Mmeanza kumsifia baada ya kusikia anataka kushtakiwa? Hiv huyu si ndio aliemzibua makofi jaji Warioba?
Ndio yeye akitimiza maelekezo aliyopewa na hayati Samuel Sitta mlezi wake!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanza kumsifia baada ya kusikia anataka kushtakiwa? Hiv huyu si ndio aliemzibua makofi jaji Warioba?
Nasikia alikuwepo Dodoma wakati Tundu Lisu anauwawaAlipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.
Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.
Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.
Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.
Unafungwa Bashite jiandae na ndoa za Jela. Mwanamke hajakutuma kuua watu, pambana na hali yako.Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.
Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.
Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua. Hivyo mpaka sasa akina mama wengi wanakumbu msaada wake.
Kubwa na la muhimu, wakati wa bunge la katiba mwaka 2014 ni Makonda huyu ndiye alipendekeza Mama Samia kuwa mgombea mwenza wa hayati JPM.
Watch inHeshima kitu cha bure bwa mdogo. Watch out
Kufunga baa saa 6 usiku hadi watu wa mikoani wakaiga.Mzee ulikuwa unadanganyika na maigizo. Jamaa alikuwa anatengeneza tukio siku moja na halina mwendelezo. Hapo anakula fedha za GSM na industrialists wengine kwa kuwadanganyana kuwa anawasaidia wahitaji kumbe fedha zinaingia mfukoni mwake. Tusiongee sana jambo gani alilofanya huyo jamaa likawa na mwendelezo?
Mwana wa pakaya, naomba handle yako ya twitaMmeanza. Mnatuona hamnazo au mwadhani mna akili zaidi yetu?