antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Wale alioteka na kupoteza mama zao hawakuathirika ?!!!Aliwatetea akina mama kwa kila namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale alioteka na kupoteza mama zao hawakuathirika ?!!!Aliwatetea akina mama kwa kila namna
Yale majengo ya Mama na Mtoto kwenye hospitali za Mwananyamala, Temeke na Ilala yamebomoka!Mzee ulikuwa unadanganyika na maigizo.Jamaa alikuwa anatengeneza tukio siku moja na halina mwendelezo.Hapo anakula fedha za GSM na industrialists wengine kwa kuwadanganyana kuwa anawasaidia wahitaji kumbe fedha zinaingia mfukoni mwake.Tusiongee sana jambo gani alilofanya huyo jamaa likawa na mwendelezo?
Stick to the point.
Mmeanza. Mnatuona hamnazo au mwadhani mna akili zaidi yetu?Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.
Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.
Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.
Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.
kwani yeye ndiye wa kwanza kutengeneza deals na kula pesa za makampuni?Mzee ulikuwa unadanganyika na maigizo.Jamaa alikuwa anatengeneza tukio siku moja na halina mwendelezo.Hapo anakula fedha za GSM na industrialists wengine kwa kuwadanganyana kuwa anawasaidia wahitaji kumbe fedha zinaingia mfukoni mwake.Tusiongee sana jambo gani alilofanya huyo jamaa likawa na mwendelezo?
Mkuu akikujibu nitag.Yale majengo ya Mama na Mtoto kwenye hospitali za Mwananyamala, Temeke na Ilala yamebomoka!
Nawewe unaamini alimtabiria kuwa the next VP?Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.
Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.
Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.
Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.
Ndio ni watetezi wa pembeni kabla hajaitwa mahakamani. Hawajifunzi kwa sabaya nyuzi zake nyingi humu kabla hawajampilato na hazikusaidia ku buy public sympathyHuu uzi umeandikwa na Mtanzania mwenzetu mwenye akili timamu?
point yake ni kwamba bashite asishtakiwe eti kwasababu alimtabiria Samia kuwa rais.Which point ?
Sawa mkuu!Mkuu akikujibu nitag.
usipanic mataga pori.Acha unafiki.
Mahakama haijui hiyo jamaangu! Hayo mambo ya mtetezi wa haki za wamama sijui nani kamwambie mama yako mzazi!Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.
Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.
Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.
Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.