Muulize wale wa mikoa wengine mbona hawana ubunifu! Hilo linaonesha Makonda yuko tofautiHuja ona Kazi zake, kila akiwa cheo, lazima abuni kitu cha kufanya nchi mzima inatikisika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize wale wa mikoa wengine mbona hawana ubunifu! Hilo linaonesha Makonda yuko tofautiHuja ona Kazi zake, kila akiwa cheo, lazima abuni kitu cha kufanya nchi mzima inatikisika
Tatizo letu qivu na husda...dogo anafaaaMakonda hata Samia mwenyewe kamwacha mbali sana kimawazo na ubunifu!
Tatizo Wabongo tunapenda viongozi wasio wabunifu na vilaza wasiofanya mambo ya tofauti
KWA vijana WALIObaki wengi ni wale wale kwenye mfumo,
Sina tatizo na makonda. Nilikuwa namuongelea mwijaku.Pole sana, shida Tanzania kama mtu anawajibika vizuri, huwa hatumkubali kabisa
Aisee
Gabeji = GarbageJinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
2030 kote huko, angelichukua kijiti sasa hivi ama mwakani ili kuziba ombwe la uongozi lililopo.Jinsi nchi ilipofika, imekuwa shamba la bibi kila mahali, watu wana ina pesa,sana , ufisadi, uvivu,uzembe, namwona Paul makonda angetufaa sana kama angeshika nchi 20230.
Ili aweze kurudisha uzalendo ndani ya nchi yetu. Ukimsikiliza speech yake ya leo ya arusha utajua kuwa ni kiongozi bora.
Leo nimemfutilia sana msimamo wake huwa hayumbishi na mtu.
Najua wengi mta toa matusi lakini Paul Makonda ni bonge la kiongozi achilia mbali mapungufu alionayo.
1.Ni kiongozi mbunifu
2.Ni kiongozi mwenye msimamo
3. Ni kiongozi mtendaji anasimamia ubadhilifu
4. Ni kiongozi mchapa kazi, anaweza kuubadilisha mind set za watendaji wa CCM. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Soma Pia: Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe
Wewe unaendeshwa na chuki huna unalowaza! Mara hakuna mzalendo masikini mimi nakuuliza Makonda kwa level ya kitanzania bado unamuita maskini!
Unataka Bakhresa awe Rais au GSM?
Huja ona Kazi zake, kila akiwa cheo, lazima abuni kitu cha kufanya nchi mzima inatikisika
Vipi Mbowe na hata Rais Samia wanashule gani ambayo Makonda hana?Afadhali niendeshwe na chuki ila nafahamu nachokisema, kuliko kuendeshwa na ujinga pamoja na udwanzi wa kulazimisha watu waamini Bashite ni mbunifu anayefaa kuwa Raisi, ilhali hata shule yake tu ni tia maji 🤣🤣🤣
👊💪Exactly mkuu, he deserves to be a big potato in Tanzania
sure,Nchi hii hata mbwa anaweza kuwa Rais.
Hahahaha kichwa nazi huyo!sure,
ila sio wewe 🐒
Vipi Mbowe na hata Rais Samia wanashule gani ambayo Makomda hana?
Uongozi sio shule tu hata Trump sio kwamba ni msomi kuliko wote USA ni karama na mvuto kwa watu