Paul Makonda mtetezi mkubwa wa haki za akina mama aliyemtabiria makubwa Rais Samia Suluhu

Paul Makonda mtetezi mkubwa wa haki za akina mama aliyemtabiria makubwa Rais Samia Suluhu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.

Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.

Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.

Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.
 
Mzee ulikuwa unadanganyika na maigizo. Jamaa alikuwa anatengeneza tukio siku moja na halina mwendelezo. Hapo anakula fedha za GSM na industrialists wengine kwa kuwadanganyana kuwa anawasaidia wahitaji kumbe fedha zinaingia mfukoni mwake. Tusiongee sana jambo gani alilofanya huyo jamaa likawa na mwendelezo?
 
Utahangaika sana ndugu, mwache Prince Bashite; Mkuu wawasiojulikana akajibu kuhusu uchafu aliyoutenda.

Aende akajisafishe yeye na washikaji wake na haki ionekane ikitendeka. AMEN
 
Utahangaika sana ndugu, mwache Prince Bashite; Mkuu wawasiojulikana akajibu kuhusu uchafu aliyoutenda.
Aende akajisafishe yeye na washikaji wake na haki ionekane ikitendeka. AMEN
Stick to the point.
 
Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.

Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.

Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.

Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.
Kwa upuuzi huu ulioandika unaoonyesha upofu wako, ingetokea hukwenda shule ungekuwaje?
 
"Mtetezi mkubwa wa Wanawake"

Kuna haja ya kupata tafsiri mpya ya hayo maneno!
 
Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.

Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.

Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.

Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.
Huu uzi umeandikwa na Mtanzania mwenzetu mwenye akili timamu?
Mataga/wameanza kufanya yao ,

Idugunde ,kaa kwa kutulia,utabaki MJANE muda mfupi ujao.
 
Mzee ulikuwa unadanganyika na maigizo.Jamaa alikuwa anatengeneza tukio siku moja na halina mwendelezo.Hapo anakula fedha za GSM na industrialists wengine kwa kuwadanganyana kuwa anawasaidia wahitaji kumbe fedha zinaingia mfukoni mwake.Tusiongee sana jambo gani alilofanya huyo jamaa likawa na mwendelezo?
Lile ni jangili kama majangili mengine
 
Jamaa yako anaelekea kule alipo Sabaya, usituzuge na habari ya utabiri, kama yeye mtabiri kweli atuambie mvua zitaanza kunyesha lini tujaze bwawa la Nyerere.
 
Back
Top Bottom