na hata Rais Samia wanashule gani ambayo Makonda hana?
Uongozi sio shule tu hata Trump sio kwamba ni msomi kuliko wote USA ni karama na mvuto kwa watu
 
Vipi Mbowe na hata Rais Samia wanashule gani ambayo Makomda hana?
Uongozi sio shule tu hata Trump sio kwamba ni msomi kuliko wote USA ni karama na mvuto kwa watu
Mbowe failed both in school and politics. But atleast he's a trust fund kid who married into a rich family.

Samia has no credible certificates. She's just a hustler who happens to be at right place in a right time, and won a life lottery ticket.

Bashite failed in school, but had extraordinary talents for thuggery, pyschophancy and political parasitism (Uchawa)
. Elimu yake ni tia maji, tia maji tu.

Ni mjinga tu atajaribu kufananisha DJ Trump na Samia au Bashite.
 
Back
Top Bottom